TUMBIRI
JF-Expert Member
- May 7, 2011
- 1,933
- 1,199
Lakini nyie CDM si ndio mnapinga muungano sasa mnataka nini Zanzibar?
Kwani hiyo CUF yenu inataka Muungano? Mbona tumeiona ikijiuza Igunga, Tarime, nk!
Lakini nyie CDM si ndio mnapinga muungano sasa mnataka nini Zanzibar?
Ni kipi bora uchi wa nguo au uchi wa akili.
Nimeishasema Chadema wakishinda uwakilishi mie tatembea bila nguo kutoka Posta mpaka Kimara bonyokwa na kurudi.
Nani ana haja ya kuona dudu lako linalotumiwa na Mkuu wa kaya. Sio tu utembee uchi bali pia uwe umeinama ****** juu
AFP 14=0.2%, CUF 9158=90.9%, CCM 731 ,
JAHAZI 29=0.3%, NCCR-
MAGEUZI 7=0.1, NRA
8=0.1%, CHADEMA 12=0.2%!!! j
kwani hilo jimbo la uzini idadi ya wachaga ni kubwa sana,nauliza tu jamani
wamesombwa na malori kama IgungaHao wanachama wa CDM maelfu wametoka wapi zanzibar? Au mwandishi alikuwa naandika tu kujifurahisha?
kweli majina mnajipa kulingana na tabia zenuAFP 14=0.2%, CUF 9158=90.9%, CCM 731 ,
JAHAZI 29=0.3%, NCCR-
MAGEUZI 7=0.1, NRA
8=0.1%, CHADEMA 12=0.2%!!! j
[/B]Hapo kwenye bold....kumbe unakubali kuwa CUF na CCM ni chama kimoja? nisikuone ukibisha tena
Very nice answer.
Mbona chama chako cha CUF kilijua hakishindi Igunga lakini mling'ang'ania. Na tuone kama Arumeru Mashariki mtatia mguu tena!
Kuandika uongo nao ni uendawazimu.Unamdanganya nani? CCM ndiyo ilishinda hili jimbo
kweli majina mnajipa kulingana na tabia zenu
unajua hili jimbo lilikuwa linamiliwa na chama gani ? Mbona unachanganya madesa Hadi hapa hauaminiki kabisaaaaaaaaaaaaa
Hapo kwenye bold umenichekesha sana mtu wangu!....kumbe umekubali kwa kinywa chako kuwa CCM na CUF = na chama kimoja.
unapaswa specific watu tunaanga uzi unahusu nini we unaandika tu mambo yako ni bora unge reply with quote yake tu tungejua maana yakoKuna jamaa hapo juu kataka nimpe matokeo ya kura kwa jimbo nililokuwepo mimi nikiwa kama (OPO), na ndio hayo hapo! Tafadhali musikurupuke kujibu kabla ya kupitia comment zilizotangulia!
Kuna jamaa hapo juu kataka nimpe matokeo ya kura kwa jimbo nililokuwepo mimi nikiwa kama (OPO), na ndio hayo hapo! Tafadhali musikurupuke kujibu kabla ya kupitia comment zilizotangulia!
ipo juu ya nini ?chadema ipo juu
chadema ipo juu
Juu ya dancing floor pale jirani ya brekpoint!ipo juu ya nini ?
jimbo gani la Zanzibar lenye uwezo wa kumpa mwakilishi kura elf 9? Hakika hamna.Majimbo yote na kura zake ninazo hapa.Wenyeviti wa vitongoji hapa bara wanachaguliwa na watu wengi kuliko wawakilishi wa Zanzibar