Unazo taarifa kuwa wabunge wanayo magari wanayoyatumia kwenye shughuli zao? Mbowe anastahili kutumia nini kwenye shughuli za kibunge! Atumia Bajaj, au atembee kwa miguu? Acha unafiki kuwa na mawazo endelevu siyo copy and paste you GUYS
Mbowe anastahili kutumia nini kwenye shughuli za kibunge! Atumia Bajaj, au atembee kwa miguu? Acha unafiki kuwa na mawazo endelevu siyo copy and paste you GUYS
Mbowe kasema wabunge waheshimiane na hasa wa gamba maana badala ya kuchangia hotuba ya bajeti wao wanatoa kashfa na kejeli na wabunge wa upinzani na wakijibiwa waupinzani wanaonekana hawana nidhamu, nidhamu ipo kwa aliyetoa kashfa na kejeli. Amemtaka spika hata adhabu ikitolewa isiangalie aliyejibu hata aliyeanza pia. (KUNYA ANYE KUKU AKINYA BATA .........)
jk ni nyoro nyoro!haha haaaaa nasubiria ban
1. Huu ndio unafiki mkubwa kuliko wote, kwani yeye Mbowe alipolikataa hilo gari mara ya kwanza hakufahamu kwamba kulikataa kwake hakupunguzi matumizi yeyote? mbona mlishabikia na hamkumshauri kwamba hilo halikuwa na impact yeyote kwenye matumizi?
2. Kuchukua posho kwa kusingizia kanuni za bunge ni unafiki mwengine uliopitiliza , kwanini kama hawazitaki kabisa wasizichukue halafu wazi total watuambie sisi wananchi kwamba kwa kikao hiki Chadema imekusanya shillingi kadhaa kama posho za wabunge woote na kuzitoa kwenye miradi ya maendeleo kujenga shule, hosp nk
Hata upinzani nao ni wadhaifu, maana wasingekuwa dhaifu, hiyo serikali dhaifu ya kikwete isingekuwa madarakani.
WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI.
kikwete ni goigoi na serikali yote ni dhaifu tu, ni kweli sio story
wanaongozwa nao watapia mlo. Kama sio goigoi jk angalikuwa hayupo