Lighondi
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 581
- 184
Why have they "adopted" the Westminster "Model"?
Which "Model" have been used so far? Since 1995?
Siku hazigandi!! Ndio mabadiliko yenyewe!!!
Why have they "adopted" the Westminster "Model"?
Which "Model" have been used so far? Since 1995?
wasisahau kile kichwa cha CUF - Hamad Rashid.
CUF wametoa vice president, wanategemea kutoa baadhi ya mawaziri (uko ZNZ) unafikiri wanaweza kuwa wapinzani kweli, uku wako kwenye payroll ya serikali?
Zitto Kabwe ana uzoefu mkubwa wa bunge, ameshiriki kwenye kamati nyeti ya kurekebisha sheria ya madini. Ametoa changamoto kubwa ndani ya bunge lililopita mpaka akasimamishwa. Ni mpiganaji zaidi ya Mbowe.
Pili Mbowe ni mwenyekiti ana majukumu mazito ya chama. Zitto anakaribia kuwa mwanasiasa mkongwe.
Unampaje madaraka ya uongozi wa bunge melevi mbwa kama mbowe!!!!! Tuache ushabiki tundu lissu au zito lilikua chaguo sahihi.... Mbowe hana ubavu na hana data za kujadiliana face to face na pinda mule ndani na kuna situations ambazo hakutokua na muda wa kumuuliza mtu pembeni..... Ukabila ulaaniwe zitto usiwe na shaka muda bado upo na utafanya makubwa waache hao wachaga wakubanie na wataaabika mjengoni
Nilifikiri hiyo post itaongozwa na NONE CHAGGA kumbe baado
Wewe mzee ndo huna busara kabisa, Zitto bado ana issue nyingi tu za kutu assure hata sisi moderate citzens who are leaning chadema amekuwa too contravesial recently huyu kijana , hivyo ni bora kuwa na safe choice kwa sasa kuliko kubahatisha, hata hivyo ni msaidizi wa wa kiongozi wa upinzani hiyo post inamtosha wakati tuna evaluate nyendo zake, is too risky hivi sasa majukumu mazito ya chama kukabidhi kwa kijana kama zitto ambae anakuwa kama kinyonga wakati flani, kwani vitta na CCM ilijaa tamaa na hujuma nyingi inahitaji jemedali mwenye msimamo thabiti kama mbowe!
Na watu walio amua uongozi huo uwe hivyo ni caucus ya wabunge wote wa chadema, hivyo wanajuwa nini wanachotaka na ni uamuzi sahihi kabisa, Napata mashaka na wewe Bwana Technology inawezekana hukitakii mema chadema au una agenda ya siri lakini kwa mtu yoyote mwenye kutakia mema chadema atafurahia na uchaguzi huu, CCM wenyewe hawampendi Mbowe kutokana na misimamo yake ambayo inaimarisha chama, sasa unataka kuniambia wabunge wote hao wa chadema waliochagua hao viongozi ni wachaga? au wote wanatoka Kilimanjaro, mbona unakuwa unreasonable na shutuma zako hazima facts?
Zitto Kabwe ana uzoefu mkubwa wa bunge, ameshiriki kwenye kamati nyeti ya kurekebisha sheria ya madini. Ametoa changamoto kubwa ndani ya bunge lililopita mpaka akasimamishwa. Ni mpiganaji zaidi ya Mbowe.
Pili Mbowe ni mwenyekiti ana majukumu mazito ya chama. Zitto anakaribia kuwa mwanasiasa mkongwe.
Zitto Kabwe ana uzoefu mkubwa wa bunge, ameshiriki kwenye kamati nyeti ya kurekebisha sheria ya madini. Ametoa changamoto kubwa ndani ya bunge lililopita mpaka akasimamishwa. Ni mpiganaji zaidi ya Mbowe.
Pili Mbowe ni mwenyekiti ana majukumu mazito ya chama. Zitto anakaribia kuwa mwanasiasa mkongwe.
Tujuze ni utaratibu upi umetumika, kura au
Congrats CHADEMA and I'm very happy because you always surprise your enemies. Ngoja sasa tuone watakuja na Santuri ipi
Tatizo la kulala Mchana. Hata ukiamka saa 12 jioni unadhani ni asubuhi.
Karibu jamvini mjomba.
Sasa hivi wenzio tunajadili 6 kuhamia Chadema.
Mch. Mwenyekiti anakula hili zigo nini manake nasikia beki hazikabi kabisa kwa huyu mamaHawakosi sababu hao! Sisi ni furaha kujenga ngome imara kwa 2015
Kama upinzani ungekuwa makini zaidi huyu Mh. Hamad Rashid ndiye angefaa kugombea kiti cha uspika. Naamini upinzani ungekamilika lakini kumweka mh Mabere Marando? wamechemsha, hawezi kupewa kura.Nadhani wamempa nafasi agombee ili kumfurahisha huku wakijua hapati kitu. Bunge lingekuwa moto wa kuotea mbali; wabunge wengi CCM, wabunge wengi wa upinzani bara-Chadema,visiwani- draw. Raisi-CCM,Spika- CUF hapo ingekuwa ni kazi tu hakuna kulala.