Nchini Burundi....kamanda Kagame.....! Hapo umechanganya habari kidogo.Du...!Bravo!Nchini Burundi huu ndiyo utaratibu uliotumika!Ilianza kama mzaha, lakini baadaye kweli kabisa viongozi wote waandamizi serikalini walilazimika kurudisha mashangingi, chini ya usimamizi wa Kamanda Kagame!****** uko wapi?...wanaume washakuanzishia kutafuna, meza sasa!
HahAaaaa, unanchekesha babuwee, hata mkjj ana I'd zaidi ya moja humu na saa zingine anajijibu mwenyewe. Niwache kama nilivyo na nilishatangaza zamani kuwa nipo humu kabla ya wengi sana, nipo humu toka Jambo babuwee unanini?
du uhu upupu unawawasha wengi mpaka mata*** kama wewe hapo chek unavyoangaika alafu umesimama mbele ya watu noma !Anatafuta uraisi 2015 kwa kila njia! Ameona Zitto kamzidi kete kwa kukataa posho! Anata na yeye aonekane bora
Mbona aliaga kuwa anaachana na JF?...aLISAHAU NINI HUMU HUYU?huyu ni dume,,majimshindo kama unamkumbuka...njia ya mwongo ni fupi
tuambie basi mwenyewe FF, au ww ndio jk mwenyeweUmekosea, jaribu tena. Shilingi kumi na mbili na thumni.
ukila na kipofu usimguse mkono ila people pooower ni noumer wamewamwagia upupu wa machoni lazima mtaona tu mwaka uhu!Huyo si anamuiga Pinda? Au hamjui Pinda toka lini kalikataa VX? Mnanshangaza!
Hamna ubunifu babuwee, vitendo vya kukataa gari kavianza Pinda. HeEeeeee! Ishakuwa sera kwenu?Safi kabisa,sasa kazi imeanza,cdm ni vitendo tuu,waache magamba waendelee na porojo moto waja sasa!
Mr. Mbowe!!
what you did is an advanced politics!!
unaiangalia Tanzania miaka ishirini ijayo jambo ambalo angalau mzee jk angelifanya siku ya kwanza tu alipokabidhiwa offisi!
USHAURI Wangu kwa JK!
Una kazi rahisi sana kumpiku Mbowe kwamba:-
Iangalie Tanzania miaka hamsini ijayo, utamtoa Mbowe ulingoni kwani:-
1. uwezo unao [wewe ni amiri jeshi mkuu na mwajiri mkuu wa watumishi wote wa umma, mbowe hana huo uwezo]
2. Upo kwenye chama chenye ushawishi nje ya mipaka ya Tanzania [chama cha Mbowe hakijafika huko]
3. Rasilimali unazo [TRA, bandari, reli, airports, minerals, tourism, arable land and a beautiful wife] - Mbowe hana hivyo vyote
WHAT YOU NEED IS COMMITMENT!
usikute amepitiliza south Africa maana jamaa kwa safari hajambo...yuko malesyia huko
Wewe kama ulikuwepo utakumbuka na kama hukuwepo kuna watu waliokuwepo toka hii Forum ilipokuwa Jambo kabla ya Jamii, wao watakumbusha. Au Brazameni anaweza kufufka akamwaga vitu hapa. Unanchekeshaa!
Jk yaani Julius Kambarage? Labda mzimu wake mbona jk kafa zamaaaani na kazikwa butiama? Uko wapi weyeee?tuambie basi mwenyewe FF, au ww ndio jk mwenyewe
Unauliza jibu?Wewe ulikuwepo?