- Thread starter
- #21
This story, is what the fools want to hear although it lacks substance
This story,is what fools dont want to hear although it doesnt lacks substance
This story, is what the fools want to hear although it lacks substance
Hii mpya! Hongereni kwa type ya wanachama mliyo nayo! Ndio maana kila mara mnabwagwa kwenye chaguzi!uanachama wa moyoni siyo wa kwenye vikatasi munao wategemea
Kumbe hiki ni chama cha watu wawili..nilikuwa silifahamu hili!
Wanataka kufanya kila kitu wao, hawataki kuwapa wengine nafasi! Kwa mtindo huu chama kitakua?
lazima uangaliwe mahala pa delegation to take placeKumbe hiki ni chama cha watu wawili..nilikuwa silifahamu hili!
Wanataka kufanya kila kitu wao, hawataki kuwapa wengine nafasi! Kwa mtindo huu chama kitakua?
Hawa watu kila kitu wanafanya wao wenyewe!! Wakizidiwa sana wamtafuta mtu wa North awasaidie!!lazima uangaliwe mahala pa delegation to take place
RejeoHii mpya! Hongereni kwa type ya wanachama mliyo nayo! Ndio maana kila mara mnabwagwa kwenye chaguzi!
Lakini nyie CDM si ndio mnapinga muungano sasa mnataka nini Zanzibar?Rejeo
Kumbuka kuwa kuna Waziri mkuu ( mtaafu kwa sasa) aliwahi sema kuwa ukitaka biashara zako zikunyokee peperusha bendera ya CCM otherwise hainyoki unadhani hawezi kupeperusha hiyo bendera ili hali siyo mwanachama wa ukweli Wanachama wengi mlionao si waukweli toka moyoni ndiyo maana mkaanza kuvuana magamba ili kuwa rejeshaea matumaini mapya
Chaguzi zipi za halali unazo sema fikiria kama wananchi kusimama kidete kutetea kura zao leo Chadema ingekuwa na hao wabunge 23 fikiria kilicho fanyika Mbeya, Tunduma, Mwanza Je kule ambako wananchi hawakutetea kura zao nini kilitokea
hata Igunga ilikuwa ni dash kabisa lakini matokeo uliyapataHii habari ingekua mzuri zaidi kama wangeweka neno 'Wanakuja kutembea' badala ya 'Kutikisa'! Halafu nimeshangaa sana kuona maneno 'Watahutubia maelfu ya wanachama wa Chadema'!
Hivi Zanzibar mzima Wanachama wa Chadema wanaweza kufika 5000 licha ya jimbo moja!? Nilikua Msimamizi mkuu (OPO) wa uchaguzi mwaka 2010 katika moja ya vituo vilivyomo ndani ya jimbo langu na Chadema haikufika hata kura 30 kwa kituo hicho! Ilikua kila chumba zinapatikana kura 3, 4, 2 na baadhi ya vyumba havikutoa hata kura moja!!!
Chadema wanakuja kupoteza muda, pesa na mwisho wa siku watamkodolea macho Mohammed Raza (CCM) akijinyakulia jimbo kiubwete na wao kuishia kulalamika na ZEC ya kwamba wameporwa! Ushauri wa bure:
Nawaomba mutakapokuwepo huku muchunge nidhamu, hule mtindo wenu wa kuwavua mabint Hijabu kwa Zanzibar utakuja kuwaweka pabaya na huku hata sehemu za kujificha hazipo maana mukijichimbia kwenye maspeaker (hii inanikumbusha Slaa) wanaume watayachoma moto. CCM OYEEE! CUF NGANGARIII!
Nani kakudanganya hivyoLakini nyie CDM si ndio mnapinga muungano sasa mnataka nini Zanzibar?
hata Igunga ilikuwa ni dash kabisa lakini matokeo uliyapata
tuliambiwa ulikuwa matanndio na si hijabu kama ulivyo aminishwa
ila cdm wanamoyo japo wanajua hawatashinda ila wapo tu
dj mbowe na padri slaa wamefuata posho tu ya laki 6 per day
Hao wanachama wa CDM maelfu wametoka wapi zanzibar? Au mwandishi alikuwa naandika tu kujifurahisha?
This story, is what the fools want to hear although it lacks substance !
Kumbe hiki ni chama cha watu wawili..nilikuwa silifahamu hili!
Wanataka kufanya kila kitu wao, hawataki kuwapa wengine nafasi! Kwa mtindo huu chama kitakua?
Hii mpya! Hongereni kwa type ya wanachama mliyo nayo! Ndio maana kila mara mnabwagwa kwenye chaguzi!
Hawa watu kila kitu wanafanya wao wenyewe!! Wakizidiwa sana wamtafuta mtu wa North awasaidie!!
Duh!! ni kama mmefinguliwa nendeni mkamtetee rais wenu kule kwenye thread zingine anavuliwa nguo.Nimeshaiona hapo juu nikaichunia! Hukuwa na haja ya kui-repost!
Kwani aliyeshinda kwenye jimbo hilo alipata kura mia ngapi vile!!!Hii habari ingekua mzuri zaidi kama wangeweka neno 'Wanakuja kutembea' badala ya 'Kutikisa'! Halafu nimeshangaa sana kuona maneno 'Watahutubia maelfu ya wanachama wa Chadema'!
Hivi Zanzibar mzima Wanachama wa Chadema wanaweza kufika 5000 licha ya jimbo moja!? Nilikua Msimamizi mkuu (OPO) wa uchaguzi mwaka 2010 katika moja ya vituo vilivyomo ndani ya jimbo langu na Chadema haikufika hata kura 30 kwa kituo hicho! Ilikua kila chumba zinapatikana kura 3, 4, 2 na baadhi ya vyumba havikutoa hata kura moja!!!
Chadema wanakuja kupoteza muda, pesa na mwisho wa siku watamkodolea macho Mohammed Raza (CCM) akijinyakulia jimbo kiubwete na wao kuishia kulalamika na ZEC ya kwamba wameporwa! Ushauri wa bure:
Nawaomba mutakapokuwepo huku muchunge nidhamu, hule mtindo wenu wa kuwavua mabint Hijabu kwa Zanzibar utakuja kuwaweka pabaya na huku hata sehemu za kujificha hazipo maana mukijichimbia kwenye maspeaker (hii inanikumbusha Slaa) wanaume watayachoma moto. CCM OYEEE! CUF NGANGARIII!
dj mbowe na padri slaa wamefuata posho tu ya laki 6 per day
Kwani aliyeshinda kwenye jimbo hilo alipata kura mia ngapi vile!!!
Hao wanachama wa CDM maelfu wametoka wapi zanzibar? Au mwandishi alikuwa naandika tu kujifurahisha?