Gerald
JF-Expert Member
- Nov 14, 2007
- 290
- 46
- Thread starter
- #21
Tatizo la kuzungumza bila kufanya utafiti, ndugu yangu vijana wengi sana wana vitambulisho na hili linatokana na wengi kugundua kuwa vitambulisho vile vinaweza kutumiwa katika shughuli nyingine kama benk, kuchukulia pesa tigopesa etc. Mnaposhindwa mkubali kushindwa sio kutafuta vijisababu visivyo na msingi.
Kuwa na kitambulisho na kuwa kwenye daftari la kupigia kura ni vitu viwili tofauti je hawa wapigaji kura wote uko Arumeru wanathibitishiwa vipi kuwa watatendewa haki yao ya kikatiba ya kumchagua mbunge wao wanaomwitaji? na hawa vijana wapya wenye moyo wa kujiandikisha na kupata haki yao ya msingi watafanyaje ingawa hawana vitambulisho?