KweliKwanza
JF-Expert Member
- Aug 20, 2016
- 3,500
- 2,781
Itafte ipo ndanindaniPicha pls
Itafte ipo ndanindaniPicha pls
Ni kweli kabsaKweli EL ni bubu na dhaifu. Amekuwa mhudhuriaju mzuri wa bunge. Wakati upinzani wanaibua ufisadi bungeni kama escrow Mhe. Huyu anayetaka nchi hakusikika kukemea wala nn. Mana yake alikuwa analinda maslah ya chama (wezi) na kushindwa kutetea maslah mapana ya taifa.
Hii mana yake hana uzalendo na ni mmoja kati ya wapigaji wa raslimali za watanzania. Kwa hili EL na yeyote awaye toka CCM hana sifa kuwa Rais wetu.
Huo ni uchochezi hatufujui makaburiIkawaje tena wakamchukua?
Wacha yafukuliwe tu.Wafukuaji makaburi.
Yupo tena bado anatapatapta.Upo JF?
Kwa sasa umegeuka kuwa mpiga debe mkuu wa mamvi.Mh.Mbowe amenukuliwa na Tanzania Daima akimchana Mh.Lowasa kuwa ni mgombea dhaifu na bubu wa kukemea ufisadi.
Amesema UKAWA hawawezi kuwa nae,hivyo asiwatishe CCM kuwa ana nafasi UKAWA.
Source:Tanzania Daima page no.5
OKW BOBAN SUNZU.Mh.Mbowe amenukuliwa na Tanzania Daima akimchana Mh.Lowasa kuwa ni mgombea dhaifu na bubu wa kukemea ufisadi.
Amesema UKAWA hawawezi kuwa nae,hivyo asiwatishe CCM kuwa ana nafasi UKAWA.
Source:Tanzania Daima page no.5
Mh.Mbowe amenukuliwa na Tanzania Daima akimchana Mh.Lowasa kuwa ni mgombea dhaifu na bubu wa kukemea ufisadi.
Amesema UKAWA hawawezi kuwa nae,hivyo asiwatishe CCM kuwa ana nafasi UKAWA.
Source:Tanzania Daima page no.5
Alishapenyeza rupia, na vuguvugu lote dhidi ya ufisadi likageuka barafu. Haiwezekani tena kusimama jukwaani na kutamka neno ufisadi kwakuwa mwenye nembo yake yupo nyuma yao. Kazi kweli kweli.Kwa sasa umegeuka kuwa mpiga debe mkuu wa mamvi.
I love this gameMh.Mbowe amenukuliwa na Tanzania Daima akimchana Mh.Lowasa kuwa ni mgombea dhaifu na bubu wa kukemea ufisadi.
Amesema UKAWA hawawezi kuwa nae,hivyo asiwatishe CCM kuwa ana nafasi UKAWA.
Source:Tanzania Daima page no.5
Nadhani usahihi bado ni 100%nadhani mbowe ni sahihi kwa 100%
ni shida kwa kweliNadhani usahihi bado ni 100%