Waislamu wa Machame ni westernized ndio maana.Joka kuu.
usikurupuke.
Uislam ni Dini na una taratibu zake iwe tanzania, oman au hata China wote ni kitu kile kile.
Imekatazwa kabisa kufanya au kutoa msaada kwanye kadamunassi kwani hio ni RIA na haifai kabisa. hayo yamo dhwahir katika Qur'An.
sasa Mbowe anakwenda kinyume na Qur'an na hivyo tunasiamama na kusema sio sahihi.
Je umewahi kusikia kuna Harambee ya kujenga msikiti huko Tz au popote pale zaidi ya hii ya Mbowe? jiulize kwanini?
tafakur