Shibuda ni kada wa CCM na hana uchungu na CDM na pia ana mawasiliano ya karibu na mafisadi akiwemo Makamba na Jk
MSemaji ofisi ya Raisi: Freeman Mbowe, Msaidizi: Silinde David
Uwekezaji na Uwezeshaji: Matiko
Ofisi ya Waziri Mkuu: Vicent Kiboko
Ofisi ya Raisi: Said
Ofisi ya Raisi & Utawala Bora: Mch Nakse wa Karatu
Ofisi ya Makamu wa Raisi: Gekulu
Ofisi ya Raisi & Mazingira: Leticia Nyerere
OFisi ya Fedha: Zitto Kabwe Msaidizi: Christina Lissu
Mambo ya Ndani: Lema
Katiba ya Sheria: Tindu Lissu
Kimataifa: Wenje
Jeshi la Ulinzi: Seladhini
Mawasiliano: prof Kayili
Makazi: Mdee
Maliasili: Mch Peter Msigwa
Nishat na Madini: Mnyika
Ujenzi: Machemli
Uchukuzi: Mhonga Said
Viwanda: Olenywa
Elimu na Mfunzo: Mtinda
Afya: Dr Gilbert Mbasa
Maendeleo ya Jamii: Naomi Kaiula
Vijana na michezo: Mbilinyi Mr Two
Kilimo: Meshack Obulugwa
Maji: Haines Kiwia
Hawa ndio MAWAZIRI KIVULI WA UPINZANI
Kwa ujumla, ni baraza makini. Ila nadhani Mbowe amenoa kwenye uteuzi huu:
John Mnyika - Nishati na Madini?!
Tundu Lissu - Sheria na Katiba
Sawa, Tundu Lissu ni mwanasheria aliyebobea. Lakini wizara ingemfaa zaidi ni Nishati na Madini kuliko wizara ya sheria. Huku ana uzoefu mkubwa wa tafiti nyingi alizofanya akiwa LEAT na pia angetumia vyema utaalamu wake wa sheria kufumua mikataba ya wizi ya kwenye madini na umeme.
Mnyika hana uzoefu wa mambo ya nishati na madini ingawa ni mwanasiasa makini. Lissu angetoa mchango mkubwa zaidi kwenye hii wizara nyeti.
Kikwete amekuwa hajui umuhimu na unyeti wa wizara hii ndiyo maana siku zote anateuwa mawaziri wasio na uwezo unaotakiwa kwenye wizara ya madini, kama William Ngeleja, wa sasa.
Inasikitisha kuona Mbowe naye amenoa kwenye wizara hii kama Kikwete.
MSemaji ofisi ya Raisi: Freeman Mbowe, Msaidizi: Silinde David
Uwekezaji na Uwezeshaji: Matiko
Ofisi ya Waziri Mkuu: Vicent Kiboko
Ofisi ya Raisi: Said
Ofisi ya Raisi & Utawala Bora: Mch Nakse wa Karatu
Ofisi ya Makamu wa Raisi: Gekulu
Ofisi ya Raisi & Mazingira: Leticia Nyerere
OFisi ya Fedha: Zitto Kabwe Msaidizi: Christina Lissu
Mambo ya Ndani: Lema
Katiba ya Sheria: Tindu Lissu
Kimataifa: Wenje
Jeshi la Ulinzi: Seladhini
Mawasiliano: prof Kayili
Makazi: Mdee
Maliasili: Mch Peter Msigwa
Nishat na Madini: Mnyika
Ujenzi: Machemli
Uchukuzi: Mhonga Said
Viwanda: Olenywa
Elimu na Mfunzo: Mtinda
Afya: Dr Gilbert Mbasa
Maendeleo ya Jamii: Naomi Kaiula
Vijana na michezo: Mbilinyi Mr Two
Kilimo: Meshack Obulugwa
Maji: Haines Kiwia
Hawa ndio MAWAZIRI KIVULI WA UPINZANI
wana jamii forum naombeni mwongozo juu ya kuandika new topic, nimejitahidi nimeshindwa hata kuchakachua pia imegoma, nipeni utaratibu ukoje.