Mbowe awashukia wabunge wa CCM

FMES,
Usisikitike sana. Msimu wa uchaguzi umeshaanza hivyo na nadhani CHADEMA hawajasahau jinsi Mzee Chigwisyi alivyowaliza kule Busanda.
 
FMES,
Usisikitike sana. Msimu wa uchaguzi umeshaanza hivyo na nadhani CHADEMA hawajasahau jinsi Mzee Chigwisyi alivyowaliza kule Busanda.

- Mkuu Jasusi, nimekusikia sana lakini tatizo ni kwamba Malecela bado ni mjumbe wa kudumu wa CC kwa hiyo Freeman atakutana naye kwenye chaguzi ndogo, kwa hiyo hata akimtoa ubunge kama anavyodai haitasaidia kitu na wala haitalisaidia taifa na sitaki kuamini kwamba Freeman anashirikiana na mafisadi kwa sababu anacopigia kelele ndio hasa agenda namba moja ya mafisadi!

Respect.


FMEs!
 
- Freeman anaweza kuongelea usultani baada ya yeye mwenyewe na mkwe wake kumtia kitanzi Zitto, alipotaka Demokrasia anayoililia kutoka CCM ni maajabu ya Musa, kweli ukishangaa ya musa utaona ya firauni, yeye Demokrasia ameikataa kutoka kwa Wangwe lakini leo ana ubavu wa kulaumu CCM hili taifa na unafiki sijui ni nani ametuloga!

- Halafu vipi Ndesamburo na Dr. Slaa kwani hawa ni American Idol? Freeman alizaliwa na hawa?

Respect.

FMEs!
Mkuu FMES umechemsha mfano wako wa usultani maana ya usultani muulize Mugabe na Malecela mwenyewe waliokaa madarakani enzi na enzi wala si Mbowe, ikiwa Malecela na Mugabe hakuwaletea maendeleo wananchi ezi za ujana wao wakati wakingali na nguvu wasitegemee miujiza yeyote enzi hizi za science & technology (electronic era) watafiti waliobobea husema ukizeeka sana hata reasoning capacity inapungua ndiyo maana Mandela aliongoza kwa kipindi kimoja tu akawaachia wengine kigezo pale kilikuwa si kukubalika au kutokubalika maana hata angegombea tena angeshinda tu kigezo kilikuwa umri na utu uzima.
 
- Mkuu wangu, Freeman alianza vizuri sana huko Dodoma...
FMEs!
Tuelezee mazuri aliyofanya huko Dodoma ili tuyaunganishe na ujumbe mkuu au hitimisho la habari hii yaani: '' Mbowe aliwashambulia baadhi ya wabunge wa CCM waliokuwa wakijinadi kuwa ni makamanda wa kupambana na ufisadi kuwa wameonyesha kutokuwa na uwezo wa kupambana na ufisadi.

"Hoja ya mapambano dhidi ya ufisadi iliasisiwa na CHADEMA, nyinyi ni mashahidi namna wabunge wa Chadema walivyopambana , mara wakajitokeza wenzetu kutoka CCM, kina John Malecela na wenzake na kujinadi ni wapambanaji wa ufisadi, lakini tulijua ngoma hii hawaiwezi na kwamba wangeishia njiani,"alisema''
 
Mkuu FMES umechemsha mfano wako wa usultani maana ya usultani muulize Mugabe na Malecela mwenyewe waliokaa madarakani enzi na enzi wala si Mbowe, ikiwa Malecela na Mugabe hakuwaletea maendeleo wananchi ezi za ujana wao wakati wakingali na nguvu wasitegemee miujiza yeyote enzi hizi za science & technology (electronic era) watafiti waliobobea husema ukizeeka sana hata reasoning capacity inapungua ndiyo maana Mandela aliongoza kwa kipindi kimoja tu akawaachia wengine kigezo pale kilikuwa si kukubalika au kutokubalika maana hata angegombea tena angeshinda tu kigezo kilikuwa umri na utu uzima.

- Kuondoka Mandela na kuongozwa na Zuma ni a big joke ni afadhali Mandela angeenedelea, siamini kwamba Mugabe hatakiwi na wananchi wa nchi yake, isipokuwa ninajua kwamba hatakiwi na The West tu, hata mpinzani wake mkuu anamkubali na sisi Tanzania hatuwezi kuingilia siasa za Zimbabwe maana kuna mengi sana hatuyajui,

- Kwamba uzee ni tatizo katika uongozi wa taifa, itakwua ni science za Tanzania tu, maana huko nchi zingine hakuna tatizo, sasa wewe na Freeman mngetupa darasa jinsi umri mdogo wa Kikwete ulivyo better kiuongozi kuliko umri wa Mwalimu au wa Mwinyi na Mkapa, ndio maana tunasema hana hoja, halafu vipi Ndesamburo na Dr. Slaaa wao vipi huu uzeee hauwasumbui na sio tatizo au ni wazeee wa CCM tu?

Mkuuwangu I disagree na hizi siasa za umri, ninasema ni simply foolishnes na ni daliili za kushindwa uchgauzi hata kabla haujafanyika. Tunahitaji viongozi wenye uwezo wa uongozi, lakini sio mambo ya umri!


FMEs!
 

- Kuondoka Mandela na kuongozwa na Zuma ni a big joke ni afadhali Mandela angeenedelea, siamini kwamba Mugabe hatakiwi na wananchi wa nchi yake, isipokuwa ninajua kwamba hatakiwi na The West tu, hata mpinzani wake mkuu anamkubali na sisi Tanzania hatuwezi kuingilia siasa za Zimbabwe maana kuna mengi sana hatuyajui,

- Kwamba uzee ni tatizo katika uongozi wa taifa, itakwua ni science za Tanzania tu, maana huko nchi zingine hakuna tatizo, sasa wewe na Freeman mngetupa darasa jinsi umri mdogo wa Kikwete ulivyo better kiuongozi kuliko umri wa Mwalimu au wa Mwinyi na Mkapa, ndio maana tunasema hana hoja, halafu vipi Ndesamburo na Dr. Slaaa wao vipi huu uzeee hauwasumbui na sio tatizo au ni wazeee wa CCM tu?

Mkuuwangu I disagree na hizi siasa za umri, ninasema ni simply foolishnes na ni daliili za kushindwa uchgauzi hata kabla haujafanyika. Tunahitaji viongozi wenye uwezo wa uongozi, lakini sio mambo ya umri!


FMEs!

Naweza kuongezea kuwa kuwa na akili nyingi ukakosa hekima ni kama chakula kizuri kisichokuwa na chumvi hakiliki. Uongozi unahitaji mambo mengi sio akili tu bali hekima na upambanuzi wa maswala mbali mbali. Hoja ya umri sio kigezo jamani bali mabadiliko
 
- Freeman kijana alifanya nini bungeni zaidi ya kukubaliana na mafisadi kila siku, ni lini umewahi kumsikia Freeman akishambulia mafisadi au simply akimshambulia Lowassa au Rostam, Freeman hana hoja hapa kama ni wazee basi hata Ndesamburo ni mzee, Dr. Slaaa ni mzeee pia, Freeeman hana hoja siasa za uzee na ujana ni smply a myth ambayo Freeman hana facts za kutosheleza any side iwe ya wazee au ya vijana, yeye kijana amemfanyia nini Zitto kijana mwenzake kule Chadema, mbona hakumpisha kwa vile Zitto ni kijana kuliko yeye?

- Hili taifa mpaka tutakapoamka usingizini ndio tutalinasua kutoka kwenye uongozi mbovu wa vyama vyote, hivi kweli huko Chadema hakuna kiongozi wa kuweza kushika Uenyekiti akaweza kuongea sense kuliko hizi nonsense za Freeman? I mean this is a cry for a new chairman, huwezi sema mbele ya public kwamba utatumia resources zote za chama kumng'oa mbunge mmoja tu this is foolish!

-Inasikitisha sana!

FMEs!
Hivi Mbowe ndiyo mtu wa kwanza kusema wazee wang'atuke mbona ni wengi tu waliosema hivyo hata Nyerere aliwahi kutamka maneno hayo 'wazee tung'atuke' mbona hukumwambia nonsense, kama kwa hili Mbowe kasema nonsense unaweza kutuambia ni sense gani alizowahi kuongea Mzee Malecela au ile ya ku support serikali tatu (G55) au pale aliposema mbele ya public 'you can go to hell' hizi ndio unaziona sense kwako, kwa kumbukumbu zangu huyu Mzee aliwahi kuitwa mhuni na Baba wa taifa correct me if am wrong, CCM wanamlea kwa sababu anajua siri zao nyingi otherwise CCM kingekuwa chama makini angekuwa nje siku nyingi.
 
- Kuondoka Mandela na kuongozwa na Zuma ni a big joke ni afadhali Mandela angeenedelea, siamini kwamba Mugabe hatakiwi na wananchi wa nchi yake, isipokuwa ninajua kwamba hatakiwi na The West tu, hata mpinzani wake mkuu anamkubali na sisi Tanzania hatuwezi kuingilia siasa za Zimbabwe maana kuna mengi sana hatuyajui,

- Kwamba uzee ni tatizo katika uongozi wa taifa, itakwua ni science za Tanzania tu, maana huko nchi zingine hakuna tatizo, sasa wewe na Freeman mngetupa darasa jinsi umri mdogo wa Kikwete ulivyo better kiuongozi kuliko umri wa Mwalimu au wa Mwinyi na Mkapa, ndio maana tunasema hana hoja, halafu vipi Ndesamburo na Dr. Slaaa wao vipi huu uzeee hauwasumbui na sio tatizo au ni wazeee wa CCM tu?

Mkuuwangu I disagree na hizi siasa za umri, ninasema ni simply foolishnes na ni daliili za kushindwa uchgauzi hata kabla haujafanyika. Tunahitaji viongozi wenye uwezo wa uongozi, lakini sio mambo ya umri!

FMEs!

Hahaha,
Wakati mwingine huwa wanasahau kuwa wanaingiza kidole kwenye jicho la FMEs! Pole sana. Unajua tena uzee kama yalivyo maslahi ya taifa, zote ni relative terms!
Kwi kwi kwi.
 
- Kwamba uzee ni tatizo katika uongozi wa taifa, itakwua ni science za Tanzania tu, maana huko nchi zingine hakuna tatizo, sasa wewe na Freeman mngetupa darasa jinsi umri mdogo wa Kikwete ulivyo better kiuongozi kuliko umri wa Mwalimu au wa Mwinyi na Mkapa, ndio maana tunasema hana hoja, halafu vipi Ndesamburo na Dr. Slaaa wao vipi huu uzeee hauwasumbui na sio tatizo au ni wazeee wa CCM tu?

FMEs!
Kuna mchangiaji mmoja kasema uongozi si akili pekee yake na wala si kuhitajika inajumuisha pia busara na hekima hata kama unapendwa kiasi gani kuna wakati unatakiwa kusema NO enough is enough nimekupa mfano mzuri wa Mandela angekuwa bado ni president leo watu wangekuwa wamemchoka.
 
Kuna mchangiaji mmoja kasema uongozi si akili pekee yake na wala si kuhitajika inajumuisha pia busara na hekima hata kama unapendwa kiasi gani kuna wakati unatakiwa kusema NO enough is enough nimekupa mfano mzuri wa Mandela angekuwa bado ni president leo watu wangekuwa wamemchoka.

Lakini Luteni kama wananchi wanakutaka utafanyaje? Akisema hatogombea wakati wananchi wanamtaka ndio itakuwa natija ya uongozi mzuri? Mie nadhani lamsingi kwanza wananchi wathibitishe Malecela hawafai ikiwa ni kweli then tutajiuliza imekuwaje ang'angane na kiti hicho. Hapo ndio tupambane na kuwakomboa. Umetolea mfano wa mzee Mandela ni kweli aling'atuka wakati wananchi bado walikuwa wanamuhitaji but kaa ukijua Mandela yeye alikuwa akipigania uhuru wa watu weusi africa ya kusini. Alipofanikiwa akawa na kazi ya kuwaunganisha ili kuzika zile tofauti zao. Alipomaliza alikuwa haihitajiki tena ndio maana aliamua kung'atuka kwani Afrika ya Kusini ya sasa ni marekani ya Africa. Wanahitajika viongozi au icon tofauti ambapo mzee mandela haingii tena (pamoja na Zuma vilevile).

Je kuna link?
 
Kama Malecela anachapa kazi yake inavyo takiwa na kachaguliwa kwa ridhaa ya wananchi usituletee ubaguzi wako wa kichaga na age
Kwangu mimi age sio issue! Kina Kennedy wamekufa wakiwa Ma-senetor! The question is amefanya nini? Yes! alishiriki kuleta vyama vingi! But was it real in his consent? Au kwa sababu alikuwa analazimishwa na babu zake wa magharibi? For years amekuwa kiongozi nchi leo hii ukimwuliza mtanzania wa kawaida atasema nini kuhusu huyu Mbunge wa Mtera! Totally nothing! Atakumbukwa kwa lipi? Totally waste? Kwa sababu ni biashara kama kawaida!
They are kind of Leaders ambao wanatumia umbumbumbu wa Tanzania kufanya mambo yao yaende? Yeye amekuwa mstari wa mbele kabisa kuvikandamiza na kuvidhoofisha vyama vya upinzani?
Pamoja na utumishi wake wa mda mrefu hebu fanya sensa leo hata kuuliza tu Mzee unamkunuka kwa lipi! Im sure 90% watasema nothing because it is real is!!
 
Kwangu mimi age sio issue! Kina Kennedy wamekufa wakiwa Ma-senetor! The question is amefanya nini? Yes! alishiriki kuleta vyama vingi! But was it real in his consent? Au kwa sababu alikuwa analazimishwa na babu zake wa magharibi? For years amekuwa kiongozi nchi leo hii ukimwuliza mtanzania wa kawaida atasema nini kuhusu huyu Mbunge wa Mtera! Totally nothing! Atakumbukwa kwa lipi? Totally waste? Kwa sababu ni biashara kama kawaida!
They are kind of Leaders ambao wanatumia umbumbumbu wa Tanzania kufanya mambo yao yaende? Yeye amekuwa mstari wa mbele kabisa kuvikandamiza na kuvidhoofisha vyama vya upinzani?
Pamoja na utumishi wake wa mda mrefu hebu fanya sensa leo hata kuuliza tu Mzee unamkunuka kwa lipi! Im sure 90% watasema nothing because it is real is!!

There you are wewe ndio umeongea performance ya jamaa ipi???
 
Lakini Luteni kama wananchi wanakutaka utafanyaje? Akisema hatogombea wakati wananchi wanamtaka ndio itakuwa natija ya uongozi mzuri? Mie nadhani lamsingi kwanza wananchi wathibitishe Malecela hawafai ikiwa ni kweli then tutajiuliza imekuwaje ang'angane na kiti hicho. Hapo ndio tupambane na kuwakomboa. Umetolea mfano wa mzee Mandela ni kweli aling'atuka wakati wananchi bado walikuwa wanamuhitaji but kaa ukijua Mandela yeye alikuwa akipigania uhuru wa watu weusi africa ya kusini. Alipofanikiwa akawa na kazi ya kuwaunganisha ili kuzika zile tofauti zao. Alipomaliza alikuwa haihitajiki tena ndio maana aliamua kung'atuka kwani Afrika ya Kusini ya sasa ni marekani ya Africa. Wanahitajika viongozi au icon tofauti ambapo mzee mandela haingii tena (pamoja na Zuma vilevile).

Je kuna link?
Wewe unafikiri Malecela bado anahitajika kwa lipi ambalo hajalimalizia kwa miaka zaidi ya 30 kama hajafanikiwa kama unavyosema Mandela alivyofanikisha na kung'atuka unafikiri apewe miaka mingapi zaidi 20? huo unaitwa usultani au uroho wa kisiasa.
 
Wewe unafikiri Malecela bado anahitajika kwa lipi ambalo hajalimalizia kwa miaka zaidi ya 30 kama hajafanikiwa kama unavyosema Mandela alivyofanikisha na kung'atuka unafikiri apewe miaka mingapi zaidi 20? huo unaitwa usultani au uroho wa kisiasa.

Je wananchi wanalalamika kuwa hajafanya kitu?? Na je hawamtaki??
 
Kimsingi Luteni tuko pamoja katika utendaji kuwa hamna la maana yule mzee amelifanya jimboni mwake but atolewe kwa hoja na sio kwa tabia au wasifu wa mtu. Kwani kwa njia hiyo yeyote atakaye shindana naye atashindwa kwani siasa ni mchezo wa kupakana matope tu.
 
Malecela ana haki zote za kugombea hata kama atakuwa na miaka 100.

Kama hajavunja katiba na sheria, acha liende maana ndiyo Tanzania yetu hii.

Kumlinganisha Kennedy au Mandela, naona kila mtu hapa anakuwa muwamba ngoma.

Ila ukweli unabaki mmoja. Mtani wangu Malecela, heri ukumbuke maneno ya Nyerere. Itakuwa hata busara zaidi kwenda Chadema na kuwa MSHAURI. Amini usiamini, busara zako ulizojaza miaka kibao, utakuwa mshauri mzuri sana. Labda hata ungelikuwa umejikalia bembeni tangu mwaka 2005, leo hii Kikwete angelikuwa hakosi kuja Mvumi Mission kuhiji.

Ninafahamu una wajukuu wengi tu ambao wamekuwa hawapati raha za kutosha kucheza na babu. Tulia na wape raha. Wakae na wewe na uwape busara zako. Wajukuu si wale wa kuzaa tu, wako wengi sana ambao watafurahi kukaa na kupewa mawazo yako na siku moja wakiwa Maboss wa Tanzania watawaambia watu "Namnukuu babu John Malecela.............."

Kipi ukifanye, huo ni uamuzi wako na la zaidi utataka ukumbukwe kivipi. Kama unaona ukishinda tena ubunge safari hii utafanya miujiza, endelea na utuletee hiyo miujiza. Kama unaona hakuna jipya utafanya, basi heri umpishe mwingine. Anaweza kuwa mbaya kuliko wewe au mzuri kuliko wewe ila ukweli ni kuwa Wananchi wataanza kuona tofauti.
 
Kimsingi Luteni tuko pamoja katika utendaji kuwa hamna la maana yule mzee amelifanya jimboni mwake but atolewe kwa hoja na sio kwa tabia au wasifu wa mtu. Kwani kwa njia hiyo yeyote atakaye shindana naye atashindwa kwani siasa ni mchezo wa kupakana matope tu.

Ni kweli wapimwe kwa matendo yao.

Sasa sijui kama Mbowe aliweka msisitizo kwenye umri ama ni waandishi ndiyo wanatufanya tujadili specifically mambo ambayo si ya msingi?

Nadhani cha msingi kabisa hapa si umri,bali pengine muda alioko madarakani kiongozi vs what he has achieved....Tukiangalia na kuijadili issue through that angle labda tunaweza kuwa more objective.....Kuna pahala kweni Mbowe amesema flani na flani wasichaguliwe kwasababu tu ni wazee?

Kama sijakosea,pointi ya msingi ni muda waliokaa madarakani viongozi hao na kama kwa muda huo wamefanya waliyotumwa na wananchi,nimeelewa hivyo baada ya kusoma hotuba hiyo,lakini naona mjadala umejikita zaidi kuwa watu wameitana wazee nk.
 
Hivi Mbowe ndiyo mtu wa kwanza kusema wazee wang'atuke mbona ni wengi tu waliosema hivyo hata Nyerere aliwahi kutamka maneno hayo 'wazee tung'atuke' mbona hukumwambia nonsense, kama kwa hili Mbowe kasema nonsense unaweza kutuambia ni sense gani alizowahi kuongea Mzee Malecela au ile ya ku support serikali tatu (G55) au pale aliposema mbele ya public 'you can go to hell' hizi ndio unaziona sense kwako, kwa kumbukumbu zangu huyu Mzee aliwahi kuitwa mhuni na Baba wa taifa correct me if am wrong, CCM wanamlea kwa sababu anajua siri zao nyingi otherwise CCM kingekuwa chama makini angekuwa nje siku nyingi.

- Irrelevant to the ishu, CCM kama Chadema ni chama hakitengenezwi na Malecela, siamini in siasa za umri ni simply nonsesne, kama Freeman yukos erious na umri basi Zitto ni kijana mdogo kuliko yeye sasa angemuachia badala ya kuwatumia kina Mtei kumlazimisha kurudisha fomu, hizi siasa za kinafiki nafiki ndio zinalimaliza hili taifa, Baba wa taifa aling'atuka huku akiendelea kutawala wka pembeni ni mfano batili, CCM hailei mtu,

- G55 ilishakufa baada ya muasisi wake kutangulia kwenye haki vipi ulikuwa hujui hilo na washirki wote wa lile kundi walipewa nafasi, lakini muasisi wao tu alipoondoka wakatimulwia wote, Bwa! ha! siasa za umri haziwezi kuwapa Chadema uongozi wa taifa ubnless wameondoa vizee kuole kwao kwanza, unatupaje jiwe kwenye kioo na wewe uko kwenye glasi?

- Maneno ya umri na uongozi ni pure nonsense na wanachi ni vyema tukawapuuza hao wenye hizo siasa, ni simply bancrupt politics na ni ubaguzi, sasa huyu Freeman akishika urais si ataua wazee wote kina Ndesamburo na Slaaa, no wonder ameamua kugombea ubunge badala ya urais!


Es!
 
Hahaha,
Wakati mwingine huwa wanasahau kuwa wanaingiza kidole kwenye jicho la FMEs! Pole sana. Unajua tena uzee kama yalivyo maslahi ya taifa, zote ni relative terms!
Kwi kwi kwi.

- Yale yale hakuna hoja ila viroja, inasikitisha sana!

Es!
 
Kuna mchangiaji mmoja kasema uongozi si akili pekee yake na wala si kuhitajika inajumuisha pia busara na hekima hata kama unapendwa kiasi gani kuna wakati unatakiwa kusema NO enough is enough nimekupa mfano mzuri wa Mandela angekuwa bado ni president leo watu wangekuwa wamemchoka.

- Wananchi wa Mtera ndio wanaotakia kuamua sio Freeman, kama uzee ni tatizo awatoe kwanza Ndesamburo na Slaaa, halafu amuachie Zitto kijana mdogo kuliko yeye, otherwise inajisema wazi kwamba ni kwa nini CCM itatawala milele, ninajaribu ku-imagine kwamba Freeman ndiye rais huyu atawaua wzee wote akianzia na wa huko kwenye chama chake cha Chadema, mkuu kama uko serious na enough basi ungeanza kulia na wazee huko Chadema, tupe mfano kwanza otherwise ni kelele za mlango,

- Malecela amemshinda Freeman Busanda na Biharamulo leo eti atamuweza nyumbani kwake Mtera ndoto za mchana hizo na haziwezi kutusaidia taifa hata siku moja ni waste of our time yaani wananchi!

Es!
 
Back
Top Bottom