Mbowe: Nchi imekwama, Kikwete ameelemewa

Asha Abdala

JF-Expert Member
Mar 21, 2007
1,130
44
Katika pita pita yangu nimekutana na mfululizo wa makala hizi ambazo Mbowe aliandika mwanzoni mwa mwaka 2007. Miaka miwili imepita toka wakati huo, je, maneno aliyoyatabiri wakati huo yametimia?

Mfululizo wenyewe unapatikana hapa: Nchi imekwama; tayari Kikwete amelemewa

Pia soma maelezo yake ya wakati huo kuhusu Hotuba ya Kikwete bungeni, kwa kupitia waraka wake wa kwanza mpaka wa sita wa Mbowe kwa Kikwete: Makala za Freeman A. Mbowe, Mwenyekiti Taifa

Mbowe ukichanganya na Dr Slaa, ukamweka na Zitto Kabwe, pembeni Tundu Lissu halafu Profesa Baregu akawa jirani unapata chama mbadala tumaini jipya la watanzania-CHADEMA.
 
Katika pita pita yangu nimekutana na mfululizo wa makala hizi ambazo Mbowe aliandika mwanzoni mwa mwaka 2007. Miaka miwili imepita toka wakati huo, je, maneno aliyoyatabiri wakati huo yametimia?

Mfululizo wenyewe unapatikana hapa: Nchi imekwama; tayari Kikwete amelemewa

Pia soma maelezo yake ya wakati huo kuhusu Hotuba ya Kikwete bungeni, kwa kupitia waraka wake wa kwanza mpaka wa sita wa Mbowe kwa Kikwete: Makala za Freeman A. Mbowe, Mwenyekiti Taifa

Mbowe ukichanganya na Dr Slaa, ukamweka na Zitto Kabwe, pembeni Tundu Lissu halafu Profesa Baregu akawa jirani unapata chama mbadala tumaini jipya la watanzania-CHADEMA.

Tupe safu ya uongozi zaidi ya ulioutaja ili nijui mpo mbadala kiasi gani!
 
Petu Hapa,
Mkuu sidhani kama Chadema wana mpango wa kuwapa uwaziri wabunge isipokuwa wananchi wanaoweza kuifanya kazi hiyo..(napokea masahihisho)
Kama sikosei mbunge kutokuwa waziri, ni hoja ambayo kama sikosei Chadema waliipeleka Bungeni..
Kwa hiyo hata wewe unaweza kuwa waziri maadam uwezo wa kuongoza unao!..
Kifupi ktk list hiyo ongeza jina lako! haa haa haa!
 
Petu Hapa,
Mkuu sidhani kama Chadema wana mpango wa kuwapa uwaziri wabunge isipokuwa wananchi wanaoweza kuifanya kazi hiyo..(napokea masahihisho)
Kama sikosei mbunge kutokuwa waziri, ni hoja ambayo kama sikosei Chadema waliipeleka Bungeni..
Kwa hiyo hata wewe unaweza kuwa waziri maadam uwezo wa kuongoza unao!..
Kifupi ktk list hiyo ongeza jina lako! haa haa haa!

Ni mambo ya msingi maswala ya kofia mbili kuondolewa. Ni jambo la msingi uongozi usibebwe na wanachama tu, lakini ni jambo la lazima chama kiwe na watu wa kutosha kubeba majukumu ya uongozi kupeleka mbele itikadi zao. Kwa mfumo wetu, chama ndio chombo chenye nguvu na kulinda maslahi ya chama katika kuongoza taifa. Kwahiyo, hata kama chadema itachukua watu wa nje, ambalo ni jambo la hatari na litahitaji mabadiliko ya katiba, inabidi chadema iwe na mzizi wake, uliotunzwa ndani ya chama na kukulia ndani ya chama.

Rai yangu, chadema ivute wanachama wapya zaidi.
 
Ni mambo ya msingi maswala ya kofia mbili kuondolewa. Ni jambo la msingi uongozi usibebwe na wanachama tu, lakini ni jambo la lazima chama kiwe na watu wa kutosha kubeba majukumu ya uongozi kupeleka mbele itikadi zao. Kwa mfumo wetu, chama ndio chombo chenye nguvu na kulinda maslahi ya chama katika kuongoza taifa. Kwahiyo, hata kama chadema itachukua watu wa nje, ambalo ni jambo la hatari na litahitaji mabadiliko ya katiba, inabidi chadema iwe na mzizi wake, uliotunzwa ndani ya chama na kukulia ndani ya chama.

Rai yangu, chadema ivute wanachama wapya zaidi.

Wadau samahani...Hivi Mbowe kashamaliza yale Masomo yake SPECIAL aliyokuwa anasoma au..anasubiri Miujiza ya Madagascar?
 
What do you mean by "masomo special"??
Hivi kumbe kilichotokea Madagascar ni muujiza? Nilidhani ilikuwa "social uprising with military backing"!!
 
Kikwete hajakwama ila mna haraka tu jamani Rome haikujengwa kwa siku moja ,maana stage aliyofikia Muungwana sio ndogo anastahili pongezi ,unajua kuna watu wanakuwa na papara lakini inavyoonyesha Muungwana papara hanazo ni mvivu tu .
Ni uvivu ndio marazi yake hakuna jingine ,uvivu wa utekelezaji ni very slow inawezekana miaka kumi ikawa haitoshi kwake ,tubadili Katiba ili tumwongezee.Chadema ni showing of nyingi hamna kitu.
 
Kikwete hajakwama ila mna haraka tu jamani Rome haikujengwa kwa siku moja ,maana stage aliyofikia Muungwana sio ndogo anastahili pongezi ,unajua kuna watu wanakuwa na papara lakini inavyoonyesha Muungwana papara hanazo ni mvivu tu .
Ni uvivu ndio marazi yake hakuna jingine ,uvivu wa utekelezaji ni very slow inawezekana miaka kumi ikawa haitoshi kwake ,tubadili Katiba ili tumwongezee.Chadema ni showing of nyingi hamna kitu.

Mwiba

Kwanini CHADEMA hamna kitu? Unaonaje basi wote tuunge mkono CUF? Kati ya vyama hivi viwili kipi unaona ni bora kuikiunga mkono? Maana hiyo CCM yako na Kikwete wake sitaki hata kuwasikia

Asha
 
HTML:
Kikwete hajakwama ila mna haraka tu jamani Rome haikujengwa kwa siku moja ,maana stage aliyofikia Muungwana sio ndogo anastahili pongezi

Amefikia stage gani ya kupongezwa...wakati kila kukicha ina kuwa bora ya jana?

HTML:
unajua kuna watu wanakuwa na papara lakini inavyoonyesha Muungwana papara hanazo ni mvivu tu .

Ndugu yangu huo uvivu ndo kushindwa kwenyewe kuimudu nchi....mbona unajichanganya?

HTML:
Ni uvivu ndio marazi yake hakuna jingine ,uvivu wa utekelezaji ni very slow inawezekana miaka kumi ikawa haitoshi kwake

Unauhakika huo uvivu alionao utaisha in ten years? Uvivu ndugu yangu ni inborn....so hata ukimpa miak 10 hauondoki ng'oooooo!

HTML:
tubadili Katiba ili tumwongezee.
Umeona sababu kubwa ya kubadili katiba ni kuongeza muda wa rais madarakani tu....issue nyingine huzioni tena?

HTML:
Chadema ni showing of nyingi hamna kitu.

Walishashika dola lini hawa ukapata nafasi ya kuwapima ndugu?
 
Kikwete hajakwama ila mna haraka tu jamani Rome haikujengwa kwa siku moja ,maana stage aliyofikia Muungwana sio ndogo anastahili pongezi ,unajua kuna watu wanakuwa na papara lakini inavyoonyesha Muungwana papara hanazo ni mvivu tu .
Ni uvivu ndio marazi yake hakuna jingine ,uvivu wa utekelezaji ni very slow inawezekana miaka kumi ikawa haitoshi kwake ,tubadili Katiba ili tumwongezee.Chadema ni showing of nyingi hamna kitu.

Mwiba,

Unadhani bado Kikwete hajakwama?

Asha
 
Ingekuwa south africa, kenya, zambia, rwanda, xicm wenyewe wangesha mtosa vasco da gama

reasons;

kwanza ameshindwa kutawala, makundi ndani ya chama

ameshindwa kusimamia ilani ya chama na hivyo uchumi kuyumba

wananchi wamepoteza imani na xicm, xicm wameleta maisha duni

hivyo wagombea wa xicm 2015 hawakubaliki maana hawana jipya, ahadi za uongo.

Hao hao walio madarakani (mawaziri wa xicm) wameshindwa kumshauri raisi kuinua uchumi na kuleta maisha bora.

Sasa wananchi watawauliza walikuwa wapi siku zote katika wadhifa wa uwaziri, wasiboreshe maisha? Kwa nini wasubiri 2015.

Natoa wito kwa wana xicm na mawaziri. Saidieni wananchi sasa, acheni ubinafsi
 
Back
Top Bottom