Mbowe kutumia gari la serikali kwenye kampeni ni sawa?

Mkuu BHULULU sijajichanganya mimi ni ngongo na nitabakia kuwa ngongo Mingoi anaweza kuja hapa kukuthibitishia na ukitaka unaweza kuomba msaaada wa Mods.

Hoja hapa ni Mheshimiwa Mbowe kutumia gari la serekali kwenye kampeni za chama chake ?.Badala ya kujibu hoja mnakimbilia kutukana wadadisi kwakuwa mkosaji hapa anatoka upande unaoushabikia ?.

Sina uhusiano wa kindugu,kijumuiya wala kiitikadi na Ngongo.Nimejiunga jf baada ya kuwa viewer kwa takribani miaka 3 sijawahi kuwa shabiki,mfuasi wala mkereketwa wa maoni na mtazamo wa Ngongo.Simfahamu huyo mtu kwa njia yeyote zaidi ya mwanaJF mwenzangu.

Safi ulivyo kuja kujibu pia nawapongeza kwa kufuta mapovu jazba
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom