Mark Francis
JF-Expert Member
- Nov 19, 2010
- 605
- 310
Kwanini hakusema hilo bungeni?
Wewe hufatilii bunge ndo maana... Ungefatilia usingeuliza swali hilo!!
Kwanini hakusema hilo bungeni?
Akifungua kikao cha Baraza Kuu la Chama cha Demokrasia na Maendeleo Chadema jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe amesema wananchi watajadili Katiba kadiri wanavyotaka na siyo kama anavyotaka Rais Jakaya Kikwete na kwamba hata suala la Muungano litajadiliwa kwa vile ni haki yao.
Source: Tanzania Daima.
Ribosome lipi bora kwako kwa watu wasiotaka muungano kususa ama kujadili, unajua kuwa implications za kususa ni mbaya zaidi ya kujadili. Iwapo kwa mfano wazanzibari wakisusa au wakijitoa kwenye mjadala wa katiba unafikiri wanaotaka muungano uendelee watakuwa wameshinda? NO, You have to think in both ways.Kama wewe huutaki unaujadili nini sasa? si unasusa tu, au umesahau kuwa kuna kususa?
Kusema si kujadili. Naona hujui maana ya mjadala.
Mie huyu jamaa huwa simsikilizagi kabisa tangia alipofanya ule ufisadi wa magari mabovu yake kuiuzia CDM, na magari hayo sasa yako juu ya mawe. Tangia hapo kila anachosema namuona ni kwa kujitafutia umaarufu. Hiyo Tume iliyoundwa haina haki yakujadili muungano , kwani sheria iliyowateua wao wenyewe inawazuia.
nini cha kujadili kwenye muungano??
Bungeni kuna taratibu zake huwezi kusema chochote wakati wowote hata kama ni kizuri namna gani. Kwenye mada hii tunachotakiwa tukiangalie ni hoja yake je ina mantiki na siyo wapi kasemea.Mbowe vitu kama hivi ambavyo ni muhimu katika mustakabali wa taifa letu ni muhimu ungekuwa unasemea bungeni kwa nafasi yako...sasa unakwenda kusemea kwenye vikao vya chama chako.
Wazanzibari hasa wapemba wanaufaidi muungano kuliko Watanganyika.
Wazanzibari hao hao wanataka kuuvunja muungano kwa sababu ya mafuta.
Muungano wenyewe umekaa kimtindo mtindo. Zanzibar wana Bendera yao Tanganyika hawana, Zanzibar wana serikali yao Tanganyika hawana, Zanzibar wana katiba yao Tanganyika hawana.
Muungano wa kisanii
Mbowe vitu kama hivi ambavyo ni muhimu katika mustakabali wa taifa letu ni muhimu ungekuwa unasemea bungeni kwa nafasi yako...sasa unakwenda kusemea kwenye vikao vya chama chako.
Kama baba mwanaasha alipoenda kuomba kibali ccm cha kuvunja baraza la mawaziri sio?
nini cha kujadili kwenye muungano??
Mkuu sidhani kama hujui hili swala haliamuliwi na wabunge linapelekwa kwa wananchi, hata hivyo kama ni idadi bungeni ni masuala mangapi yaliyoanzishwa na CDM yamefanikiwa wakiwa na idadi ileile likiwemo la muswada wa kuanzisha katiba na hili la juzi la mawaziri kujiuzulu.Kwa sasa suala la Muungano waliache kama lilivyo maana hawana nguvu ya kulisukuma. wanachotakiwa kufanya ni kujiongezea nguvu kwanza za idadi ya wabunge huku bara then from there wanaweza wanashurutisha lolote na likafanikiwa.
Unless bungeni CMD wawe 47% or above hakuna sheria ya nchi wataweza kuibadili, sana sana CCM wanaweza ku respond kwa namna ya kuwa favor wao CCM. Mfano mzuri ni mabadiliko ya hii katiba. CCM wamekubali kupooza tu pressure lakini haiwezi kubadilika vile upinzani na watanzania walio waelewa wangependa iwe.
Kwa sasa suala la Muungano waliache kama lilivyo maana hawana nguvu ya kulisukuma. wanachotakiwa kufanya ni kujiongezea nguvu kwanza za idadi ya wabunge huku bara then from there wanaweza wanashurutisha lolote na likafanikiwa.
Unless bungeni CMD wawe 47% or above hakuna sheria ya nchi wataweza kuibadili, sana sana CCM wanaweza ku respond kwa namna ya kuwa favor wao CCM. Mfano mzuri ni mabadiliko ya hii katiba. CCM wamekubali kupooza tu pressure lakini haiwezi kubadilika vile upinzani na watanzania walio waelewa wangependa iwe.
Kobelo we mgeni? huwajui wanasiasa walivyo mandumilakuwili?Kwanini hakusema hilo bungeni?