mwanafyale
JF-Expert Member
- Sep 27, 2010
- 1,641
- 535
kama unaakili timamu nadhani utakualiana nami kwamba haitotokea kamwe katika historia ya nchi hii kuongozwa na mtu anayeitwa freeman mbowe ! Mbowe amedhihirisha wazi tabia yake ya ubabe dhidi ya wabunge wenzake kwa kuwatolea maamuzi, ukabila wa hali ya juu wakati wa uteuzi wa wabunge viti maalumu, nk
mbowe ni sawasawa na kenge kwenye msafara wa mamba !
mbowe ni sawasawa na kenge kwenye msafara wa mamba !