Mbowe, Freeman; Lipumba, Ibrahim; Mbatia, James, Lyatonga, Augustino na Cheyo John.

Albert Msando, heshima yako kaka,

Nadhani kila kiongozi kwenye Jamii lazima anakuwa na mema na mabaya pia no body is perfect under the sun, kila binaadamu ana weakness zake lakini inapokuja swala la uongozi wa taasisi flani tuna weight mazuri lazima yashinde mabaya, lakini mabaya yanaposhinda mema basi huyo hatufai na kazi zake hazina tija kwa jamii.

Lakini nilitaka kutoa angalizo kwenye post yako kwa mambo matatu:
1. Ni kuhusu swala la kadaiwa kwa kiongozi yeyote wa siasa na deni ni la kibiashara-Mimi sidhani kama ni kosa la jinai kwa biashara ya kiongozi au kiongozi yeye binafsi kudaiwa kibiashara au kuwa na mgogoro wa kibiashara, hii ni hali ya kawaida katika kila biashara, kwani kudaiwa ni kitu cha kawaida kwenye biashara, na wafanyabiashara wengi wana madeni kwenye mabenki na kampuni mbalimbali za kibiashara, kwani ni jambo la kawaida kukopa na kuwa na migogoro, lakini kwa watanzania wengi hawajui hilo, ndo maana wanaona ni kama kashfa kudaiwa.

2.Lazima tuwe waangalifu na maswala ya homophobic issue, kwani this is a very sensitive isue na ni swala la haki ya msingi ya mtu, kama mtu ni gay atakuwa na sababu maalumu na za msingi za kumfanya awe gay, labda ni nature ya maumbile, au ni uchaguzi wake binafsi, kuwa gay au lesbian hakumuondolei mtu haki ya ubinadamu wake na haki ya kuishi na kushiriki shughuli za kisiasa, tuache unafki, utasikia watu wengi wakiwabeza ******* hususani watu wa pwani na zanzibar wakati wao ndo wanaongoza kuwashughulikia *******, wanashindwa kutambua kuwa ukisha kuwa na uhusiano na mtu wa jinsia mojo basi na wewe ni gay ama lesbian. hivyo tusimbague mtu kutokana na sexual orientation yake, Tumeshuhudia ma senator na wabunge wengi wameweza kutekeleza majukumu ya kisiasa bila tatizo, hivyo usenge wa mtu sio issue, issue ni uwezo.

3. Kuhusu swala la kushindwa na mwanamke-That una touch issue sensitive ya gender, kwani wanawake wao sio binadamu wanaostahili kumshinda mwanaume, yaani umefanya mwanamke kama kiumbe dhaifu ambaye hastahili kumshinda mwanaume, inaonekana wewe ni muumini wa mfumo dume which is something ambacho kinapigwa vita duniani kote,
anyway tumeona kuna wanawake wanaweza kuwa effecient and effective kuliko wanaume, so tusawadharau kiasi hicho kwa ku suggest kuwa mwanaume kushindwa na mwanamke ni weakness, hapana
 
Albert Msando, heshima yako kaka,

Nadhani kila kiongozi kwenye Jamii lazima anakuwa na mema na mabaya pia no body is perfect under the sun, kila binaadamu ana weakness zake lakini inapokuja swala la uongozi wa taasisi flani tuna weight mazuri lazima yashinde mabaya, lakini mabaya yanaposhinda mema basi huyo hatufai na kazi zake hazina tija kwa jamii.

Lakini nilitaka kutoa angalizo kwenye post yako kwa mambo matatu:
1. Ni kuhusu swala la kadaiwa kwa kiongozi yeyote wa siasa na deni ni la kibiashara-Mimi sidhani kama ni kosa la jinai kwa biashara ya kiongozi au kiongozi yeye binafsi kudaiwa kibiashara au kuwa na mgogoro wa kibiashara, hii ni hali ya kawaida katika kila biashara, kwani kudaiwa ni kitu cha kawaida kwenye biashara, na wafanyabiashara wengi wana madeni kwenye mabenki na kampuni mbalimbali za kibiashara, kwani ni jambo la kawaida kukopa na kuwa na migogoro, lakini kwa watanzania wengi hawajui hilo, ndo maana wanaona ni kama kashfa kudaiwa.

2.Lazima tuwe waangalifu na maswala ya homophobic issue, kwani this is a very sensitive isue na ni swala la haki ya msingi ya mtu, kama mtu ni gay atakuwa na sababu maalumu na za msingi za kumfanya awe gay, labda ni nature ya maumbile, au ni uchaguzi wake binafsi, kuwa gay au lesbian hakumuondolei mtu haki ya ubinadamu wake na haki ya kuishi na kushiriki shughuli za kisiasa, tuache unafki, utasikia watu wengi wakiwabeza ******* hususani watu wa pwani na zanzibar wakati wao ndo wanaongoza kuwashughulikia *******, wanashindwa kutambua kuwa ukisha kuwa na uhusiano na mtu wa jinsia mojo basi na wewe ni gay ama lesbian. hivyo tusimbague mtu kutokana na sexual orientation yake, Tumeshuhudia ma senator na wabunge wengi wameweza kutekeleza majukumu ya kisiasa bila tatizo, hivyo usenge wa mtu sio issue, issue ni uwezo.

3. Kuhusu swala la kushindwa na mwanamke-That una touch issue sensitive ya gender, kwani wanawake wao sio binadamu wanaostahili kumshinda mwanaume, yaani umefanya mwanamke kama kiumbe dhaifu ambaye hastahili kumshinda mwanaume, inaonekana wewe ni muumini wa mfumo dume which is something ambacho kinapigwa vita duniani kote,
anyway tumeona kuna wanawake wanaweza kuwa effecient and effective kuliko wanaume, so tusawadharau kiasi hicho kwa ku suggest kuwa mwanaume kushindwa na mwanamke ni weakness, hapana

Executive umenena! Nikimaliza kuandika nitakugongea ka-thanks!

Mimi si mfuasi wa mfumo dume! Mama yangu amechangia kwa kiasi kikubwa sana kunijenga!

Kuna post juu nimeelezea kwamba Halima ameweka historia kumshinda Mbatia. Ukweli ni kwamba halikuwa jambo rahisi! Halima anaweza na wanawake wanaweza!

Kaka, nimefurahi sana umeongea waziwazi kuhusu mawazo yako inapokuja suala la ushoga na ulesbian! Umekuwa jasiri!

Sheria zetu zinapinga, mila zetu haziruhusu lakini ni wakati wa kuzungumzia! Viongozi wetu hawaongelei wakati hujawahi kusikia mtu amefungwa kwa kuwa na uhusiano na mwanamke au mwanamume mwenzake!

Tuzungumze! Tujadili!
 
JAKAYA KIKWETE

Baya: Inasemekana anapenda sana majungu, anapenda sana wanawake, ndiye aliyeanzisha mtandao wa CCM uliomweka madarakani na kula hela ya EPA, ndiye Rais aliyetembea sana nje ya nchi wa gharama kubwa za fedha za wavuja jasho, ndiye rais ambaye kwenye uongozi wake migogoro ya vyuo ni mikubwa, kuongezeka kwa rushwa. ndiye raisi ambaye awamu yake yaina utawala bora.. awamu yake ina rekodi ya wanafunzi kufeli kwa asilimia 70%.. awamu yake imeleta umwagaji damu. awamu yake ambayo anasema hakuna hela za kulipa walimu huku anataka kulipa dowans..

Zuri: Hakuna..
 
EXECUTIVE
2.Lazima tuwe waangalifu na maswala ya homophobic issue, kwani this is a very sensitive isue na ni swala la haki ya msingi ya mtu, kama mtu ni gay atakuwa na sababu maalumu na za msingi za kumfanya awe gay, labda ni nature ya maumbile, au ni uchaguzi wake binafsi, kuwa gay au lesbian hakumuondolei mtu haki ya ubinadamu wake na haki ya kuishi na kushiriki shughuli za kisiasa, tuache unafki, utasikia watu wengi wakiwabeza ******* hususani watu wa pwani na zanzibar wakati wao ndo wanaongoza kuwashughulikia *******, wanashindwa kutambua kuwa ukisha kuwa na uhusiano na mtu wa jinsia mojo basi na wewe ni gay ama lesbian. hivyo tusimbague mtu kutokana na sexual orientation yake, Tumeshuhudia ma senator na wabunge wengi wameweza kutekeleza majukumu ya kisiasa bila tatizo, hivyo usenge wa mtu sio issue, issue ni uwezo.


DUUUUH mtetezi wa MABWABWA, nimeona mistari yako full kuwakingia kifua MASHOGA na WASAGAJI. Kama wewe ni mtetezi thabiti ni vyema wakati wa kuunda KATIBA MPYA usisahau HOJA ya kuhalalisha USHOGA na USAGAJI kwa kuwa nao ni watu kama mimi na wewe, ni njema HOJA hiyo ukaijenge maeneo ya karibu na msikiti wa MTAMBANI au MANYEMA au MWEMBECHAI na si karibu na ST. ALBANO au ST. JOSEPH uone nini kitakupata. JAMANI WAISLAM ,WAKATOLIKI NA WAANGLIKANA ni UTANI TU. SIMAANISHI SI UNAJUA UNAPOCHANGIA JF TENA USIKU KAMA SASA, NIKAKOSA MTU WA KU CHAT NAE NIKAONA NIWATANIE WATANI ZANGU (MIMI NINA ABUDU KTK DINI ZA KIAFRIKA (DINI ZA JADI) (si unajua huko kiwanja waanglikana na wakatoliki wapo wanao kubali mabwabwa inawezekana na bongo wapo)
 
EXECUTIVE
2.Lazima tuwe waangalifu na maswala ya homophobic issue, kwani this is a very sensitive isue na ni swala la haki ya msingi ya mtu, kama mtu ni gay atakuwa na sababu maalumu na za msingi za kumfanya awe gay, labda ni nature ya maumbile, au ni uchaguzi wake binafsi, kuwa gay au lesbian hakumuondolei mtu haki ya ubinadamu wake na haki ya kuishi na kushiriki shughuli za kisiasa, tuache unafki, utasikia watu wengi wakiwabeza ******* hususani watu wa pwani na zanzibar wakati wao ndo wanaongoza kuwashughulikia *******, wanashindwa kutambua kuwa ukisha kuwa na uhusiano na mtu wa jinsia mojo basi na wewe ni gay ama lesbian. hivyo tusimbague mtu kutokana na sexual orientation yake, Tumeshuhudia ma senator na wabunge wengi wameweza kutekeleza majukumu ya kisiasa bila tatizo, hivyo usenge wa mtu sio issue, issue ni uwezo.


DUUUUH mtetezi wa MABWABWA, nimeona mistari yako full kuwakingia kifua MASHOGA na WASAGAJI. Kama wewe ni mtetezi thabiti ni vyema wakati wa kuunda KATIBA MPYA usisahau HOJA ya kuhalalisha USHOGA na USAGAJI kwa kuwa nao ni watu kama mimi na wewe, ni njema HOJA hiyo ukaijenge maeneo ya karibu na msikiti wa MTAMBANI au MANYEMA au MWEMBECHAI na si karibu na ST. ALBANO au ST. JOSEPH uone nini kitakupata. JAMANI WAISLAM ,WAKATOLIKI NA WAANGLIKANA ni UTANI TU. SIMAANISHI SI UNAJUA UNAPOCHANGIA JF TENA USIKU KAMA SASA, NIKAKOSA MTU WA KU CHAT NAE NIKAONA NIWATANIE WATANI ZANGU (MIMI NINA ABUDU KTK DINI ZA KIAFRIKA (DINI ZA JADI) (si unajua huko kiwanja waanglikana na wakatoliki wapo wanao kubali mabwabwa inawezekana na bongo wapo)

Baada ya utani Naloli, unadhani ni sahihi kwa nchi yetu kutambua rasmi haki ya mtu kuwa na mahusiano na mtu wa jinsia yake? Ushoga na u-lesbian? Samahani sijui neno la kiswahili la lesbian. Anayefahamu atatujuza!
 
Hapo kwa Mbatia: KWA NINI UWEKE JAMBO KUBWA NA BAYA KAMA HILI wakati unajua halijathibitishwa?
Mbatia ana mapungufu mengi kiuongozi ambayo ungeyatumia hapa JF na sio hilo.

(personal life ni muhimu kiujua ila Biological sett up unaitafutia ya nini? )

Ni kweli hilo ni kubwa lakini linasemwa. Sina sababu ya kulificha wakati linasemwa. Ni vyema pia akajua kwamba linasemwa kama ni kweli akubali ndivyo alivyo kama si kweli akanushe. Tatizo liko wapi hapo? Sio kwamba natafuta sexual orientation yake lazima utambue kwamba hali hiyo inaathiri nafasi yake ya uongozi! Ni kosa la jinai kuwa shoga sasa ukisema 'haihusu' sijui nikuelewe vipi! Kwa hiyo kama mtu ni mvuta bangi tusiseme kwa sababu kuvuta bangi ni maisha yake binafsi?
 
CCM

BAYA
FISADI,ANA MKE KILA MKOA,ANAISHI NA HOUSEGIRL WA WATOTOT WAKE,ANATABASAMU ALWAYS,NI DAKTARI WA WIZI NA UHUJUMU UCHUMI

MAZURI

ANAPENDA KIDUKU,MTU WA SAFARI,ANAVUTIA WANAUME NA WANAWAKE WA CHAMA CHAKE TUU LAKINI,ANAPENDA BIRTHDAY,HANA NGUVU ANAANGUKA ANGUKA KILA LEO

heheeee nisaidieni ile sifa nyingine jamani ya kwake na rostam
 
Viongozi wa upinzani kwa nyakati tofauti wamekuwa wakitupiana shutuma za usaliti na kutokuwa na imani! mara nyingi kila mmoja anamsema mwenzake kwamba anatumiwa na CCM kudhoofisha upinzani!!

Inawezekana ni kweli kwa sababu kuna kipindi viongozi wa chama cha SAU walienda kuwafuata viongozi wa CCM wakidai kwamba wanauwezo wa kuisambaratisha CHADEMA. Hii ilikuwa baada ya baadhi yao kuona kwamba wamenyimwa nafasi ndani ya chama wakaenda kuaznisha cha kwao. Lakini hawakuwa ni njia ya kujikimu wakaona njia rahisi ni kwenda kuuza hoja kwamba wana taarifa nyingi za CDM ambazo wangeweza kuzitumia kuisambaratisha. Mpaka leo hawajafanikiwa na nadhani nafsi zao zinawasuta!

Ni mambo na historia kama hizo zinasababisha ushirikiano wa upinzani usiwezekane! Bado hatujapata vingozi wakweli na wenye nia ya dhati ya kupinga yale mabaya yanayofanywa na serikali iliyopo madarakani. Sasa hivi CDM inapinga mabaya yote yanayofanywa na CCM bara na CCM?CUF visiwani!!

Sasa ushirikiano wa bara kati ya CDM/CUF unawezekanaje? Hapo CDM wanatakiwa wafanyeje? CDM wanapinga hatua ambazo CUF/CCM wanazichukua Zanzibar kupunguza umasikini! Bado CCM/CUF hawajaonyesha nia ya dhati kupambana na rushwa na matatizo mengine nchini.

Tunategemea kwamba CUF wangeweza kuwa msaada kwa CCM bara badala ya kung'ang'ania kuwa wapinzani. Huko ni kuigawa Tanzania. Mana yake ni kwamba ya zanzibar ni tofauti na ya bara!! hatuwezi kukubaliana na hali hii hata siku moja!
 
Wasalaam,


James Mbatia:

Baya: ni mwenyekiti pekee ambaye kwa muda mrefu amekuwa na kashfa ya kuwa hayuko sawa kimaumbile (haijathibitishwa).

Astaghafurillah!...haikuwa na haja ya kuiweka kama haijathibitishwa..maana vikianza vingine vya wenyeviti wengine ambavyo haviajthibitishwa tutatoka nje ya mada!...


Augustine Lyatonga:

[

Zuri: ameweza kurudi bungeni baada ya muda mrefu nje. amefanikikwa kuwapa tumaini jipya wananchi wake wa Vunjo. Ni mshauri mzuri sana kuhusu hujuma na wizi wa CCM.

Double agent????
 
Wasalaam,


James Mbatia:

Baya: ni mwenyekiti pekee ambaye kwa muda mrefu amekuwa na kashfa ya kuwa hayuko sawa kimaumbile (haijathibitishwa).

Astaghafurillah!...haikuwa na haja ya kuiweka kama haijathibitishwa..maana vikianza vingine vya wenyeviti wengine ambavyo haviajthibitishwa tutatoka nje ya mada!...


Augustine Lyatonga:

[

Zuri: ameweza kurudi bungeni baada ya muda mrefu nje. amefanikikwa kuwapa tumaini jipya wananchi wake wa Vunjo. Ni mshauri mzuri sana kuhusu hujuma na wizi wa CCM.

Double agent????

Huyu bwana siamini kama ni double agent! Nadhani ni mtu aliyejikuta at a wrong place at wrong time!
 
Sasa mbona umeweka kushindwa Mbatia na mwanamke kuwa ni jambo baya?

Unaposema Mbatia kashindwa tena na mwanamke inakuonyesha wewe kuwa hujaodokana na mentality ya mfumo dume na ushindi wa mwanamke na mwanamme hujauthaminisha kwa mizania moja


Gaijin, sio vibaya kabisa. Ni hatua muhimu ya kuondokana na male dominance! Ni historia!
 
Alberto, hii ni nzuri pia

Najua unaweza kupata muda wa kutupatia ufananishi wako kuhusu hawa viongozi juu ya sera zao na msukumo wa kweli wa kuleta mabadiliko na ukombozi wa nchi hii. Ni namna gani sera zao zinakubaliana au kutofautiana. Ni namna gani wanakubaliana au kutofautiana katika jitihada za kukomboa hii nchi na kutetea wananchi by taking action kuliko kutoa matamko tu. Ni namna gani wamehujumiana wenyewe kwa wenyewe, mfano, nani alimwekea mwenzake pingamizi katika uchaguzi. Ni namna gani wanatofautiana katika kujitoa na kutete umma zaidi kuliko kupalilia maslahi binafsi? Pengine ukimalizia uchambuzi wako basi tutaweza kuona kama kuna nafasi ya kuunganisha nguvu kati ya vyama gani na kwa masharti gani, au pengine hakuna mantiki kabisa

najua unaweza kaka
 
Alberto, hii ni nzuri pia

Najua unaweza kupata muda wa kutupatia ufananishi wako kuhusu hawa viongozi juu ya sera zao na msukumo wa kweli wa kuleta mabadiliko na ukombozi wa nchi hii. Ni namna gani sera zao zinakubaliana au kutofautiana. Ni namna gani wanakubaliana au kutofautiana katika jitihada za kukomboa hii nchi na kutetea wananchi by taking action kuliko kutoa matamko tu. Ni namna gani wamehujumiana wenyewe kwa wenyewe, mfano, nani alimwekea mwenzake pingamizi katika uchaguzi. Ni namna gani wanatofautiana katika kujitoa na kutete umma zaidi kuliko kupalilia maslahi binafsi? Pengine ukimalizia uchambuzi wako basi tutaweza kuona kama kuna nafasi ya kuunganisha nguvu kati ya vyama gani na kwa masharti gani, au pengine hakuna mantiki kabisa

najua unaweza kaka

Nakushukuru kamanda, ngoja nilifanyie kazi! Dawa ni kuwaweka kiti moto wote kila mtu mmoja mmoja! Nitawasiliana na vyombo vya habari kila mmoja awe hewani kwa lisaa limoja wananchi wamhoji yeye kama yeye! Hakuna kupiga story! Labda wanaJF wapewe nafasi ya kuandaa dokezo la nini wanachotakiwa wakisemee na watoe mawazo yao! Hatutataka majibu ya kusomewa ilani za uchaguzi!
 
thread nyingine bwana.... kweli we can do anything to lift our spirits when bored
 
Mtabe, Mohamed na Birigita, nimeongeza neno 'upinzani' kuweka rekodi vizuri kwamba Raisi wenu hausiki.

Kuhusu kumdhalilisha Mbatia hiyo umesema wewe Mohamed!! Each and every statement therein can be justified! Sijakurupuka!!

Na kuhusu hao wengine sema ni kipi ambacho wamesingiziwa? mazuri au mabaya yao mengine unaweza ukawa unayajua!!

The bottom line, hao ndio wanatakiwa waunganishe vyama vya upinzani vyenye wabunge!!

Naapreciate request yako ya michango; ila vigezo ulivyotumia havina viwango. Kwa mfano ungetumia kigezo cha elimu, Utumie kigezo cha ufisadi, utumie michango yao kwenye vyama vyao au bungeni ukawalinganisha wote kwa hivyo vigezo ni sawa siyo kigezo tofauti kwa kila mmoja. Kama wengine hawana cho chote kwenye kigezo kimojawapo maana yake hawana unaweza kuiita ni changamoto lakini siyo ubaya.
 
thread nyingine bwana.... kweli we can do anything to lift our spirits when bored

Kuna wimbo mmoja nasikiliza Hapa Msanii anamwambia mwanamke kwamba akiwa naye itakuwa ni furaha tupu machozi marufuku!
 
Nakushukuru kamanda, ngoja nilifanyie kazi! Dawa ni kuwaweka kiti moto wote kila mtu mmoja mmoja! Nitawasiliana na vyombo vya habari kila mmoja awe hewani kwa lisaa limoja wananchi wamhoji yeye kama yeye! Hakuna kupiga story! Labda wanaJF wapewe nafasi ya kuandaa dokezo la nini wanachotakiwa wakisemee na watoe mawazo yao! Hatutataka majibu ya kusomewa ilani za uchaguzi!

Kuna wengine hodari wa kuongea na kuhadaa! Tunataka legacy, au?
 
Back
Top Bottom