Umejibu hovyo kabisa,Usiniponde mimi mimi sijatunga hiyo habari,napenda kujua kama ni ya kichochezi au vp
Katika My Take nataka kujua kuhusu habari hii,mtuambie nyie wanachama na viongozi wa Chama chenye nguvu kama hii habari ni ya kweli sio unaniponda mimi.
Jamani... JF naona vichaa wanaongezeka kila siku, hivi ni ugumu wa maisha au ni ugumu wao wa kuelewa chanzo cha shida zilizowafanya warukwe na akili?
My Take: Wale viongozi wa Chadema na wakereketwa waliopo humu JF watuthibitishie hii habari kama ni kweli.[/I]
....kwa hapo ulipogusa mmmh! sijui kama utapata majibu ya kujitosheleza humu ndani! Labda waje wenyewe wenye chama chao!!Umejibu hovyo kabisa,Usiniponde mimi mimi sijatunga hiyo habari,napenda kujua kama ni ya kichochezi au vp
Katika My Take nataka kujua kuhusu habari hii,mtuambie nyie wanachama na viongozi wa Chama chenye nguvu kama hii habari ni ya kweli sio unaniponda mimi.
hapo ndipo nafurahia wafikiriaji wapevu wa hapa jamvini!!Soma vichwa vya habari vya AlNur
Umejibu hovyo kabisa,Usiniponde mimi mimi sijatunga hiyo habari,napenda kujua kama ni ya kichochezi au vp
Katika My Take nataka kujua kuhusu habari hii,mtuambie nyie wanachama na viongozi wa Chama chenye nguvu kama hii habari ni ya kweli sio unaniponda mimi.
Katika kupitia vichwa vya habari vya magazeti mbalimbali leo hii,nimejionea kichwa kimoja cha habari katika gazeti moja.
Gazeti hilo linadadavua mpango wa Mwenyekiti wa CHADEMA Mh. Freeman Mbowe(Mb) wa kuiuza CHADEMA kwa mafisadi nchini Tanzania na vikao vinaendelea mjini Arusha,Tanzania.(Source : SautiHuru)
My Take: Wale viongozi wa Chadema na wakereketwa waliopo humu JF watuthibitishie hii habari kama ni kweli.
Chaggas Development Manifesto (CHADEMA) ni chama cha wapenda hela , sintoona ajabu Mbowe akiwauza hawa jamaa
Umejibu hovyo kabisa,Usiniponde mimi mimi sijatunga hiyo habari,napenda kujua kama ni ya kichochezi au vp
Katika My Take nataka kujua kuhusu habari hii,mtuambie nyie wanachama na viongozi wa Chama chenye nguvu kama hii habari ni ya kweli sio unaniponda mimi.
nadhani unajua fika vichwa vya habari siku hizi havikupi mwanga wa habari, ili upate jibu zuri la kueleweka, kutokana na swali lako, please scan, au retype hio habari hapa ndio wataalamu watakuambia kama kuna ukweli au ni yale mambo yetu ya kawaida.
(kama usipoitoa watajua kwamba na wewe ni mmoja wao)
Soma vichwa vya habari vya AlNur
Ndg yangu waonesha hii mada unataka iwe ya kidini.Soma vichwa vya habari vya AlNur