Adolph
JF-Expert Member
- Sep 26, 2010
- 895
- 346
Hayawi hayawi yamekua...Wananchi wa jimbo la Kibaha vijijini na viunga vyake Jumapili Hii watapata neema ya kutembelewa na viongozi wa kitaifa wakiongozwa na kamanda wa anga Freeman Mbowe, Tundu Lissu na John Mnyika..
Viongozi hawa wa kitaifa wa chama watafungua matawi ya chama kisha baadae watafanya mkutano mkubwa wa hadhara Mlandizi katika uwanja wa Stand ya Mzenga...
Hamasa ni kubwa sana hapa Mlandizi ambapo kila sehemu watu wanamsubiri kwa hamu kamanda Mbowe ambaye hajafika toka 2005.. Magamba yatavuliwa. Gwanda zitavaliwa..
Maandalizi ya mkutano yanaendelea na Mkutano huo unatarajiwa kuweka historia kwa mahudhurio hapa Mlandizi..
NAWASILISHA
Viongozi hawa wa kitaifa wa chama watafungua matawi ya chama kisha baadae watafanya mkutano mkubwa wa hadhara Mlandizi katika uwanja wa Stand ya Mzenga...
Hamasa ni kubwa sana hapa Mlandizi ambapo kila sehemu watu wanamsubiri kwa hamu kamanda Mbowe ambaye hajafika toka 2005.. Magamba yatavuliwa. Gwanda zitavaliwa..
Maandalizi ya mkutano yanaendelea na Mkutano huo unatarajiwa kuweka historia kwa mahudhurio hapa Mlandizi..
NAWASILISHA