okay hii ni nzuri mno ili watu wajadili mustakabali wa nchi yetu, halafu watu mbona wanakuwa wapungufu wa fikra za kusaidia wengine sasa mtu badala ya kuonesha alivyomwelewa aliyeleta hoja badala yake analeta udini. hiyo cjaipenda kabisa. a. msando nakukubali tangu enziza bunge la DARUSO