Mbowe Aombe Radhi Kukubali Mwaliko wa Dhifa ya Obama; Inadhoofisha Harakati za Kuiondoa CCM

US wanajua kila kitu kinachoendelea hapa na uhuni unaofanywa dhidi ya wapinzani lakini kwa sasa wamepima mizani yao na kuamua kutoa kipaumbele zaidi kwa "interest" zao....Subiri wakikosana na mheshimiwa uone watakavyomgeuzia kibao! Sina uhakika kama kususia kwa kiongozi wa upinzani kuhudhuria dhifa ile kungewaathiri vipi watawala wetu au kama wangeumbuka vipi kutokana na kususia huko...Kwani Obama angeuliza kuwa Mbowe yuko wapi? Sidhani!
 
US wanajua kila kitu kinachoendelea hapa na uhuni unaofanywa dhidi ya wapinzani lakini kwa sasa wamepima mizani yao na kuamua kutoa kipaumbele zaidi kwa "interest" zao....Subiri wakikosana na mheshimiwa uone watakavyomgeuzia kibao! Sina uhakika kama kususia kwa kiongozi wa upinzani kuhudhuria dhifa ile kungewaathiri vipi watawala wetu au kama wangeumbuka vipi kutokana na kususia huko...Kwani Obama angeuliza kuwa Mbowe yuko wapi? Sidhani!

Nimekumbuka Gavana Chris Christie (R) kumsifia Obama (D) kuhusu juhudi zake kipindi cha kimbunga cha Sandy na kwa wakati huo huo kukataa kushiriki baadhi ya mikutano ya kampeni ya Gavana Romney (R) aliyekuwa mpinzani wa Obama kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka jana.

Baadhi ya watu walimwona Christie kama msaliti flani hivi.
 
EMT,

Naunga mkono hoja, ila kwa kuongezea tu, kwa vijana wengi (nisisitize kwamba sio vijana wote),majukwaa ya siasa yamekuwa ni sehemu ya wananchi kwenda "outing" kusikiliza mipasho, na ukizingatia vijana wengi hawana ajira, mikutano ya hadhara siku za wiki muda wa kazi ni fursa nzuri kwa wananchi (vijana) walio wengi kubebana na maswahiba zao kwenda burudika kidogo na siasa za nchi yetu kabla ya kurudi vijiweni au majumbani kuganga njaa;

s

Basi hawa VIJANA wano enda OUTING/PICNICK mikutano ya CHADEMA kwa hela zao wenyewe, na Michango/kiingilio wakatoa wanamatatizo.

Unaweza ukanisaidia ni kwa nini VIJANA hawahawa hawaendi mikutano ya CCM unayopewa Nguo za kuvaa, Usafiri, Posho na Show ya nguvu ya Diamond ?

Au tuseme CHADEMA ni FREEMASON!
 
Kamanda mkuu ushiriki wake ulipelekea uwepo wa upinzani kamili kuonekana.Ni upofu wa kutazama kwa jicho la makengeza lisilolenga mantiki ya yeye kushiriki.Ukijitenga na adui yako sana unatoa mwanya wa yeye kutamalaki.
 
US wanajua kila kitu kinachoendelea hapa na uhuni unaofanywa dhidi ya wapinzani lakini kwa sasa wamepima mizani yao na kuamua kutoa kipaumbele zaidi kwa "interest" zao....Subiri wakikosana na mheshimiwa uone watakavyomgeuzia kibao! Sina uhakika kama kususia kwa kiongozi wa upinzani kuhudhuria dhifa ile kungewaathiri vipi watawala wetu au kama wangeumbuka vipi kutokana na kususia huko...Kwani Obama angeuliza kuwa Mbowe yuko wapi? Sidhani!
Mwalimu, kwa taarifa zilizopo na zenye utata lakini kutoka katika vyanzo vya CDM ni kuwa Mbowe alipewa mwaliko saa 5 asubuhi kwa shinikizo la Marekani.
Kwamba hata alipofika viwanja vya Ikulu alitumiwa ujumbe aingie ndani haraka jambo lililowakera mawaziri wa JK

Mpaka hapo unaweza kuona uwepo wake ulivyokuwa na uzito. Sasa hapo ndipo alitakiwa apeleke ujumbe kwamba yupo katika maombolezo akisaidia wahanga walioko hospitali baada ya kumaliza mazishi juzi.

Awaambie anashughulikia kesi za wanachama wake 'waliotekwa' na polisi na kupekwa Igunga.
Na pia yupo bize na kuhangaika familia za marehemu wa mbomu katika kuanua matanga ya misiba yao.
Shughuli zake nyingi ni pamoja na kuhangaika haki ya kuundwa tume ya kimahakama kutafuta haki.

Kwahiyo hataweza kuhudhuria kwasababu za misuko suko ya kisiasa inayomkabili ikiwa ni pamoja na tishio la kuuawa kwake katika mkutano wa Arusha.

Mwaliko aliopewa masaa machache ni mfupi mno ukilinganisha na uzito na majukumu yanayomkabili katika nyakati hizi ngumu kisiasa.

Hiyo ndiyo fursa aliyokuwa nayo na wala si kukubali mwaliko wa chini ya masaa 10 akiwa KUB, Mbunge na Mwenyekiti mwenye ratiba nzito na ngumu. Hafla ya togwa haikuwa dharura kwasababu ilijulikana miezi mingi na hivyo kuchelewa kufikiwa na mwaliko kutaathiri shughuli zake zinazoambatana na hali tete ya kisiasa nchini.

Mwalimu, watu wanapoandama huwa hawakusudii kubailisha hali wakati huo huo, ni kwamba hutuma ujumbe kwa wahusika kwa hisia zao. Je, kujumuika katika togwa kulipeleka ujumbe wowote wa maana?
 
Mwalimu, kwa taarifa zilizopo na zenye utata lakini kutoka katika vyanzo vya CDM ni kuwa Mbowe alipewa mwaliko saa 5 asubuhi kwa shinikizo la Marekani.
Kwamba hata alipofika viwanja vya Ikulu alitumiwa ujumbe aingie ndani haraka jambo lililowakera mawaziri wa JK

Mpaka hapo unaweza kuona uwepo wake ulivyokuwa na uzito. Sasa hapo ndipo alitakiwa apeleke ujumbe kwamba yupo katika maombolezo akisaidia wahanga walioko hospitali baada ya kumaliza mazishi juzi.

Awaambie anashughulikia kesi za wanachama wake 'waliotekwa' na polisi na kupekwa Igunga.
Na pia yupo bize na kuhangaika familia za marehemu wa mbomu katika kuanua matanga ya misiba yao.
Shughuli zake nyingi ni pamoja na kuhangaika haki ya kuundwa tume ya kimahakama kutafuta haki.

Kwahiyo hataweza kuhudhuria kwasababu za misuko suko ya kisiasa inayomkabili ikiwa ni pamoja na tishio la kuuawa kwake katika mkutano wa Arusha.

Mwaliko aliopewa masaa machache ni mfupi mno ukilinganisha na uzito na majukumu yanayomkabili katika nyakati hizi ngumu kisiasa.

Hiyo ndiyo fursa aliyokuwa nayo na wala si kukubali mwaliko wa chini ya masaa 10 akiwa KUB, Mbunge na Mwenyekiti mwenye ratiba nzito na ngumu. Hafla ya togwa haikuwa dharura kwasababu ilijulikana miezi mingi na hivyo kuchelewa kufikiwa na mwaliko kutaathiri shughuli zake zinazoambatana na hali tete ya kisiasa nchini.

Mwalimu, watu wanapoandama huwa hawakusudii kubailisha hali wakati huo huo, ni kwamba hutuma ujumbe kwa wahusika kwa hisia zao. Je, kujumuika katika togwa kulipeleka ujumbe wowote wa maana?

Mialiko ya shughuli formal masaa machache kabla hata mie Kiranga ChaNgeda nisiye na ofisi wala ufisi siikubali.

Hata hiyo BBQ ya masela itabidi tuambizane angalau masaa 48 kabla, otherwise ni a question of hit and miss hatuwezi kulaumiana kwa lolote.

Itakuwa huyu KUB? The Grand Imam of CHADEMA? Kwenye dhifa kubwa kama hii?

Mbowe kakubali kuwa mtu wa kuchotwachotwa na kupelekwapelekwa tu.

Na CHADEMA wanaonekana kukosa msimamo kiasi wananchi wengine tunashindwa kuwaelewa wapi wapo serious na wapi wanacheza mchezo tu katika siasa.
 
Labda kama hutaki kuelewa...mada yake amejitahidi kuifafanua vyema.
Mbowe amekuwa akilaumu serikali kwa matendo yake juu ya upinzani na wapinzani hasa CHADEMA....Tukiwa hatujui la kufanya kuhusu kauli ya Pinda kwa kuonesha utayari wa kuvunja katiba ili tu kuwaangamiza wananchi hasa wapinzani yeye anageuka kinyonga kushirikiana na serikali kufunika kombe mwanaharamu apite!
Kukataa kwake mwaliko,kungefanya maswali mengi yaulizwe na sauti ya wanyonge ingesikika duniani kote...lakini ameungana na ile tabia ya kuwaondoa wachuuzi barabarani ili kuficha umaskini wetu kama kwamba dar all are white color job occupants!

Asante mkuu kwa kujaribu.
Lakini state of mind ikiwa subjective ni vigumu sana kuwa rational, kwa maana thinking yake huwa kuhalalisha kile moyo unacho amini.
Kwa msimamo wako na wa MMKJJ , ingekuwa bora basi kuzipiga hadharani ili mshindani ajulikane.
Maana kwa wengine siasa ni black and white, either you are black or you are white, nothing in between.

Siasa zinazopendekezwa hapa ni hakuna compromise katika jambo lolote lile, alimradi lilsha wekewa msimamo.
Sasa hizo si siasa , na ndio maana nasema pengine zipigwe ili mshindaji ajulikane na mshindwaji pia.

Kwa mfano wa Mh Pinda wanaokusudiwa kupigwa ni wale wanotetea fujo, sasa kama wewe umejikita kuwa utakuwa kundi hilo daima dumu basi ni lazima utapigwa tu.Kama wewe n mtu wa compromise, askari FFU atakujaje kwenye meza ya mazungumzo?
Na hilo ni la kujitazama wewe mwenyewe kiundani maana wakati mwingine binadamu tunaona kibanzi cha wengine wakati boriti ndani ya macho yetu hatuoni.

Nashangaa sana kuwa kuna watu wanakereka kuwa Mbowe kaalikwa kukaa na watu wale wale wengine wanawaona kama wauaji-watu wanamawazo finyu sana na sikutegemea toka kwa great thinkers.

Ukimengage askari na wewe si askari ,utapigwa tu.
Ukimengage mwansasiasa mwenzio mezani sana sana mtatukanana, lakini akili ikitumika hapo debate ipo na maazimio yanaweza kupatikana, na wakati mwingine mnaweza kukubaliana kutokubaliana as a matter of principle.

Kuongea na wapinzani , hili lhalikuanza leo hapa Tanzania, Richard Nixon alienda China kuonanan na Mao.
Gorbachov na Reagana walionana tena kwa sana tu. lakini majasusi wao huko dunianiwalikuwa wakitwangana vibaya sana na kuuana. Hatimaye leo tuna amani.
 
Mialiko ya masaa machache hata mie Kiranga ChaNgeda nisiye na ofisi wala ufisi siikubali.

Itakuwa huyu KUB?

Mbowe kakubali kuwa mtu wa kuchotwachotwa na kupelekwapelekwa tu.

Na CHADEMA wanaonekana kukosa msimamo kiasi wananchi wengine tunashindwa kuwaelewa wapi wapo serious na wapi wanacheza mchezo tu katika siasa.
Kwamba hakuwepo katika protocol kwa miezi zaidi ya mitatu tangu Obama atangaze kuja Afrika
Kiranga huyu si KUB tu, ni Mbunge wa Hai, ni Mwenyekiti wa chama kikuu cha upinzani, mwenyekiti wa kamati kuu ya CDM na Halmashauri kuu. Halafu anatumiwa ujumbe(sina hakika ni barua au text) na yeye kuacha majukumu mazito aliyo nayo kwa ajili ya kuhudhuria hafla ya Togwa.

Vitu kama hivi mashabiki hawavioni kwasababu katika nyuso zao wamejiufunika tambara kuubwa la turubai linaloitwa Utaifa. Huyu Mbowe hakuwepo katika orodha ya Wataifa hadi saa 5 asubuhi jumanne ya tarehe 2, Sasha na Malia wakiwa wanaangali tausi pale Ikulu halafu mtu atuambie alikwenda kwa Utaifa. Kwamba Mbowe ndiye Mtaifa zaidi ya wale walioaanda hafla ya taifa na kumwacha nje ya orodha ya wataifa watakaohudhuria Togwa. Please!please!
 
Hakuna swali lolote kuhusu hayo, unaelezea mambo ambayo ni non material to the issue at hand, you might as well be saying "kauli ya Mbowe haibadilishi rangi za bendera ya CHADEMA, that is hardly the question. Again, you are addressing something that is not asked and so far you are not addressing what is asked.



Hapa hujaeleweka unataka kuandika nini, pengine kwa sababu unaandika vitu kibao ambavyo si material to the issue.

Unapoandika "Kauli ya Mbowe kama ulivyoinukuu haibadilishi chama cha siasa kilichoandikishwa kisheria...kukiwezesha kushika dola, na kukifanya chama ambacho hakipo tayari kushika dola".

That is not my position. You are disputing a position I did not posit. Nimeweka argument kwamba labda CHADEMA haikuwahi kuwa tayari kushika dola na mpaka sasa hakipo tayari.

Kama unaangalia kusajiliwa kwa chama kama ni kigezo cha chama kuwa tayari kushika dola nenda ofisini kwa John Tendwa uangalie msururu wa vyama ambavyo hata watu hawavijui majina, vimeandikishwa, vinasubiri msimu wa uchaguzi, lakini unaweza kusema kwamba viko tayari kushika dola?



Unaondoka kwenye kauli ya Mbowe, unaenda kwenye vitendo vya CHADEMA.

Kwanza you are wrong. Si kweli kwamba vitendo vyote vya CHADEMA so far vimekuwa na mwelekeo wa kukiwezesha kushika dola. You can't tell me you are blind to all these infighting and innuendo on the part of CHADEMA.

Pili, hata kama ingekuwa kweli kwamba vitendo vya CHADEMA so far vingekuwa na mwelekeo wa kukiwezesha kushika dola, alichosema Mbowe ni kwamba sasa ndio wanaondoka katika uanaharakati per se na kujenga uwezo wa kushika dola, maana yake hapo nyuma aligombea urais bila ya uwezo wa kushika dola, kwa nini sasa aligombea? Tamaa ya madaraka tu au nini kilimsukuma kugombea urais bila ya kuwa na chama chenye uwezo wa kushika dola?



Swali langu halihusu wanachokitafuta CHADEMA sasa, swali langu linahusu kwa nini CHADEMA waligombea uraisi bila ya kuwa na uwezo wa kushika dola?



I am afraid your vision is clouded by passion for CHADEMA.



Kusema "wananchi eee, hivi sasa ndo tunakuwa chama kinachoweza kuchukua nchi, huko nyuma tulikuwa tunazugazuga tu" wakati ushagombea urais huko nyuma kunanioesha huyu mtu si makini. Anachukulia mambo kijuujuu.



Kauli ya supporter wake Tuko, ambayo inakumbukwa na mimi pia, isha mu indict. Full statement kuileta hapa kazi yako unayetaka kumtetea, unionyeshe kwamba nime misconstrue alichosema.

Don't make me hunt for the verbatim statement kwa sababu naweza kuona madudu zaidi ya haya ikawa badala ya kumtetea Mbowe unamuangamiza zaidi on the path of the wrath of the math of the Kirangaesque mental bloodbath.

sikuwa na lengo la kumtetea Mbowe, nilikuwa nashugulika na hoja tu. Katika hilo la kuhudhuria Dhifa ya Obama mimi sikubaliani naye. lakini sikubaliani na hoja kwamba kutamka kwamba sasa tunakwenda kushika dola ina maanisha alipogombea urais alikuwa anahadaa. alichokuwa anafanya na CHADEMA ilichofanya ni kitu kikubwa zaidi kuliko kauli hizo. hivi naangalia kitu ambacho kina maana pana zaidi - in my opinion.

Unasema "my vision is clouded with passion for CHADEMA" - mimi si hasa mpenzi wa CHADEMA, bali naunga mkono chama ambacho ni kinara wa mapambano katika nchi hii. nimewahi huko nyuma kuunga mkono NCCR, kisha CUF na sasa naunga mkono CHADEMA. napata hasira pale CHADEMA wanapopoteza nafasi za kutoa uongozi halisi. inawezekana pia CHADEMA hawasimamii hasa yale ambayo mimi naamini kuwa ndio ukombozi wa wakulima na wafanyakazi wa Tanzania, lakini angalau ndio chama kilichojitokeza kuongoza mapambano haya.
 
Nimekuwa nasita kutoa kauli yangu kuhusiana na hoja ya msingi iliyopo mbele yetu; Hii ni kwa sababu kwa mtazamo wangu ambao pengine ni finyu, hoja ya mzee mwanakijiji is a double edged sword:

On the one hand, kwa chama tawala (sio tu Tanzania bali katika taifa lolote lile), kitendo cha kutomwalika kiongozi wa upinzani kwenye 'state banquet' ni "political immaturity";

On the other hand, kwa kiongozi wa upinzani katika nchi inayoendelea kupambana na uhaba wa ideal liberal democracy (e.g Tanzania), kukataa mwaliko wa a state banquet is "political maturity";

Swali linalofuata ni je, among the two, nani ni matured na nani immature? Na katika hili, who has gained a political mileage - is it the matured or the immature?

Mpaka hapa nadhani ni rahisi kuona kwamba hoja za mzee mwanakijiji, nguruvi3 pamoja na wale wanaowaunga mkono kuhusiana na suala zima la ujio wa rais of the free world (Obama), zina mashiko depending unachagua kuwa upande upi wa hoja kwani hoja zipo very objective especially in the context of the double edged sword narrative yangu hapo juu, tatizo, wale wenye counter arguments wanaegemea zaidi kwenye hoja subjective;

That said and done, niseme mambo matatu ya mwisho kama ifuatavyo:

Kwanza, ni muhimu kwa pande zote mbili za hoja zikatambua kwamba a state banquet is a public event, a state banquet is not a private event na ndio maana tumeona mambo kadhaa yanayo husisha fedha za walipa kodi yakitolewa maelezo katika dhifa ile; Kwa maana hii, expression of public sentiments hata on a one on one basis (mfano mbowe kutumia fursa hiyo kuzungumza na Obama au wasaidizi wake in private) ni sawa;Swali linalofuatia ni je - Mbowe alitumia fursa hiyo?

Pili, hoja kwamba Mbowe alialikwa kama KUB na sio kiongozi wa chadema inawezekana ina mashiko lakini inapwaya kwa sababu moja kuu ambayo ni kwamba - tumeshuhudia jinsi gani ndani ya bunge chadema imepigania kufa na kupona kudai haki yake ya kuwa ndio chama kikuu cha upinzania bungeni, hence kuwa synonymous na KUB kwa hoja zenye mashiko na zisizo legelegeo; Sasa viongozi wa chadema kutenga Chadema na KUB kwa madhumuni ya kisiasa, hasa kukingia kifua maamuzi ya kukubali mwaliko wa ikulu, ni tatizo;

Tatu na mwisho, last minute invitation of the opposition leader or KUB for thay matter katika muktadha wa itifaki za nchi ni one of the worse protocol blunders than can happen in any country na ilitakiwa uongozi wa chadema ulikemee hilo pale pale na kutaka mkuu wa itifaki apewe onyo kali, lakini kama anavyojadili nguruvi3, chadema imeshindwa kutenganisha dhana na uongozi na dhana ya kiongozi/viongozi;

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
sikuwa na lengo la kumtetea Mbowe, nilikuwa nashugulika na hoja tu. Katika hilo la kuhudhuria Dhifa ya Obama mimi sikubaliani naye. lakini sikubaliani na hoja kwamba kutamka kwamba sasa tunakwenda kushika dola ina maanisha alipogombea urais alikuwa anahadaa. alichokuwa anafanya na CHADEMA ilichofanya ni kitu kikubwa zaidi kuliko kauli hizo. hivi naangalia kitu ambacho kina maana pana zaidi - in my opinion.

Obfuscation. Kwamba ilichokifanya CHADEMA ni kikubwa zaidi au la ni suala la mjdala tofauti.

Mjadala wangu hapa ni kuhusu, kama CHADEMA ndo kwanza inapata uwezo wa kushika dola, huko nyuma kwa nini ilisimamisha wagombea urais? Na kama ingefanikiwa kushinda urais bila ya kuwa na uwezo wa kushika dola ingefanyaje?

Unasema "my vision is clouded with passion for CHADEMA" - mimi si hasa mpenzi wa CHADEMA, bali naunga mkono chama ambacho ni kinara wa mapambano katika nchi hii.

Chama kinara cha mapambano hakiwezi kuuza haki ya uzaliwa wa kwanza kwa kikombe cha uji wa dhifa ya Obama.

nimewahi huko nyuma kuunga mkono NCCR, kisha CUF na sasa naunga mkono CHADEMA.

Kwa historia yako hii uliyoiweka hapa mwenyewe, wengine wanaweza kusema una tabia ya kuunga mkono vyama vya msimu, na kuunga mkono kwako CHADEMA kunakitabiria nacho kuwa chama cha msimu.

napata hasira pale CHADEMA wanapopoteza nafasi za kutoa uongozi halisi.

Pata hasira juu ya Mbowe, maana si kiongozi halisi. Kiongozi halisi anapima kauli kwa mizani kabla ya kusema, na hawezi kusema "ndiyo kwanza tunaanza kuwa tayari kushika dola" wakati chama kishasimamisha wagombea urais mara kadhaa. Watu makini wataona kama ulishawahi kusimamisha wagombea urais bila kuwa tayari kushika dola, basi inawezekana hata sasa huko tayari unazuga tu. Na hilo halitakuzuia kusimamisha wagombea urais, huna integrity ati.

inawezekana pia CHADEMA hawasimamii hasa yale ambayo mimi naamini kuwa ndio ukombozi wa wakulima na wafanyakazi wa Tanzania, lakini angalau ndio chama kilichojitokeza kuongoza mapambano haya.

This should be even more reason for you to be critical towards CHADEMA kwenye yale unayoona hawakutendei haki kwa kusimama katika msimamo wako, tatizo letu tunabweteka na " this is the best there is, so I will just go with it" bila ya kujua kwamba hata hicho "the best there is" in terms of opposition, could be made better by critical input from the populace.
 
Obama ni rais "mweusi" wa kwanza wa Marekani. Na pia ni Mwafrika na ni Mkenya pia. Kenya ni nchi jirani na Tanzania.

Hivyo Obama ni kama 'mwenzetu' tu.

Sasa kweli mnadhani kuna mtu ambaye angegoma kwenda Ikulu kuonana naye kama angealikwa?

Yaani mtu aitupe fursa ya kwenda kuonana na rais wa Marekani "mweusi" tena Mwafrika mwenzetu?

Mnacheza nyie.

Ngosha, si unakumbuka yule mdada aliyepewa simu za Obama?
 
Tatu na mwisho, last minute invitation of the opposition leader or KUB for thay matter katika muktadha wa itifaki za nchi ni one of the worse protocol blunders than can happen in any country na ilitakiwa uongozi wa chadema ulikemee hilo pale pale na kutaka mkuu wa itifaki apewe onyo kali, lakini kama anavyojadili nguruvi3, chadema imeshindwa kutenganisha dhana na uongozi na dhana ya kiongozi/viongozi;

If true, then that was very disrespectful and if I were Mbowe I wouldn't even have bothered.

But then again I realize how much many people (especially Africans) adore Obama and how such adoration and adulation could get in the way and trump everything else, principles included.

Which in turn makes passing up an invitation to go hang out with the first black president of the United States much more difficult.

I mean, how can you turn down a once in a lifetime offer like that? Not unless you are out of your damn mind. It's the "black" president of United States of America we're talking about here....think!
 
Basi hawa VIJANA wano enda OUTING/PICNICK mikutano ya CHADEMA kwa hela zao wenyewe, na Michango/kiingilio wakatoa wanamatatizo.

Unaweza ukanisaidia ni kwa nini VIJANA hawahawa hawaendi mikutano ya CCM unayopewa Nguo za kuvaa, Usafiri, Posho na Show ya nguvu ya Diamond ?

Au tuseme CHADEMA ni FREEMASON!

umesahau kutumia neno "baadhi ya" kama nilivyofanya mimi, kwani hivyo ndivyo hoja yangu na pia hoja yako itaeleweka kwa urahisi;tabia ya kunukuu maneno ya mtoa hoja kwa mtindo unaotaka wewe badala ya kutumia kitufe cha quote hapo chini aidha kwa bahati mbaya au kwa makusudi, ni ku entertain upotoshaji wa hoja husika;
 
Nyerere amewahi kusema one of his most quoted maxims - For principles have a way of revenging themselves. If you break a principle, it will find a method of breaking you. And if people try to break a major principle, those principles will find a way of breaking that people. (Uhuru na Umoja, pp. 127)
 
Nyerere amewahi kusema one of his most quoted maxims - paraphrased- "Once you break a major principle, that principle will find a way of breaking you in a major way"

This reminds me of how Mandela boycotted ugeni wa George Bush Afrika Kusini akiwa Rais wa Marekani, kwa kutunga safari ya kwenda nje as a gesture ya msimamo wake; na hilo halikumshushia heshima mzee mandela; siku mungu akimwita, ni Bush ndio atakuwa katika wakati mgumu sana wa kujadili yeye na kichwa chake kwamba audhurie au asiudhurie msiba wa mandela? Tunahitaji viongozi wenye principles Tanzania lakini kwa bahati mbaya (au pengine makusudi), kwa tanzania hawa ni haba, pengine tundu lissu na wachache ndio tunaweza sema wameanza kurudisha hili....
 
Back
Top Bottom