Sniper
JF-Expert Member
- Mar 8, 2008
- 1,915
- 709
CCM hivi hamjui kwamba mnavyoendelea kuzuia mikutano yetu kwa kisingizo cha al-shababy na kuwabambikizia kesi za kipuuzi wapinzani, ndivyo mnavyotupa umaarufu mara mbili? Na ndivyo mnavyowazidishia hasira wananchi kwa serikali yenu? Kwa MwanaCCM yoyote mwenye akili anajua kuwa siku zenu zinahesabika, watu uraiani tuna hasira sana.