Da Pretty
JF-Expert Member
- Dec 9, 2010
- 3,059
- 1,148
kumbe wao ndo wanatuchelewesha makusudi wakati wakija kwetu wanatuambia tupo pamoja tusubiri kidogo kuna mambo wanafatilia kabla hatujaingia mtaani. Duh,wanakatisha tamaa la umeme nilipania sana!tumemsikia mkuu akijiosha kwa muheshimiwa, eti wao ndio huwa wanawaziwia wanainchi wasiandamane, anachekesha kweli!!!!