Ibulyu Mbiti
Member
- Apr 1, 2012
- 21
- 4
Nimependa mlivyofanya mkutano wa shukrani. Kwani ndiko hasa shukrani zinatakiwa zitolewe sio Manzese kama walivyo fanyiwa wana Igunga. Wana Igunga Chukueni hili kama changamoto kwenu na kujiuliza kwa nini mkutano wa Kwanza wa Dr. kamfumu alifanyia Manzese na alipokelewa na wana Dar. Wana arumeru wamempkea mbunge wao kwani wao ndiyo walengwa namba moja