Mbowe in informal meeting with JK

?hisia......zako. Wewe katiba inaruhusu?
Craaaaaap! Disgusting! Hatuwezi kujadili 'hisia' rather we discuss 'ideas'
Kajipange ndugu
 
haiwezekani kabisa'kwanza wana ccm walivyo na roho mbaya hawawezi kumwachia afanye hivyo
 
Kuna uzi mmoja uliwahi andikwa humu jamvini uliokuwa ni tetesi juu ya mkuu wa wadanganywa kubadirisha BARAZA LA MAWAZIRI ifikapo mwezi wa tatu. Kutokana na kikao cha siri kilichofanyika kati ya mkuu wa wadanganywa na yule mkuu wa magwanda, nahisi walikuwa wanakubaliana kuhusu wabunge wa magwanda washirikishwe katika hilo baraza la mawa ziri. Msiniulize sosi maana sosi ni hisia zangu tu.


Hisia ni kitu kizuri na vitu vingi duniani ni muendelezo wa hisia......lakini hisia huwa ni UPUNGUANI kutegemea na motive behind those hisia
 
Mi nshasema siku CDM ikiingia mseto na CCM narudisha kadi na nitaapa kutokuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa hadi nakufa. Sitaki kuwa mwanachama wa CCM C, D, E, F, G, etc.
 
Nilishasema Chadema anayeaminika ni Dr. Slaa tu na asipokuwepo huyo mimi sikipigii kura chadema hakiyamungu

kama kweli unaemuamin ni dk slaa peke yake bora usipige kura a as hata kama atashinda hawezi kuongoza serikali peke yake,hao usiowaamin watakuwa ndo akina 'ngeleja,kawambwa,wassira'.
 
Aisee yaani jf ni jalala yaani tunajadili hisia zako safi sana nami naleta hisia zangu kuwa kuna kitu kitatokea kabla ya 2015 nchi itapinduliwa!!
 
Mi nshasema siku CDM ikiingia mseto na CCM narudisha kadi na nitaapa kutokuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa hadi nakufa.


Kati ya mambo yasiyofaa kutania, ni lile la mwanaume kutania kuolewa. Walahi siku CDM itakubali kuolewa, wamekwisha
 
hivi inawezekana?
Maybe, maybe not...

Lakini usisahau kuwa Marehemu ndiye aliwapa ushauri wa kwenda kumwona JK, na kweli wakaenda, so inaonyesha alikuwa mtu mwenye spirit ama mwelekeo wa kutaka serikali ishirikishe wapinzani.

Wanasema kwenye misiba watu hupatana na sometimes hubadilika.

Kwa jinsi JK alivyozidiwa, anaweza akafanya kwasababu ataingia kwenye historia ya nchi kwa namna ya tofauti sana!

Talking bout "Nitoke vipi?" lol
 
?hisia......zako. Wewe katiba inaruhusu?
Craaaaaap! Disgusting! Hatuwezi kujadili 'hisia' rather we discuss 'ideas'
Kajipange ndugu

Obama alipoingia madarakani, kama sikosei aliwashirikisha wapinzani. Je, katiba yao ilikuwa inaruhusu?, na kama ilikuwa inaruhusu mbona marais waliomtangulia hawakufanya hivyo, na kama Marekani, Kenya, Zimbabwe waliweza iweje Tanzania wasiweze. Zaidi mlango wa jambo kama hilo umeshafunguliwa na SUK ZANZIBAR, CHADEMA kwenda Magogoni kunywa chai na mkulu.
 
Kuna uzi mmoja uliwahi andikwa humu jamvini uliokuwa ni tetesi juu ya mkuu wa wadanganywa kubadirisha BARAZA LA MAWAZIRI ifikapo mwezi wa tatu. Kutokana na kikao cha siri kilichofanyika kati ya mkuu wa wadanganywa na yule mkuu wa magwanda, nahisi walikuwa wanakubaliana kuhusu wabunge wa magwanda washirikishwe katika hilo baraza la mawa ziri. Msiniulize sosi maana sosi ni hisia zangu tu.

Hiki kitu hakiwezekani kwani katiba ya sasa hairuhusu.
 
Mimi naona kuna haya ya kusubiri kwa hamu kusikia kutoka kwa Mbowe ili atueleze wamejadili nini na kufikia muafaka gani, Vinginevyo kama ni aina ya majadiliano kama yale ya CUF yaliyosababishwa CUF kumezwa Mbowe atakuwa amefanya kosa kubwa la msingi ambalo litahalalisha CCM kuitawala Tanzania milele.
 
Mi nshasema siku CDM ikiingia mseto na CCM narudisha kadi na nitaapa kutokuwa mwanachama wa chama chochote cha siasa hadi nakufa. Sitaki kuwa mwanachama wa CCM C, D, E, F, G, etc.

Huo mchakato wa kuunda hiyo serikali utaanzia wapi? Kwa jinsi CDM walivyojipanga icho kitu hakiwezekani.
 
Obama alipoingia madarakani, kama sikosei aliwashirikisha wapinzani. Je, katiba yao ilikuwa inaruhusu?, na kama ilikuwa inaruhusu mbona marais waliomtangulia hawakufanya hivyo, na kama Marekani, Kenya, Zimbabwe waliweza iweje Tanzania wasiweze. Zaidi mlango wa jambo kama hilo umeshafunguliwa na SUK ZANZIBAR, CHADEMA kwenda Magogoni kunywa chai na mkulu.

Kote huko walianza kubadilisha katiba zao ili ziruhusu serikali ya mseto.Halafu kunywa chai ikulu si hoja, hoja walifuata nini? si ulisikia jinsi jk alivyokuwa anawashangaa mawaziri wake, lakini aliogopa kuenguliwa kwenye chama.
 
Yani tumetoka msibani leo tu hata siku haijaisha tayari mmeanza...eeh, mbona mnataka kuwaondoa watu kwenye majonzi na kuwataka waanze kutukana huku jukwaani...Sasa wewe mawazo yako na hisia zako ndo ukurupukie huku!

Haya, napita tu!
 
Back
Top Bottom