Mbowe ashikiliwa Central Police

Nilimwambia Mbowe akutaka kunisikia faata sheria za nchi, yeye anadanganywa na yule jamaa wa Singida Tundu Lissu, eti wewe ni Kiongozi wa upinzani Bungeni uwezi kukamwatwa, sasa kakamatwa sijui mtaandamana,

Wewe hujui kitu. CDM walijadili hili kabla na kulipanga iwe kama test case ya Mbowe kukamatwa ili ile sheria ya kinga ya Wabunge ichambuliwe, ionekane kama inahusu wabunge wote au wa chama fulani tu?
 
BAVICHA mkoa wa Arusha tunalaani kushikiliwa kwa mwenyekiti na kiongozi wa upinzani bungeni mh Freeman Mbowe, kimsingi huu ni uhuni uliopitiliza na uwendawazimu na hizi ndio dalilizakuanguka kwa utawala CCM.

Vijana wa mkoa wa arusha tunapinga, tunalaani na tutapambana hadi tone la mwisho. Tunaheshimu mahakama, lakini kutoa amri ilihali mwenyekiti alishaomba kutohudhuria tunapata shaka, tunatilia shaka uamuzi huo, tunaitaka serikali imwachie mwenyekiti mara moja na ihakikishe usalama wa kamanda wetu.

Martin Luther king alipata kusema ikiwa hakuna jambo lolote ambalo mtu yu tayari kufa kwalo basi hufai Kuishi,
 
Nipo Kinondoni na wenzangu tunapanga kuelekea Polisi kumuona Mwenyekiti wetu,tupo vijana wengi.Huu ndio wakati wa kupata uhuru wa kweli,ni wakati wa kuonyesha kwamba Mahakama zetu haziko huru,ni wakati wa kuonyesha udhaifu katika system yetu ya Justice,ni wakati wa kuonyesha tunahitaji uhuru wa kweli,ni wakati wa kuonyesha nguvu ya vijana katika kupinga matumizi ya mahakama ili kuwinda maadui wa kisiasa

Ben,

Tusiende kama vipofu wa sheria, jana niliweka maoni yangu humu na nikahoji kilevilevi kuhusu umakini wa Mhe. Lissu (post # 75) katika jambo hili. Niliona upotoshaji mkubwa katika namna ya kushughulikia shauri hili, bahati mbaya leo yametokea mabaya. Nauliza tena, was it an oversight on the part of Hon. Lissu?


https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...a-la-kesi-ya-arusha;-mbowe-naye-alonga-4.html

Nachelea kusema kwamba kuna upotoshaji unafanyika na sijui ni kwa hasara ya nani.

Mhe. Mbowe ana Makosa ya wazi kabisa ya kudharau Mahakama, si jambo zuri kwa kiongozi Mkuu wa aina yake.

Mhe. Lissu ni Mwanasheria makini, hivi ana amini hilo tamko linatosha kuzuia utekelezaji wa Amri ya Mahakama?

Tusipumbazane hapa, kama sijasahau Sheria, Tamko hilo lingekuwa na Makali kama lingefuatana na Amri ya Mahakama ya juu kusitisha/kuzuia kwa muda utekelezaji wa Amri ya Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Arusha.

I stand to be corrected!
Last edited by sikubaliki; Today at 07:21 PM.
 
Nilikuwa mbali na media jamaa yangu akaniambia kuwa na hana uhakika.
Mwenye uhakika anijuze wana-jf!
 
Talk of hypocrisy and double standards! Askari wameshasahau kuwa hata Rais alikwisha kufanya mikutano baada ya saa 12 jioni wakati wa kampeni 2010, pamoja na kutetewa na Tendwa, tume ya uchaguzi ilikiri kwamba hilo ni kosa. Walikuwa wapi askari wakati huo? Zitto alipewa taarifa ya kusimamisha mkutano baada ya saa 12, na akakataa kusitisha?

Hii inaweza kuwa mbinu ya kuwafanya viongozi wote wa CDM wawe busy na kesi ili washindwe kuendeleza harakati za mageuzi na kujenga chama.....
 
Mh Nanyaro ongeza hapo kwamba sisi wakazi wa Arusha tunalaani pia kukamatwa kwa Mh Zito Kabwe huko Singida!
 
Nipo Kinondoni na wenzangu tunapanga kuelekea Polisi kumuona Mwenyekiti wetu,tupo vijana wengi.Huu ndio wakati wa kupata uhuru wa kweli,ni wakati wa kuonyesha kwamba Mahakama zetu haziko huru,ni wakati wa kuonyesha udhaifu katika system yetu ya Justice,ni wakati wa kuonyesha tunahitaji uhuru wa kweli,ni wakati wa kuonyesha nguvu ya vijana katika kupinga matumizi ya mahakama ili kuwinda maadui wa kisiasa

Please be real!
 
Sasa nina imani chama cha magamba kinaondoka madakarani.Historia inaonesha watetea haki wote walipita jera na wakashinda
 
Mimi nafurahi sana kusikia hivyo maana wanazidi kutupa umaarufu sana.
 
Magamba mmeishiwa hoja sasa mnaamua kutumia nguvu ya dola kuiuwa CDM bila kujua ndio mnawapa CDM umaarufu cku hadi ziku watu wanaongezeka kuipenda
 
Hii ni Barua??, Au maelezo yako??
Mmekaa kikao saa ngapi? Pia fuata ushauri wa Filipo!
 
Watajuta kumkamata Mbowe kwani ana uwezo wa kujenga hoja. Arusha atapokelewa na umati wa watu siku akiachiwa.
 
Ben,

Tusiende kama vipofu wa sheria, jana niliweka maoni yangu humu na nikahoji kilevilevi kuhusu umakini wa Mhe. Lissu (post # 75) katika jambo hili. Niliona upotoshaji mkubwa katika namna ya kushughulikia shauri hili, bahati mbaya leo yametokea mabaya. Nauliza tena, was it an oversight on the part of Hon. Lissu?


https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...a-la-kesi-ya-arusha;-mbowe-naye-alonga-4.html

Nachelea kusema kwamba kuna upotoshaji unafanyika na sijui ni kwa hasara ya nani.

Mhe. Mbowe ana Makosa ya wazi kabisa ya kudharau Mahakama, si jambo zuri kwa kiongozi Mkuu wa aina yake.

Mhe. Lissu ni Mwanasheria makini, hivi ana amini hilo tamko linatosha kuzuia utekelezaji wa Amri ya Mahakama?

Tusipumbazane hapa, kama sijasahau Sheria, Tamko hilo lingekuwa na Makali kama lingefuatana na Amri ya Mahakama ya juu kusitisha/kuzuia kwa muda utekelezaji wa Amri ya Mahakama ya Hakimu Mkazi wa Arusha.

I stand to be corrected!
Last edited by sikubaliki; Today at 07:21 PM.

Uko sahihi kwa mtazamo wako ambao lazima una taarifa zaidi ya sisi tulizo nazo. Ok kakamatwa what next and what is the impact to the general public? Kumbuka matukio mangapi yameyokea ambayo yanaishia kuongeza chuki dhidi ya utawala badala ya kujenga umoja wa nchi. I am only scared of the repurcusions.
 
Hii ni Barua??, Au maelezo yako??
Mmekaa kikao saa ngapi? Pia fuata ushauri wa Filipo!
Mkuu hayo ni maelezo yake na huyo jamaa ni diwani wa CDM nadhani ni uchungu umepitiliza, kimsingi hawa jamaa wakitoka jela bungeni kutachimbika. Kamanda Lema alipohojiwa na radio 5 Arusha aiseee ameponda mpaka nikahisi labda Lema anataka kuwa mhaini siku zijazo! Maana ameponda kuwa hamuugopi JK na serikali kuendesha nchi kwa kutumia mtindo huu wa jeshi la polisi ni dalili ya kuona hali inakwenda mrama.
 
ITV saa mbili wamethibitisha. Tungoje tuone kitatokea nini!
 
Uko sahihi kwa mtazamo wako ambao lazima una taarifa zaidi ya sisi tulizo nazo. Ok kakamatwa what next and what is the impact to the general public? Kumbuka matukio mangapi yameyokea ambayo yanaishia kuongeza chuki dhidi ya utawala badala ya kujenga umoja wa nchi. I am only scared of the repurcusions.

Mkuu,

Mtu yeyote mwenye akili timamu na mwenye kufikiri vema kama mimi na wewe anahofia kitakachotokea.

Jambo la msingi ni kuepusha udhalilishaji kama huu wa Makamanda wetu usitokee tena kwa kufanya yafuatayo:

Mosi, kuwa makini na wapinzani wetu kwa kuepuka kujenga mazingira ya wao ku-capitalise on our mistakes. Masuala ya kisheria yashughulikiwe kisheria si kwa kutumia propaganda.

Pili, tutafute support ya jumuia ya kimataifa katika kukuza demokrasia nchini, pale inapotokea dalili ya kuhujumiwa, kama Chama tusisite kuweka wazi jambo hili kwa kupata air time katika vyombo vya habari vya kimataifa.

Tatu, Chama kifanye jitihada ya kuwajengea wanachama wake uelewa wa masuala ya msingi ya kisheria.
 
Mkuu hayo ni maelezo yake na huyo jamaa ni diwani wa CDM nadhani ni uchungu umepitiliza, kimsingi hawa jamaa wakitoka jela bungeni kutachimbika. Kamanda Lema alipohojiwa na radio 5 Arusha aiseee ameponda mpaka nikahisi labda Lema anataka kuwa mhaini siku zijazo! Maana ameponda kuwa hamuugopi JK na serikali kuendesha nchi kwa kutumia mtindo huu wa jeshi la polisi ni dalili ya kuona hali inakwenda mrama.

Asante sana Mzee Wa rula nimemgoogle nimemjua, Hakuna utaratibu uliofuatwa ktk kuwakamata Watuhumiwa!,
Nimeelewa
 
daaah hawa makenge wamemkamata kweli..source:Godbless Lema amewapa tarifa ITV sasa hivi kwenye taarifa habari saa 2 usiku.
 
Back
Top Bottom