Nimemuona Freeman Mbowe mwenyekiti wa Chadema taifa akitumia gari la serkali (KUB) kwenye kampeni za udiwani maeneo mengi nchini, nikajiuliza sheria inasemaje wadau.......
Sio mbowe tu. maalim seif alipo kwenda tuliani mvomelo amepelekwa na gari tano za serikali hivyo wakongwe hawa tuwaulize haya sio matumizi mabaya ya fedha za umma.
Nimemuona Freeman Mbowe mwenyekiti wa Chadema taifa akitumia gari la serkali (KUB) kwenye kampeni za udiwani maeneo mengi nchini, nikajiuliza sheria inasemaje wadau.......
Tunathamini mchango wa freeman Mbowe na Dr Slaa katika kuifikisha chadema hapo ilipo lakini nafikiri katika uchaguzi ujao wa chama Ndugu hawa wawili wapumzike na chama kipate viongozi wapya sababu kuendelea kwa kuwa viongozi kutakigharimu chama hasa kwa kuwa wapinzani wao wameshapata maeneo ya kuwasemea kama mapungufu
Kwa kifupi unachosema ni kwamba Mbowe na Slaa sasa hivi hawafai kuongoza Chadema. Siyo?Tunathamini mchango wa freeman Mbowe na Dr Slaa katika kuifikisha chadema hapo ilipo lakini nafikiri katika uchaguzi ujao wa chama Ndugu hawa wawili wapumzike na chama kipate viongozi wapya sababu kuendelea kwa kuwa viongozi kutakigharimu chama hasa kwa kuwa wapinzani wao wameshapata maeneo ya kuwasemea kama mapungufu
acha unafiki ndugu unakua kama sio mzalendo tumia wewe basi kama unaona mbowe anafaidi
wewe usiruke mkoa wakilimanjaro tutaondoka nashingo yako
na nikwanini usimpige picha kama sio umbeya >?
Mwanaume mzima unakuwa mbea namna hii, ulituambia nini kuhusu Kamanda Lema, umekalia majungu tu, kiasi cha kuwa na maID 80
Serikali ya CCM ni DHAIFU inashindwa kusimamia mali zake. Kamuuluze mwenyekiti wa CCM Taifa kuhusu sheria zinasemaje? CCM imeshika hatamu na tunafuata Dira za chama.Nimemuona Freeman Mbowe mwenyekiti wa Chadema taifa akitumia gari la serkali (KUB) kwenye kampeni za udiwani maeneo mengi nchini, nikajiuliza sheria inasemaje wadau.......
Picha za kicgapo cha Lema uliweka nirudi kuangalia?
Jamaa amejichanganya kweli na mi-ID yake hiyo mara@Mingoi,mara@Ngongo, kazi kweli kweli
Sina uhusiano wa kindugu,kijumuiya wala kiitikadi na Ngongo.Nimejiunga jf baada ya kuwa viewer kwa takribani miaka 3 sijawahi kuwa shabiki,mfuasi wala mkereketwa wa maoni na mtazamo wa Ngongo.Simfahamu huyo mtu kwa njia yeyote zaidi ya mwanaJF mwenzangu.Mkuu BHULULU sijajichanganya mimi ni ngongo na nitabakia kuwa ngongo Mingoi anaweza kuja hapa kukuthibitishia na ukitaka unaweza kuomba msaaada wa Mods.
Hoja hapa ni Mheshimiwa Mbowe kutumia gari la serekali kwenye kampeni za chama chake ?.Badala ya kujibu hoja mnakimbilia kutukana wadadisi kwakuwa mkosaji hapa anatoka upande unaoushabikia ?.