Mwenyekiti wa Chadema Mh.Freeman Mbowe amesema chama chake hakiungi mkono matumizi ya nguvu kupita kiasi wala hakiungi mkono ugaidi. Amesema hayo alipokuwa akisoma maazimio ya kamati kuu na baraza kuu lililokaa hivi karibuni ambalo pamoja na mambo mengine amezungumzia kuhusu kuuawawa kwa kiongozi wa kikundi cha Al-Qaeda Osama Bin Laden.
Source- Channel 10
Source- Channel 10