Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Labda Wewe, mama yako na baba yako...
Chanzo gazeti la chama, hatuna imani nalo
Chanzo gazeti la chama, hatuna imani nalo
Labda Wewe, mama yako na baba yako...
Au Tiddo anataka kurudi TBC?
Mtei alisema yeye anasimamia msimamo wa Mbowe na kamati kuu ya chama hicho kuhusu kumpendekeza Dk Slaa kuwania nafasi hiyo.
( MWANANCHI JAN 3,2013)
Hujui unenalo. Huwezi kufanya japo utafiti kidogo tu, kabla hujaamua kubisha, achilia mbali kujenga hoja kinzani dhidi ya hoja nyingine au mtu mwingine usiyekubaliana naye!
Ina maana aliongea kichaga au kiswahili kama ni kiswahili aliyasema hayo anayoshutumiwa nayo
Naona wenye chama (mtu na mkwe) wameshafanya maamuzi siku nyingi wengine subiri siku ya kura mtekeleze maamuzi yao.
Im verry dispointed na mbowe,
angeweza sema aliteleza ulimi kwakuwa ni kweli aliongea.atatia aibu cku
ukiwekwa mkanda wa kideo hapa na mtakosa namna ya kumtetea. Halafu jf
mna mambo,watu washabadilika humu,mlikuwa mnamtetea na kusifia
alichosema leo kageuka na nyie mnageuka, mejiabisha kwakweli.
Naona wenye chama (mtu na mkwe) wameshafanya maamuzi siku nyingi wengine subiri siku ya kura mtekeleze maamuzi yao.
Peoplezzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzzz!
Naona wana CHADEMA wamesusa hii thread! Haishikiki! Hoja ziliisha na
ile thread ya kwanza waliposupport. Siku zote tunasema CHADEMA hakuna
checks and balances. Mbowe aliponukuliwa kusema, wana CHADEMA waliona
dhambi kupinga kauli yake. Leo amekanusha, wanamsupport. Bendera fuata
upepo au ndio great thinkers?