na mwaka lwakatare akihama chadema .......vijiwe vitabadilishwa kuelekea chama atakacho kwenda.
lwakatare hakupigia debe chama, hujipigia mwenyewe tu.........bora kuruhusiwe mgombea binafsi tujue moja
vyama vya siasa tanzania bado vina safari ndefu.
Ndipo hapo tutakapojua kwa sasa waache wafungue matawi ya chadema yatasaidia hata kwenye chaguzi za serikali za mitaa