Mbowe ni Mbumbumbu wa Historia ya Nchi yake au Ukaidi tu?

junius umesema kweli ila tatizo umemgusa ki mungu wa wachaga huyo kwa taarifa yako huwa hakosei mbele ya wagalatia wasio na akili. Nilisema hata akinya hadharani watashangilia,na kumpongeza
 
Junius mbona viongozi wote wa Zanzibar wanapotosha juu ya historia ya kweli ya mapinduzi ya Zanzibar, mbona mpaka leo hawataki kutambua kuwa Okello ndio alikuwa kiongozi wa mapinduzi ya Zanzibar na Si mzee Karume,
Mbona siyo wote au wewe umewasikia wote wakisema hivyo, maana hata karume mwenyewe alishasema hadharani kuwa hajashiriki hata katika mpango wa mapinduzi seuze mapinduzi yenyewe.

Junius umewagusa hapo utaishia kuambiwa kila aina ya maneno na hapa wameanza tu subiria baada ya mda utajuta kwa nn uliwambia huo ukweli........POLE SANA
I know the fanaticism of some of JF members of chadema, hainipi shida hata kidogo...zaidi wanajionyesha udogo wa ufahamu wa viongozi wao wenyewe.

junius umesema kweli ila tatizo umemgusa ki mungu wa wachaga huyo kwa taarifa yako huwa hakosei mbele ya wagalatia wasio na akili. Nilisema hata akinya hadharani watashangilia,na kumpongeza

Mkuu siyo kama hawana akili,bado hawajazitumia akili zao kufikiri sawasawa wakidhani kila wanachofanya viongozi wao ni sahihi tu...mimi siku zote nabaki na msimamo mmoja tu, kiongozi pekee wa chadema anayefikiri sawasawa ni Zitto Kabwe na zamani alikuwa marehemu Chacha Wangwe, nilishasema mara nyingi kama chadema ingepata kuongozwa walau mwezi mmoja tu na hao wawili basi chama kingekuwa mbali zaidi ya kinavyoonekana sasa.
 
Mbona hii ishu ndogo, Mbowe aombe radhi kama aliteleza na kutoa kauli hiyo.
 
junius umesema kweli ila tatizo umemgusa ki mungu wa wachaga huyo kwa taarifa yako huwa hakosei mbele ya wagalatia wasio na akili. Nilisema hata akinya hadharani watashangilia,na kumpongeza
 
Haya mtazameni huyu nae hata anachoeleza hakieleweki! Toka lini kukosa kumfahamu mtu mmoja ni umbumbumbu wa Historia?
Kwa jinsithread hii ilivyowekwa mwandishi Junius ni mbumbumbu wa kila kitu na hatoshi kuitwa Great thinker.
 
Hiyo personal detail 'mkwe wa Edwin Mtei' ilikuwa na umuhimu gani? Hapo ndipo ulipoharibu mada au hoja yako mwenyewe.

Ni wazi uwezo wako na huyo mzee ni sawa! Na Zanzibar mnahitaji CUF na CCM zaidi ndio maana mkaunda serikali ya Umoja wa Kitaifa bila kuwashirikisha wengine!

Ni umoja gani mnaunda wakati makundi mengine mmeyatenga? Kuna elimu hapo?

Halafu hao hao wanatoka wanataka ushirkiano bungeni! Kuna muda mtu unakereka basi tu!

Mwingine anakurupuka 'Mungu wa wachagga'. Unasahau wachagga sio kabila! Kama ni kabila niambie lugha yao ni ipi? Wamachame wana lugha tofauti na wakibosho, wamarangu na warombo!

Huo umungu ametoa wapi? Badala ya kuchangia kwa adbau mnaandika upuuzi, mkijibiwa upuuzi mnalalamika!
 
junius umesema kweli ila tatizo umemgusa ki mungu wa wachaga huyo kwa taarifa yako huwa hakosei mbele ya wagalatia wasio na akili. Nilisema hata akinya hadharani watashangilia,na kumpongeza
nani mgalatia!? We punguani eeh!
 
MwF1,
Ni sawa, lakini Mbowe ni Mw'kiti wa chama cha kitaifa, hivyo ni kiongozi wa kitaifa, kutojuwa kwake habari za viongozi wa kitaifa waliopita kunalenga upeo fulani wa ufahamu wake wa historia ya nchi yake, kama angelisema kwa Nyerere au Kawawa ungemuonaje? ujuwe hii ni sawa na kusema kuwa Nyerere alifanyakazi na kiongozi mbumbumbu, kitu ambacho kinaashiria msemaji haelewi historia ya mtu anayemsemea kwa mujibu wa hadhi na ngazi yake ya uongozi (Waziri, Makamo wa rais na rais).

Mkuu, elimu ya za viongozi wetu wote ni muhimu kwa historia ya nchi yetu (sielewi kwanini umesema "elimu ya mzee huyu"), ndiyo maana Watanzania wakahoji elimu ya mgombea mwenza wa chadema katika uchaguzi ulipita inawapa wasiwasi.

Unapoomba dhamana za kitaifa suala la elimu siyo personal history/issue bali ni haki ya unaotaka kuwaongoza kujuwa na kukupima uwezo wako. Nadhani utakuwa shahidi tulipokuwa tunahoji elimu feki za baadhi ya webunge wa bunge lililopita kwa maana hiyo hiyo, na kama ingekuwa ni suala lao binafsi kusingeonekana umuhimu wa kujuwa elimu zao.

Hapo penye nyekundu, wewe ndio umekosea kuwaita wenye elimu ya darasa la saba mbumbumbu. Mwenzako hajakosea sana kama unavyodhani. Watanzania walio wengi ni darasa la saba na wamechangia maendeleo kama huyu Idris. Watanzania wote ni sawa. Uongozi ni dhamana tu, na hata darasa la saba anaweza kuwa kiongozi. Kuwa darasa la saba haina maana mtu huyo ni mjinga au hana akili. Ni kwa vile tu alikosa nafasi ya kuingia sekondari.

Sasa wewe ndio utuombe radhi sisi wote wenye elimu ya darasa a saba kwa kutuita mbumbumbu.
 
Huu ndiyo ukweli na haihitaji kufanya utafiti wa ndani kujuwa hili kwa Mh.Freeman Mbowe, Mwenyekiti m-babe wa chadema, kiongozi wa upinzani bungeni na mfanyabiashra wa kibepari Tanzania akiwa ni Mkwe wa muasisi wa chadema, mzee E.Mtei ni mbumbumbu wa historia ya nchi yake ama mkaidi tu .
Mbowe ni mbumbumbu wa historia ya Tanzania au mbishi tu, kusema la haki sina hakika na elimu yake siwezi kusema chochote katika hilo lakini kwa kauli yake mwenyewe kathibitisha kuwa hana uelewa wa kutosha wa baadhi ya mambo ya msingi ya historia ya nchi hii ua ubishi tu.

Kwa kauli yake Mh. Mbowe amesema au amenukuliwa kusema kuwa " ... Mh. Idriss Abdulwakyl Nombe (late), alikuwa na elimu ya darasa la saba...".
Marehemu Mzee Wakyl alikuwa rais wa Zanzibar wa awamu ya nne na makamo wa rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania 1985-90.

Awali nilidhani kuwa Mh. Mbowe ameghafilika,hivyo waungwana wakamkumbusha Mh. Mbowe kuwa kauli yake aliikosea na kiungwana tu awaombe radhi familia ya marehemu kwa kauli yake hiyo ya bahati mbaya. Kwakuwa ukweli ni kuwa Mzee Idriss Abudulwakyl alikuwa ni msomi wa ngazi ya chuo kikuu Makerere Uganda, chuo kile kile alichosoma Nyerere na wasomi wengine wa Tanzania,hilo Mh. Mbowe halijuwi wala hajawahi kulisikia na akadai kuwa anataka kufanya utafiti ndiyo aombe radhi.
Mbowe ameenda mbali zaidi kwa kukataa kuwa amekosea na kushikilia msimamo wake wa kukataa kuomba radhi wanafamilia ya mzee wakyl na hata taasisi alizotumikia.
Mh. Mbowe amesahau kuwa Wakyl alikuwa kiongozi wa kitaifa, ambaye anastahili heshima na hadhi kama viongozi wengine wa kitaifa waliotangulia mbele ya haki.

Anaposhikilia kauli yake ya kumbeza, kumdharau na kumtoa thamani kwa kauli kama hiyo ajuwe kuwa anawatukana na kuwatoa thamani wananchi ambao walimuamini kuwa kiongozi wao na kumuheshimu wakati na baada ya uongozi wake.

Ushauri wa bure kwa Mbowe, kuwa ukaidi wake hauwezi kumfanya masikini wa fedha kusema kweli, lakini heshima yake kama kiongozi wa kitaifa asiyeheshimu viongozi wenzake wa kitaifa itapotea na wananchi watamdharau.

Namkumbusha kuwa kutafuta uaduwi na watu si vyema, asisahau jinsi Mh Mizengo Pinda alivyoivua heshima yake kwa wazanzibari kama nyoka anavyovuwa kanzu yake, kwa Zanzibar Pinda si chochote si lolote hata viongozi wa chama chake huku wanamuona "kojoz" tu.

Hivyo, mbowe asitake hayo yamkute, chama chake hakijuulikani huku, naye anahitaji kishike dola, akubali kuwa amekosea na kuwaomba radhi si CCM bali wanafamilia wa Mzee Idriss na wananchi wa Zanzibar na Tanzania ambao wanawaenzi na kuwaheshimu viongzi wao wa kitaifa.

Taifa gani?
 
Hapo penye nyekundu, wewe ndio umekosea kuwaita wenye elimu ya darasa la saba mbumbumbu. Mwenzako hajakosea sana kama unavyodhani. Watanzania walio wengi ni darasa la saba na wamechangia maendeleo kama huyu Idris. Watanzania wote ni sawa. Uongozi ni dhamana tu, na hata darasa la saba anaweza kuwa kiongozi. Kuwa darasa la saba haina maana mtu huyo ni mjinga au hana akili. Ni kwa vile tu alikosa nafasi ya kuingia sekondari.

Sasa wewe ndio utuombe radhi sisi wote wenye elimu ya darasa a saba kwa kutuita mbumbumbu.

This is a good point and I thank you Warea for it. Junius kwenye mawazo yake anawaona wenye kisomo cha darasa la saba ni mbumbumbu na hiyo ndiyo issue inayomtatiza. It's a complex. True kama Mh. Mbowe alikosea angekuwa best advised kuomba radhi kwa hilo na kama wengi walivyowahi kusema hapo juu, hiyo si issue kubwa. Junius analikuza hili kosa kwa kuwaita wale wenye hiyo level ya kisomo mambumbumbu - sasa asiyejua historia ni nani? Wengi waliosacrifice kulijenga taifa hili hadi walipokabidhiwa hawa wezi wanaojidai na Phd zao za kununua walikuwa ni darasa la saba or below. Give them their due respect!
 
Huu ndiyo ukweli na haihitaji kufanya utafiti wa ndani kujuwa hili kwa Mh.Freeman Mbowe, Mwenyekiti m-babe wa chadema, kiongozi wa upinzani bungeni na mfanyabiashra wa kibepari Tanzania akiwa ni Mkwe wa muasisi wa chadema, mzee E.Mtei ni mbumbumbu wa historia ya nchi yake ama mkaidi tu .
Mbowe ni mbumbumbu wa historia ya Tanzania au mbishi tu,

kwa Zanzibar Pinda si chochote si lolote hata viongozi wa chama chake huku wanamuona "kojoz" tu.

.

Yakhee, hivi suala la kumtaka mtu amuombe msamaha/radhi mtu mwingine aliyemkosea/mtambulisha vibaya lina uhusiano gani na haya madudu yote uliyoandika kwenye intro yako?...

Huoni ni bora kwanza umuombe radhi Mh. Mbowe halafu ndio malalamiko yako yashughulikiwe.. au wasemaje yakhe??...:sick:
 
huu ndiyo ukweli na haihitaji kufanya utafiti wa ndani kujuwa hili kwa mh.freeman mbowe, mwenyekiti m-babe wa chadema, kiongozi wa upinzani bungeni na mfanyabiashra wa kibepari tanzania akiwa ni mkwe wa muasisi wa chadema, mzee e.mtei ni mbumbumbu wa historia ya nchi yake ama mkaidi tu .
Mbowe ni mbumbumbu wa historia ya tanzania au mbishi tu, kusema la haki sina hakika na elimu yake siwezi kusema chochote katika hilo lakini kwa kauli yake mwenyewe kathibitisha kuwa hana uelewa wa kutosha wa baadhi ya mambo ya msingi ya historia ya nchi hii ua ubishi tu.

Kwa kauli yake mh. Mbowe amesema au amenukuliwa kusema kuwa " ... Mh. Idriss abdulwakyl nombe (late), alikuwa na elimu ya darasa la saba...".
Marehemu mzee wakyl alikuwa rais wa zanzibar wa awamu ya nne na makamo wa rais wa jamhuri ya muungano ya tanzania 1985-90.

Awali nilidhani kuwa mh. Mbowe ameghafilika,hivyo waungwana wakamkumbusha mh. Mbowe kuwa kauli yake aliikosea na kiungwana tu awaombe radhi familia ya marehemu kwa kauli yake hiyo ya bahati mbaya. Kwakuwa ukweli ni kuwa mzee idriss abudulwakyl alikuwa ni msomi wa ngazi ya chuo kikuu makerere uganda, chuo kile kile alichosoma nyerere na wasomi wengine wa tanzania,hilo mh. Mbowe halijuwi wala hajawahi kulisikia na akadai kuwa anataka kufanya utafiti ndiyo aombe radhi.
Mbowe ameenda mbali zaidi kwa kukataa kuwa amekosea na kushikilia msimamo wake wa kukataa kuomba radhi wanafamilia ya mzee wakyl na hata taasisi alizotumikia.
Mh. Mbowe amesahau kuwa wakyl alikuwa kiongozi wa kitaifa, ambaye anastahili heshima na hadhi kama viongozi wengine wa kitaifa waliotangulia mbele ya haki.

Anaposhikilia kauli yake ya kumbeza, kumdharau na kumtoa thamani kwa kauli kama hiyo ajuwe kuwa anawatukana na kuwatoa thamani wananchi ambao walimuamini kuwa kiongozi wao na kumuheshimu wakati na baada ya uongozi wake.

Ushauri wa bure kwa mbowe, kuwa ukaidi wake hauwezi kumfanya masikini wa fedha kusema kweli, lakini heshima yake kama kiongozi wa kitaifa asiyeheshimu viongozi wenzake wa kitaifa itapotea na wananchi watamdharau.

Namkumbusha kuwa kutafuta uaduwi na watu si vyema, asisahau jinsi mh mizengo pinda alivyoivua heshima yake kwa wazanzibari kama nyoka anavyovuwa kanzu yake, kwa zanzibar pinda si chochote si lolote hata viongozi wa chama chake huku wanamuona "kojoz" tu.

Hivyo, mbowe asitake hayo yamkute, chama chake hakijuulikani huku, naye anahitaji kishike dola, akubali kuwa amekosea na kuwaomba radhi si ccm bali wanafamilia wa mzee idriss na wananchi wa zanzibar na tanzania ambao wanawaenzi na kuwaheshimu viongzi wao wa kitaifa.

kwani chama hata kama hakijulikani wewe inakupunguzia nini?
huyo idrissa nani sijui hata mbowe akijua elimu yake itakuongezea nini?

halafu hiyo haki sawa yenyewe iko wapi unayoipigia kelele wakati huyo mkubwa wenu keshawaacha solemba...
 
Hii sio issue ya kujadili tuache uzandiki tunayo mambo ya msingi kujadili -hii ni tatitzo la vibaraka wa ccm na cuf waliozoea kukava mambo-yaani kuyapozapoza kwa kuibua issue za kizushi na zisizo na tija na watanzania. Tunapaswa kuangalia shule za kata zinavyoengeza ujinga badala ya kuufuta, tunapapaswa kuzungumuzia polisi wanaoua raia kuilinda ccm na cuf, tunapaswa kuzungumzia dowans tunaporwa mchana kweupe, tunapaswa kuzungumzia namna gani tuingie mtaani kuondoa mafisadi, tunataka kuwaondoa madarakani hawa wazembe wenye fikira na sera mbovu-mambo ya shule ya marehemu itatusaidia nini??? Lazima tuwe great thinkers tuache uzandiki.
 
junius umesema kweli ila tatizo umemgusa ki mungu wa wachaga huyo kwa taarifa yako huwa hakosei mbele ya wagalatia wasio na akili. Nilisema hata akinya hadharani watashangilia,na kumpongeza

Mnajua maada zenu mkiweka kidini ndipo mnakuwa wajina zaidi, mimi siipendi chadema na ni mkristo pure ! kamwe ziwezi kusema cuf chama cha wasiokula nguruwe! wala kusema wazanzibari ni wengi ni mashoga!
 
Mbona siyo wote au wewe umewasikia wote wakisema hivyo, maana hata karume mwenyewe alishasema hadharani kuwa hajashiriki hata katika mpango wa mapinduzi seuze mapinduzi yenyewe.


Ndio alikuwa Nyerere! so what?

I know the fanaticism of some of JF members of chadema, hainipi shida hata kidogo...zaidi wanajionyesha udogo wa ufahamu wa viongozi wao wenyewe.

Inakera! kidogo tu 'chadema yetu'



Mkuu siyo kama hawana akili,bado hawajazitumia akili zao kufikiri sawasawa wakidhani kila wanachofanya viongozi wao ni sahihi tu...mimi siku zote nabaki na msimamo mmoja tu, kiongozi pekee wa chadema anayefikiri sawasawa ni Zitto Kabwe na zamani alikuwa marehemu Chacha Wangwe, nilishasema mara nyingi kama chadema ingepata kuongozwa walau mwezi mmoja tu na hao wawili basi chama kingekuwa mbali zaidi ya kinavyoonekana sasa.

Kweli kabisa!
 
Back
Top Bottom