mbowe anatumia lugha ya matusi anaambiwa afute usemi
hivi kiongoz wa upinzani anatumia lugha ya matusi kwa manufaa ya nani? sisi wapiga kura tunamuelewa?
naona mbowe anashikwa shirt anaambiwa akae
wewe mama magamba thibitisah alichosema .. kasemaje? andika hilo tusi hapa ..mbowe anatumia lugha ya matusi anaambiwa afute usemi
hivi kiongoz wa upinzani anatumia lugha ya matusi kwa manufaa ya nani? sisi wapiga kura tunamuelewa?