TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,846
- 11,210
Wakuu,
Nikiwa kama mdau, nimesikitishwa sana na jinsi serikali yetu na hasa wizara ya afya ilivyoshindwa na inavyoendelea kushindwa kupambana mbu ambao uthibiti wao si mgumu hivyo.
Tanzania kama nchi inayopokea mamilioni ya dollar kila mwaka toka marekani kwa kupitia USAID, pia hupokea mamilioni mengine ya dola kupitia global fund na pia hupokea mengine mengi sana through reseach and development grants nyingine.... tumeshindwa kuthibiti vi-mbu vya pale jangwani
Kiafya hii ni dalili tosha kwamba hatuna priorities sahihi au tuko bize kwenye wekshop na makongamano... siamini kwamba watanzania hawawezi kutimua wale mbu... Kama ilivyo ada bado tutasubiri mtu atoke nje kuja kuondoa tatizo
Kisiasa, hii ni agenda nzuri sana kwa wale wapiganaji watokao majimbo ya ilala na kinondoni... tumieni hili rungu vizuri sana kwenye kampeni kwani ni kitu cha kusikitisha kwamba serikali ya ccm imeshindwa kutamini maisha ya wanamajimbo hawa ambao mchango wao kwa taifa could be next to none
nawakilisha
Nikiwa kama mdau, nimesikitishwa sana na jinsi serikali yetu na hasa wizara ya afya ilivyoshindwa na inavyoendelea kushindwa kupambana mbu ambao uthibiti wao si mgumu hivyo.
Tanzania kama nchi inayopokea mamilioni ya dollar kila mwaka toka marekani kwa kupitia USAID, pia hupokea mamilioni mengine ya dola kupitia global fund na pia hupokea mengine mengi sana through reseach and development grants nyingine.... tumeshindwa kuthibiti vi-mbu vya pale jangwani
Kiafya hii ni dalili tosha kwamba hatuna priorities sahihi au tuko bize kwenye wekshop na makongamano... siamini kwamba watanzania hawawezi kutimua wale mbu... Kama ilivyo ada bado tutasubiri mtu atoke nje kuja kuondoa tatizo
Kisiasa, hii ni agenda nzuri sana kwa wale wapiganaji watokao majimbo ya ilala na kinondoni... tumieni hili rungu vizuri sana kwenye kampeni kwani ni kitu cha kusikitisha kwamba serikali ya ccm imeshindwa kutamini maisha ya wanamajimbo hawa ambao mchango wao kwa taifa could be next to none
nawakilisha