Mbowe atoa tamko: CHADEMA kuisimamisha nchi Machi 25, 2013

Lugha ya kiswahili ni lugha sanifu acha ukoloni wa kutukuza lugha za wazungu wanaowalambisha vinyeshi huko,andika kiswahili sanifu,pendelea kutukuza fikra na hisia za tamaduni za kwenu usiwe mtumwa sana wa lugha na mawazo ya kigeni
 
Chadema wakati mwingine jaribuni kuchambua mambo kisomi kuliko kufuata siasa za matukio.

Hivi tatizo la vijana kufeli limesababishwa n Waziri wa Elimu mkifanya maandamano hao watoto ndiyo watafahulu.

Jaribu kutafuta tatizo siyo kila kitu maandamano.

Mna uhakika gani kama akija waziri mwingine watoto hawatafeli.

Mkuu,

Hapa kinachofanywa ni ku-'instil sense of responsibility'. Hatuwezi kuendelea kuwa na viongozi wasioweza kuwajibika ktk matukio yanayolitia haibu Taifa.

Kujiuzuru kwa waziri kutamfanya anayeingia awe na hofu ya utendaji kazi. Ajaye ajue mambo yakiaribika hawezi kuvumiliwa. Hatuwezi kuendeleza siasa za kulindana hata ktk mambo ya muhimu kitaifa! Isiwe Kawambwa tu bali hata wengine akiwemo rais.
 
ndugu yangu hapa ndo tunapokosea!mambo ya msingi kabisa tunaleta utani.hivi kufeli wanafunzi 260000 ni jambo la kawaida?think twice my friend
huyu huenda ni miongoni mwa waliofeli au alifeli zamani hana upeo hata hapa ashukuru tu mchina na hivi visimu venye internet computer hajui inawashwaje!
 
Muda mfupi uliopita hapa katika Viwanja vya Shule ya Msingi Mkendo, Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe, ametoa tamko la Musoma, likiwataka Watanzania wote wapenda nchi yao, kujiandaa kwa maandamano makubwa ya wananchi yatakayofanyika Machi 25, 2013, nchi nzima, kushinikiza uwajibikaji (kujiuzulu au kufukuzwa kazi) kwa Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Shukuru Kawambwa na Naibu wake, Phillip Mulugo, kutokana na matokeo mabaya ya kidato cha nne.

"Yatakuwa maandamano makubwa ya kuisimamisha nchi...tunataka siku hiyo mama ntilie wawe barabarani, watoto waliofeli na wazazi wao wawe barabarani, bodaboda wawe barabarani, wamachinga wawe barabarani,

More updates to come...


Ebu tuachane na mambo haya jamani. Tukajenge chama vijijini. Mbona tunapoteza muda kuandaa maandamano?
 
Chadema wakati mwingine jaribuni kuchambua mambo kisomi kuliko kufuata siasa za matukio.

Hivi tatizo la vijana kufeli limesababishwa n Waziri wa Elimu mkifanya maandamano hao watoto ndiyo watafahulu.

Jaribu kutafuta tatizo siyo kila kitu maandamano.

Mna uhakika gani kama akija waziri mwingine watoto hawatafeli.

zile siku 14 alizotoa zimeisha lini. au anasubiri kenya kinuke aambatanishe na hapa bongo?
 
We gamba kama lilikua kosa unataka lijirudie tena? tunasubiri maandamano.change we need, we una homon za kike nn?(wote wanaodic maandamano inawahusu, a magamba2 hayo)
 
haya mr zero..na yeye ana hasira sana mana nasikia naye fom six alipiga kiduara a.k.a alizunguka round about a.k.a alipata zero huyo mwenye kiti wa chama....SAMAHANI LAKINI
 
Mkuu,

Hapa kinachofanywa ni ku-'instil sense of responsibility'. Hatuwezi kuendelea kuwa na viongozi wasioweza kuwajibika ktk matukio yanayolitia haibu Taifa.

Kujiuzuru kwa waziri kutamfanya anayeingia awe na hofu ya utendaji kazi. Ajaye ajue mambo yakiaribika hawezi kuvumiliwa. Hatuwezi kuendeleza sisa za kulindana hata ktk mambo ya muhimu kitaifa! Isiwe Kawambwa tu bali hata wengine akiwemo rais.

Mkuu wangu,

Hivi mmefanya utafiti kwanza na kutambua kuwa tatizo la watoto kufeli linasabishwa na Waziri.
 
We tulia nchi isimamishwe kwanza!

Siasa za matukio, hawa kwisha kazi yao.hamna sera tena, la ufisadi limevunda sasa wamebaki kusubiri matukio ndio wawike.Lissu amebuma Dar,Mnyika amebuma UK,Slaa kaingia mitini,lema amebaki kufoka foka kama muimba rap. M4C wamekosa usafiri baada ya mikweche yao kukwama kenya. Naona mtoa roho anazunguka anga za CDM
 
Demonstrations have never proved to be an effective way of making demands heard, as they always culminate in violent clashes between the police and protesters. If he believes he's influential enough to mobilize countrywide demonstrations, why doesn't he use the same influence to put pressure on JK to sack the two ministers without seeking protesters' support? Republicans didn't need to ask Americans to come out in streets in order to turn up the heat on Susan Rice to withdraw her name from race for secretary of state. Mbowe and his fellow Chadema politicians have to emulate that non-violent means of getting message across.

This is according to your peanut mind,. but we have many examples where demonstrations,.strikes and Armed struggles did bring changes and the demands were met,. South Africa, Egypt, Libya, Tunisia,.all evil regimes and leaders were ousted through the same modality! I dont want to believe that you are politically blind or such a narrow minded creature!
 
Du,kwani kuandamana ndo suluhu,kimsingi hiyo haitasaidia,kitakachokuja ni raia kuswekwa rumande,je atakaye wapa dhamana ni nani ?Poleni mtakaoandamana mie naaona rundu la dola liko nyuma yao.

Acha ufala wewe, maandamano ndio dawa ya kuwatoa madikteta madarakani
 
Alaf wao wanashinda wanatembea tuu na kuhudhuria sherehe

Hakika hebu kweli watoto siku hizi wanafeli kiasi hicho? Huduma mbovu kila siku, mashuleni!! Mtoto hana msingi mzuri wa elimu toka shule ya awali amekuwa akisoma kwa mateso kukaa kwenye vumbi na chakula hakuna!! Mwishowe akimaliza shule anapata average ya alama D unampeleka shule ya kata hakuna mwalimu!!! Je huyu atafaulu kwa muujiza au ni vipi?
 
Mbona unaonekana kuogopa? We unafikiri hata kama isipo kuwa siku ya kazi watu wote huwa wana shiriki?

wewe unafikiri alikua anajua itakua jumatatu,mtu mwenyewe alikua amekolea lager.yeye ni kuropoka tu
 
Itakuwa jumatatu, waajiriwa watapatikana?

Ndiyo maana ya kuwataka watu wasiende makazini, waoneshe uzalendo wao, kama ambavyo wauza maji, bodaboda, mama ntilie, wamachinga, daladala, wataweza kujitoa, why watu wengine ambao kwao siku hiyo itakuwa ni ya kazi.
 
kesha jadilianan na Raisi Kikwete rafiki yake aliyemjengea barabara
?
 
Mkuu wangu,

Hivi mmefanya utafiti kwanza na kutambua kuwa tatizo la watoto kufeli linasabishwa na Waziri.

Utafiti utafanyika wakiwa wamewajibika kisiasa,..You cant solve a problem using the same procedures which created it? Kawambwa aliambiwa alete mitaala bungeni hana kakaa kaenda kufojifoji kaleta mitaala ya uwongo, Mulugo ndio huyo hajua hata muungano wa Tanzania umepatikanaje,.. why keeping them Tanzania ina zaidi ya watu 45 million wapo wengi sana capable kuliko hawa! Wameshindwa kusimamia wizara na dalili ndio hizo mass failure!!
 
Kinyume na hapo wametumia mwanya huu wa matoke kuunda kamati ya kumfukuza ndalichako na kumuacha kawamba na mulugo wanatamba mtaani!
Katika ulimwengu wa watu waliostaarabika kama hapa nchini Tanzania, Dr Kawambwa na msaidizi wake wala hawakuhitaji kusubiri mpaka wasukumwe nje ya ofisi kwa maandamano ya nguvu ya umma.
 
Back
Top Bottom