Nilifatilia kwa makini mchango wa mh.mbowe jana pamoja na mh.shibuda,kwakweli nilipata wakati mgumu kuamini macho yangu nilipoona mbowe akimwaga sifa tele kwa mkuu,na shibuda alipopewa nafasi aliwaponda wabunge wengi vijana hasa wa upinzani na kushangiliwa kwa maneno ccm,ccm!