Aliposema sio hoja ya CCM alikuwa anaihusisha na CUF as they are one and the same.Mbowe hasemi ukweli anaposema kuwa CHADEMA ndio "custodians" na initiators wa hoja ya Katiba, amesahau CUF ndio waliobuni hoja hiyo na ndio walioandika mpaka rasimu ya katiba yao miaka mingi sana kabla ya chadema hata kufikiria.
Mambo mengine jamani mwambieni huyu Mwenyekiti wa magwanda awe anauliza kabla hajakurupuka.
Kaka hapa hujaquote sawa, Hajasema kitu kama hiki.
Mmmmmh We haya weeSina historia ya kuongea uwongo.
Nadhani utambue point ya msingi ni ipi,amesema shibuda atashughulikiwa na vikao halali vya chama,kipi cha uwongo hapa dada?
Mbowe anaomba CUF washariki mkutano wa Chadema Jangwani...sasa hapo nashindwa kumuelewa Mbowe CUF si CCM B sasa unawaomba wa nini?
Aliposema sio hoja ya CCM alikuwa anaihusisha na CUF as they are one and the same.
Muongo mkubwa wewe anaongea mambo ya wanawake gamba lilokosa adabu wewe
CCM waliianzisha lini, Magamba kwa kuiga siwaweziMbowe hasemi ukweli anaposema kuwa CHADEMA ndio "custodians" na initiators wa hoja ya Katiba, amesahau CUF ndio waliobuni hoja hiyo na ndio walioandika mpaka rasimu ya katiba yao miaka mingi sana kabla ya chadema hata kufikiria.
Mambo mengine jamani mwambieni huyu Mwenyekiti wa magwanda awe anauliza kabla hajakurupuka.
Siku ya jumamosi tunaenda kuongelea katiba Jangwani - Mbowe
Mbowe hasemi ukweli anaposema kuwa CHADEMA ndio "custodians" na initiators wa hoja ya Katiba, amesahau CUF ndio waliobuni hoja hiyo na ndio walioandika mpaka rasimu ya katiba yao miaka mingi sana kabla ya chadema hata kufikiria.
Mambo mengine jamani mwambieni huyu Mwenyekiti wa magwanda awe anauliza kabla hajakurupuka.