Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,618
- 154,957
Kwenye shughuli ya kuuaga mwili wa Mzee Bob Makani, Mbowe ameumuaibisha sana katibu wa CCM bw. Mkama kutokana na kuongea maneno ya UWONGO.
Kwenye kadamnasi hiyo, Mkama aliudanganya umma uliofurika katika viwanja vya Karimjee kuwa, eti Mzee Bob Makani alikuwa ni muasisi pekee wa Chadema ambaye hajatokea kanda ya kaskazini.
Mbowe ilipofika zamu yake, akaorodhesha majina ya waasisi wote wa Chadema na kuelezea mikoa waliyotoka.
Kitendo hicho kilimvua kabisa nguo bw. Mkama ambaye dhahiri alikuwa akitaka kuutumia msiba mzito wa mwasisi wa Chadema kujijengea jina na umaarufu.
Aibu hiyo ilishuhudiwa na mwenyekiti wa CCM bw. Kikwete.
Kwenye kadamnasi hiyo, Mkama aliudanganya umma uliofurika katika viwanja vya Karimjee kuwa, eti Mzee Bob Makani alikuwa ni muasisi pekee wa Chadema ambaye hajatokea kanda ya kaskazini.
Mbowe ilipofika zamu yake, akaorodhesha majina ya waasisi wote wa Chadema na kuelezea mikoa waliyotoka.
Kitendo hicho kilimvua kabisa nguo bw. Mkama ambaye dhahiri alikuwa akitaka kuutumia msiba mzito wa mwasisi wa Chadema kujijengea jina na umaarufu.
Aibu hiyo ilishuhudiwa na mwenyekiti wa CCM bw. Kikwete.