Mbowe gombea urais, achana na ubunge

Nani kasema Lipumba agombee ubunge na urais amwachie nani yeye ni mgombea urais wa maisha CUF.

Mi naona vyama vya upinzani wangemuweka mgombea mmoja kwa bara na mgombea mmoja kwa visiwani.

Wengine wote kuanzia wenyeviti, mamakamu, makatibu wakuu, mamakamu na wengine wagombee ubunge ili waongeze viti mjengoni.
 
Mbowe aliisha tangaza kuwa anarudi kwao HAI kuuchukua Ubunge, maana wazee na vijana wamemuomba akawaongoze kuelekea nnchi ya ahadi.
 
Mi naona vyama vya upinzani wangemuweka mgombea mmoja kwa bara na mgombea mmoja kwa visiwani.

Wengine wote kuanzia wenyeviti, mamakamu, makatibu wakuu, mamakamu na wengine wagombee ubunge ili waongeze viti mjengoni.

Je swala ni kuongeza viti bungeni au ufanisi ndani ya chombo hicho nyeti cha maamuzi ndani ya nchi yetu?
Cha msingi hapa ni kutafuta watu ambao ni makini wenye uwezo wa kutuwakilisha ndani ya Bunge letu na sii idadi ya watu tu bungeni.
 
Je swala ni kuongeza viti bungeni au ufanisi ndani ya chombo hicho nyeti cha maamuzi ndani ya nchi yetu?
Cha msingi hapa ni kutafuta watu ambao ni makini wenye uwezo wa kutuwakilisha ndani ya Bunge letu na sii idadi ya watu tu bungeni.
Sasa wewe unaona hao wenyeviti makatibu wa vyama si makini tunaomba tuletee hao walio makini zaidi ya akina mzee wa kiraracha bwana mapesa Mbatia Makaidi nk
 
Sasa wewe unaona hao wenyeviti makatibu wa vyama si makini tunaomba tuletee hao walio makini zaidi ya akina mzee wa kiraracha bwana mapesa Mbatia Makaidi nk

Luteni
Naona hujanielewa. I am not questining the capability and credibility of any person here. Ninachojaribu kuweka wazi hapa ni umakini na sii idadi ya wabunge Bungeni. Tunaweza tukawa na idadi kuubwa sana ya watu Buungeni lakini matokeo yake ni kupitisha mikataba ambayo haisaidii nchi.
 
Luteni
Naona hujanielewa. I am not questining the capability and credibility of any person here. Ninachojaribu kuweka wazi hapa ni umakini na sii idadi ya wabunge Bungeni. Tunaweza tukawa na idadi kuubwa sana ya watu Buungeni lakini matokeo yake ni kupitisha mikataba ambayo haisaidii nchi.

Hatuzungumzii kuongeza nafasi na viti zaidi bungeni, tunajojaribu kuongelea ni kuongeza idadi ya viti vya wabunge wa upinzani.
 
Luteni
Naona hujanielewa. I am not questining the capability and credibility of any person here. Ninachojaribu kuweka wazi hapa ni umakini na sii idadi ya wabunge Bungeni. Tunaweza tukawa na idadi kuubwa sana ya watu Buungeni lakini matokeo yake ni kupitisha mikataba ambayo haisaidii nchi.
Kwani hao wengi wa CCM wana umakini gani kinachotakiwa kwa sasa wapinzani waongeze viti whether ni makini si makini it doesnt matter mbona wengine wa CCM ni makini na ndio wanaofanikisha kupitisha miswada mibovu mbunge yeyote wa upinzani atasaidia kuongeza kura za kupinga hiyo miswada mibovu ili mradi tu amechaguliwa na wapiga kura wake.
 
Je swala ni kuongeza viti bungeni au ufanisi ndani ya chombo hicho nyeti cha maamuzi ndani ya nchi yetu?
Cha msingi hapa ni kutafuta watu ambao ni makini wenye uwezo wa kutuwakilisha ndani ya Bunge letu na sii idadi ya watu tu bungeni.

Ni kuongeza viti vya upinazni Bungeni na ufanisi pia...vyote vinakwenda sambamba.
 
Kwani hao wengi wa CCM wana umakini gani kinachotakiwa kwa sasa wapinzani waongeze viti whether ni makini si makini it doesnt matter mbona wengine wa CCM ni makini na ndio wanaofanikisha kupitisha miswada mibovu mbunge yeyote wa upinzani atasaidia kuongeza kura za kupinga hiyo miswada mibovu ili mradi tu amechaguliwa na wapiga kura wake.

Ieleweke wazi kuwa sikatai na wala sipingi idadi ya wabunge wa upinzani kuongezeka bungeni. Bali ninachojaribu kuweka wazi ni uwezo na ujasiri wa wabunge hao watakaokuwa bungeni kuweza kupambbanua mambo. Unanihuzunisha kabisa unaposema umakini sio kitu cha msingi. Kumbe unaweza kumpitisha mtu ambayye sio makini awe mwakilishi wa wananchi kwenye chombo muhimu kama Bunge?
 
Je swala ni kuongeza viti bungeni au ufanisi ndani ya chombo hicho nyeti cha maamuzi ndani ya nchi yetu?
Cha msingi hapa ni kutafuta watu ambao ni makini wenye uwezo wa kutuwakilisha ndani ya Bunge letu na sii idadi ya watu tu bungeni.
Ni kweli suala siyo kuongeza idadi ya viti bungeni,lakini lakini ukumbuke kuwa bunge letu la demokrasia,yaani wengi wape, tukiwa nao wengi na kama wakiwa makini,mambo mengi sana yatabadilika sana, angalian kama bunge la Marekani , utapata picha ndugu yangu.
 
Ieleweke wazi kuwa sikatai na wala sipingi idadi ya wabunge wa upinzani kuongezeka bungeni. Bali ninachojaribu kuweka wazi ni uwezo na ujasiri wa wabunge hao watakaokuwa bungeni kuweza kupambbanua mambo. Unanihuzunisha kabisa unaposema umakini sio kitu cha msingi. Kumbe unaweza kumpitisha mtu ambayye sio makini awe mwakilishi wa wananchi kwenye chombo muhimu kama Bunge?
Hakuna mtu hata mmoja anayekataa kuwa na bunge lenye wabunge makini mimi napenda kila mbunge awe makini lakini tusipopata hao makini wa kutosha tufanyeje hii ndiyo tofauti yangu na yako

Bunge letu lina karibu wabunge 400 nitajie kumi tu unaoona ni wabunge makini then tuendelee kujadili
 
Back
Top Bottom