PapoKwaPapo
JF-Expert Member
- Jun 5, 2008
- 380
- 45
Wakati wa mkutano mkuu wa chadema Mboye alipata muda wa kueleza juu ya chama chake kutuhumiwa kuwa ni cha kikabila na kifamilia....
Wakati wa hoja hii alishindwa kujieleza kwa nini chama si cha kifamilia au kikabila bali aliishia kulalama na kutoa mifano isiyo na tija....eti mbona sisiemu nao wapo hivo, mbona Kikwete na mwanaye, mbona Sita na mkewe, mbona zikawa nyingii...
Tulitaka kusikia kuwa chama si cha kikabila au cha kifamilia kwa sababu hizi.....kwa mfano
a)Uongelee teuzi za wabunge wenu, je si za kifamilia si za kikabila?
b)Utuelezee juu ya uteuzi wako na kwanini hujachaguliwa kama demokrasi yenu inavyosema?
Wakati wa hoja hii alishindwa kujieleza kwa nini chama si cha kifamilia au kikabila bali aliishia kulalama na kutoa mifano isiyo na tija....eti mbona sisiemu nao wapo hivo, mbona Kikwete na mwanaye, mbona Sita na mkewe, mbona zikawa nyingii...
Tulitaka kusikia kuwa chama si cha kikabila au cha kifamilia kwa sababu hizi.....kwa mfano
a)Uongelee teuzi za wabunge wenu, je si za kifamilia si za kikabila?
b)Utuelezee juu ya uteuzi wako na kwanini hujachaguliwa kama demokrasi yenu inavyosema?