Ni katika hali ya kuthibitisha uchovu wa jeshi la Polisi kwamba hawana hata helikopita (kama ni kweli ilibidi asafirishwe kwa helikopita) au zile walizonazo zimeharibika! Au ilikuwa nikumpa hofu Mh Mbowe?! Au tuamin tu kwamba kama maisha yao polisi yalivyo mabaya(kuishi kwenye vibanda vya mbavu za mbwa wengine watoto wao wa kike na kiume wanalala chumba kimoja,polisi hawana kitu,mishara midogo-mikopo yao haikidhi,kupandishwa vyeo mpaka waue majambazi(wananchi!) hata vitendea kazi hawana? au yalikuwa ni matumizi ya nguvu nyingi na matumizi mabaya ya pesa za wananchi.Kweli jamaa wamepigika hata Helikopita hawana? Kwa hiyo majambazi wakikimbilia kwenye mistu minene wataomba tena helkopita jeshini?!