Elections 2010 Mbu wa muhimbili pia ni agenda nzuri ya kampeni za uchaguzi

TIMING

JF-Expert Member
Apr 12, 2008
24,846
11,210
Wakuu,

Nikiwa kama mdau, nimesikitishwa sana na jinsi serikali yetu na hasa wizara ya afya ilivyoshindwa na inavyoendelea kushindwa kupambana mbu ambao uthibiti wao si mgumu hivyo.

Tanzania kama nchi inayopokea mamilioni ya dollar kila mwaka toka marekani kwa kupitia USAID, pia hupokea mamilioni mengine ya dola kupitia global fund na pia hupokea mengine mengi sana through reseach and development grants nyingine.... tumeshindwa kuthibiti vi-mbu vya pale jangwani

Kiafya hii ni dalili tosha kwamba hatuna priorities sahihi au tuko bize kwenye wekshop na makongamano... siamini kwamba watanzania hawawezi kutimua wale mbu... Kama ilivyo ada bado tutasubiri mtu atoke nje kuja kuondoa tatizo

Kisiasa, hii ni agenda nzuri sana kwa wale wapiganaji watokao majimbo ya ilala na kinondoni... tumieni hili rungu vizuri sana kwenye kampeni kwani ni kitu cha kusikitisha kwamba serikali ya ccm imeshindwa kutamini maisha ya wanamajimbo hawa ambao mchango wao kwa taifa could be next to none

nawakilisha
 
Wakuu,

Nikiwa kama mdau, nimesikitishwa sana na jinsi serikali yetu na hasa wizara ya afya ilivyoshindwa na inavyoendelea kushindwa kupambana mbu ambao uthibiti wao si mgumu hivyo.

Tanzania kama nchi inayopokea mamilioni ya dollar kila mwaka toka marekani kwa kupitia USAID, pia hupokea mamilioni mengine ya dola kupitia global fund na pia hupokea mengine mengi sana through reseach and development grants nyingine.... tumeshindwa kuthibiti vi-mbu vya pale jangwani

Kiafya hii ni dalili tosha kwamba hatuna priorities sahihi au tuko bize kwenye wekshop na makongamano... siamini kwamba watanzania hawawezi kutimua wale mbu... Kama ilivyo ada bado tutasubiri mtu atoke nje kuja kuondoa tatizo

Kisiasa, hii ni agenda nzuri sana kwa wale wapiganaji watokao majimbo ya ilala na kinondoni... tumieni hili rungu vizuri sana kwenye kampeni kwani ni kitu cha kusikitisha kwamba serikali ya ccm imeshindwa kutamini maisha ya wanamajimbo hawa ambao mchango wao kwa taifa could be next to none

nawakilisha


Hivi karibuni wizara ya afya walifanya mkutano na wawakilishi wa nchi wahisani na kuomba grant kwa ajili ya magonjwa kama matano hivi, wawakilishi walipoangalia mchanganuo wa pesa zilizoombwa waligomea hata kujadili wakauliza wht is this? maana 75% ya pesa zote zinazoombwa ni per diem lunches, transport allowances na brakfast allowances! Hii ndio Tanzania
 
Hivi karibuni wizara ya afya walifanya mkutano na wawakilishi wa nchi wahisani na kuomba grant kwa ajili ya magonjwa kama matano hivi, wawakilishi walipoangalia mchanganuo wa pesa zilizoombwa waligomea hata kujadili wakauliza wht is this? maana 75% ya pesa zote zinazoombwa ni per diem lunches, transport allowances na brakfast allowances! Hii ndio Tanzania

cANA WE GET THAT SOURCE, IT WILL HELP US ALOT
 
Hivi karibuni wizara ya afya walifanya mkutano na wawakilishi wa nchi wahisani na kuomba grant kwa ajili ya magonjwa kama matano hivi, wawakilishi walipoangalia mchanganuo wa pesa zilizoombwa waligomea hata kujadili wakauliza wht is this? maana 75% ya pesa zote zinazoombwa ni per diem lunches, transport allowances na brakfast allowances! Hii ndio Tanzania
Mkuu ni kweli kabisa, angalia composition ya policy makers pale wizarani halafu tafuta background yao... we hawana utaalam na policy na kibaya zaidi wako kwenye evaluation and research mindset kuliko action oriented

Kila siku utasikia tunafanya utafiti.... without any new research bado performance ya wizara yetu inaweza kuboreka kwa asilimia 2000

Mbu wanatesa, sisi tunakampeni na perdiem zinachakachuliwa
 
Kwanini wizara ya afya itwishwe mzigo wa kuua mazalia ya mbu? Hizi kazi zamani zikifanywa na mabwana afya ambao walikuwa chini ya halmashauri za miji; kwanini hawafanyi kazi hiyo hivi sasa? Hili swala la mbu wanaozaliana kwenye bonde la msimbazi lilipaswa kushuhulikiwa na halmashauri za jiji la Dar es salaam sio wizara ya afya!! Wizara inatakiwa kushuhulikia mambo makubwa zaidi kama vile kutafuta vitendea kazi vya kisasa vya hospitali zetu za rufaa Jakaya anazotuahidi huku mikoani kila leo na sio mamabo ya mazalia ya mbu!!
 
wizara ndio msimamizi wa sera na pia ndio monitoring portfolio... na kama wao wakiweza toa agizo au ombi basi uzito wao bas yatatekelezwa

we unadhani wanakuwaje wa kwanza kutoa tamko, dira na makelekezo pakitokea kipindupindu same au mwanga??? soma vizuri documents zote [ya afya, tamisemi na prime minister utaona role ya wizara kwenye hilo jambo]
 
Msijali wataandaa tamasha la muziki pale Leaders kuhamasisha uangamizaji wa mbu hao wa muhimbili.
 
Back
Top Bottom