Huna aibu wewe?? Badala ya kuongelea habari ya umeme kuwaka au kutowaka unaongelea kushikwa mashati... Ndio nyie hata hela ya jenereta hamna na hapo umevizia computer za ofisini umeme bure ukirudi home mnapikia kuni lakini unajifanya huoni matatizo kukubwa kwako ni Mbowe kushikwa shati zaidi ya hili giza. We lazima ni mpemba tu unaonekana mvivvu sana we mke wa malaria suguhivi kiongoz wa upinzani anatumia lugha ya matusi kwa manufaa ya nani? sisi wapiga kura tunamuelewa?
mbowe anatumia lugha ya matusi anaambiwa afute usemi
hivi kiongoz wa upinzani anatumia lugha ya matusi kwa manufaa ya nani? sisi wapiga kura tunamuelewa?
muweke bize asituchafulie jukwaa hana mtu huyu ndio maana yuko loose...inaonekana huyu mtoto kweye 6*6 ana makeke si mchezoHujambo mrembo???
Hujambo mrembo???
wewe mama magamba thibitisah alichosema .. kasemaje? andika hilo tusi hapa ..
kwa hyo unataka m2 hata akiongea point apingwe au wewe umezoea kusifiwa daima,mi nafikiri wewe ndio una akili ndogo kuliko neno ndogo lenyewe,mtu anapewa stahili yake akifanya vyema unampa pongezi na akikosa pia unamkosoa mi sioni shida?Si ndiye Makamba huyuhuyu ambaye wiki 3 zilizopita mlimponda sana hapa jamvini kuwa amekula hongo kutoka Barricks. Leo amegeuka lulu na kuanza kumpongeza? Kweli nimeamini akili za MAGWANDA ni ndogo zaidi ya haradari.
Si ndiye Makamba huyuhuyu ambaye wiki 3 zilizopita mlimponda sana hapa jamvini kuwa amekula hongo kutoka Barricks. Leo amegeuka lulu na kuanza kumpongeza? Kweli nimeamini akili za MAGWANDA ni ndogo zaidi ya haradari.