Wa Ndima
JF-Expert Member
- Aug 13, 2010
- 1,526
- 323
Hakuna anaejibu, jazba hazitojenga chama chetu, guys just come with ideas achana na ushabiki....
toka lini ulikuwa CHADEMA?
Hakuna anaejibu, jazba hazitojenga chama chetu, guys just come with ideas achana na ushabiki....
Wabunge watano wakongwe ARFI, KABWE, MDEE, NDESAMBURO, OWENYA wooote hawakubaliana na idea ya kugomea speech ya JK, mbowe bado aliendelea na msimamo wake na sasa anakula matapishi na anapingana na SLAA na ZITTO, hivi kinanani wanamshauri?
Atigi hii si forum ya washirikina na waganga!!!! Na unapozungumzia pete unamaanisha pete au unahitaji mme????
Atigi hii si forum ya washirikina na waganga!!!! Na unapozungumzia pete unamaanisha pete au unahitaji mme????
Hukujua?Kumbe we wa hovyo kabisa
Arfi, kabwe,uwenya,mdee,ndesamburo,mnyika,shibuda woote hawakuwemo siku ile ya hotuba ya rais and it is obvious walipinga na si dalili nzuri, hata hili mnahitaji ushahidi wa signature na video tapes... Guys let us discuss it critically pipoz...............
Rev. Masanilo tutafutie picha za viongozi wa CCM na serikali wanaovaa pete kama za huyu mnajimu inaonekana yeye ndiye hazina ya busara ya hao wazee wa CCM na serikali.
Anashauriwa na Mzee Wake MTEIIIIIIWabunge watano wakongwe ARFI, KABWE, MDEE, NDESAMBURO, OWENYA wooote hawakubaliana na idea ya kugomea speech ya JK, mbowe bado aliendelea na msimamo wake na sasa anakula matapishi na anapingana na SLAA na ZITTO, hivi kinanani wanamshauri?
Halafu tuwekee ile ya Komba akitwanga na kupepeta na ungo.Rev. Masanilo tutafutie picha za viongozi wa CCM na serikali wanaovaa pete kama za huyu mnajimu inaonekana yeye ndiye hazina ya busara ya hao wazee wa CCM na serikali.
Mkuu wangu tafadhali acha Udini wako....Wee unajua hapa wanafanya nini? au maadam unapomwona Sheikh Yahya basi ndio unaona raha kuendeleza ujinga wako. Mbona ya huyo Mama Rwakatare na chaguo la Mungu hatusemi ndio UCCM..
Wabunge watano wakongwe ARFI, KABWE, MDEE, NDESAMBURO, OWENYA wooote hawakubaliana na idea ya kugomea speech ya JK, mbowe bado aliendelea na msimamo wake na sasa anakula matapishi na anapingana na SLAA na ZITTO, hivi kinanani wanamshauri?
Mkuu wangu tafadhali acha Udini wako....Wee unajua hapa wanafanya nini? au maadam unapomwona Sheikh Yahya basi ndio unaona raha kuendeleza ujinga wako. Mbona ya huyo Mama Rwakatare na chaguo la Mungu hatusemi ndio UCCM..