ninalofanyika na ccm hivi sasa ni kutafuta namna ya kuwagawa viongozi wa chadema sasa dawa ya sasa hivi kila watakacho sema kuhusu chadema sisi wana chadema tunajua ni uongo. sisi kazi yetu ni kufuata linalosemwa na viongozi wetu, ccm mnajisumbua.mbona amgusii meli iliyokamatwa na meno ya Tembo?.meli hiyo ni ya nani?...si nilisikia hili gazeti la mwananchi huwa linapelekewa habari na kiZito flani baada ya kuziandika mwenyewe....!!Nilisikia tu.