EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
- Thread starter
- #21
Umeelewa kilichoandikwa lakini au unaandika alimradi umepost.Mwenyekiti wa CDM kwa mara nyingine anachochea fujo, uchaguzi ni gemu kuna kushinda na kushindwa sasa anawahakikishia wanachama ushindi si kutafuta vurugu gu jamani.
Enyi polisi tunawategemea sana wakifa watatu kama ilivyokuwa ARUSHA sio mbaya maana watz tupo zaidi ya milion 45.