Mbowe ampongeza Jk wakati wapinzani wakihaha ni namna gani wameibiwa?

Calipso

JF-Expert Member
Mar 25, 2009
284
15
Hapo basi ndipo ninapopata wasi wasi wa siasa za Tz, mimi nina asli ya upinzani ktk damu yangu,na nishafikia kuapa kuwa siwezi kuwa ccm,kwa jinsi ninavoichukia hii ccm,lkn kuna baadhi ya vitu ktk upande wetu wa upinza vinashangaza na vinaipa mwanya ccm kutawala, kwa mfano mwaka 2005 sote tulijua jinsi gani CUf ilivokuwa na nguvu,lkn siku ya mwisho watz wote walishangaa matokeo ya kura yalivokuja,mpaka viongozi wa Cuf walivosema kuwa wana wasi wasi na karatasi za kura,wanalifatilia kwa makini na watalitolea tangazo,chadema kupitia Mbowe wakamtuma ahudhurie hafla ya kuapishwa Jk na kumpa pongezi nyingi kwa ushindi wa kishindo.. la kushangaza zaidi ni pale slaa na mbowe sasa wanakuja na issue ile ya karatasi,je pale Cuf waliposema ilkuwa ni ujinga? lazma wapinzani wawe kitu kimoja ili kuiondoa ccm,sio kugawanyika,mwenzako kaibiwa wewe unapongeza... Je na safari hii Endapo Jk akichukua nchi,maana hashindi isipokuwa wizi mtupu,Mbowe na slaa watahudhuria hafla ya kuapishwa na je watampongeza?
 
punguza povu wewe
hebu tupe ishu kamili alimsifia wapi, lini na wa nini?
 
It is a mark of an educated mind to be able to entertain a thought without accepting it
 
punguza povu wewe
hebu tupe ishu kamili alimsifia wapi, lini na wa nini?
Dah ama kweli hamfatilii siasa,mumesahau wakati anaapishwa Mbowe alihudhuria,hebu mwenye clip ya kuapishwa kwa kikwete atuwekee hapa,au tuleteeni mpinzani gani aliehudhuria na kumpa pongezi Jk kama si mbowe,mnasahau sana,au ukweli unauma? fatilia kwa makini utaona,usifoke tu
 
hapa vipi?
 

Attachments

  • mbowe.jpg
    mbowe.jpg
    24.6 KB · Views: 57
Mtanzania yeyote anayesema anachukua CHADEMA au CCM au CUF ana matatizo! hivi ni vyama vina-evolve na vina badilika... mtu mwenye akili zake vizuri atakuwa muwazi wakati wote kuangalia yupi ambaye anamaanisha anachosema ndio anayotekeleza...

Mfano wapo watu wa-upinzani wengi akiwemo Dr. Slaa wana-mfagilia Dr. Mwakyembe.

Mpaka leo sina CHAMA ninachokichukia. naweza kutokubaliana na wagombea au sera fulani ya chama lakini sikuchukii chama chochote.

Mfano namkubali mgombea wa CHADEMA mh. Dr. Slaa, sikubaliani kabisa na mgombea mwenza wake... nakubaliana na sera za jumla za CHADEMA isipokuwa sikubaliani na sera ya elimu ya bure... kwa kuwa sijawahi ona kitu cha bure huku duniani kinachotolewa kwenye quality inayostahili.
 
Hapo basi ndipo ninapopata wasi wasi wa siasa za Tz, mimi nina asli ya upinzani ktk damu yangu,na nishafikia kuapa kuwa siwezi kuwa ccm,kwa jinsi ninavoichukia hii ccm,lkn kuna baadhi ya vitu ktk upande wetu wa upinza vinashangaza na vinaipa mwanya ccm kutawala, kwa mfano mwaka 2005 sote tulijua jinsi gani CUf ilivokuwa na nguvu,lkn siku ya mwisho watz wote walishangaa matokeo ya kura yalivokuja,mpaka viongozi wa Cuf walivosema kuwa wana wasi wasi na karatasi za kura,wanalifatilia kwa makini na watalitolea tangazo,chadema kupitia Mbowe wakamtuma ahudhurie hafla ya kuapishwa Jk na kumpa pongezi nyingi kwa ushindi wa kishindo.. la kushangaza zaidi ni pale slaa na mbowe sasa wanakuja na issue ile ya karatasi,je pale Cuf waliposema ilkuwa ni ujinga? lazma wapinzani wawe kitu kimoja ili kuiondoa ccm,sio kugawanyika,mwenzako kaibiwa wewe unapongeza... Je na safari hii Endapo Jk akichukua nchi,maana hashindi isipokuwa wizi mtupu,Mbowe na slaa watahudhuria hafla ya kuapishwa na je watampongeza?

Kwenye red: Hivi yule Pumba hakuhudhuria ile sherehe ya JK kuapishwa? Nakumbuka hata walipotangaza matokeo pale Diamond ,Pumba alisusa. Ilikuwa ni hasira tu kwani ni hekima mtu kukubali kushindwa. Natumai hata Slaa atafika kwenye tafrija ya kuapishwa JK iwapo atashindwa, na kwamba JK naye atafanya hivyo hivyo.
 
Hii ndo Afrika bwana.

Na hiyo ndo SI HASA.. Anachosema leo mtu kesho si Hasa...

Waafrika tuzinduke tuacheni ujinga.....
 
Dah ama kweli hamfatilii siasa,mumesahau wakati anaapishwa Mbowe alihudhuria,hebu mwenye clip ya kuapishwa kwa kikwete atuwekee hapa,au tuleteeni mpinzani gani aliehudhuria na kumpa pongezi Jk kama si mbowe,mnasahau sana,au ukweli unauma? fatilia kwa makini utaona,usifoke tu

Bwana Calipso,

Nilishapata kusema kuwa ukumbi huu wengi wao ni aidha watakuwa wanapiga kura kwa mara ya kwanza ama watakuwa wanaipigia kura upinzani kwa mara ya kwanza. Mtu ambaye hajui kilichotokea 2005, huyo utajadiliana naye kitu gani? :A S 13:
 
Mtanzania yeyote anayesema anachukua CHADEMA au CCM au CUF ana matatizo! hivi ni vyama vina-evolve na vina badilika... mtu mwenye akili zake vizuri atakuwa muwazi wakati wote kuangalia yupi ambaye anamaanisha anachosema ndio anayotekeleza...

Mfano wapo watu wa-upinzani wengi akiwemo Dr. Slaa wana-mfagilia Dr. Mwakyembe.

Mpaka leo sina CHAMA ninachokichukia. naweza kutokubaliana na wagombea au sera fulani ya chama lakini sikuchukii chama chochote.

Mfano namkubali mgombea wa CHADEMA mh. Dr. Slaa, sikubaliani kabisa na mgombea mwenza wake... nakubaliana na sera za jumla za CHADEMA isipokuwa sikubaliani na sera ya elimu ya bure... kwa kuwa sijawahi ona kitu cha bure huku duniani kinachotolewa kwenye quality inayostahili.

wewe ni mwanaccm mkuu
 
Dah ama kweli hamfatilii siasa,mumesahau wakati anaapishwa Mbowe alihudhuria,hebu mwenye clip ya kuapishwa kwa kikwete atuwekee hapa,au tuleteeni mpinzani gani aliehudhuria na kumpa pongezi Jk kama si mbowe,mnasahau sana,au ukweli unauma? fatilia kwa makini utaona,usifoke tu

uchaguzi ukiisha na kama hakuna cha kufanyika, wapinzani wanahudhuria kuapishwa kwa "aliyeshinda". Hizi zingine ni bange tu unaleta jamvini
 
Mtanzania yeyote anayesema anachukua CHADEMA au CCM au CUF ana matatizo! hivi ni vyama vina-evolve na vina badilika... mtu mwenye akili zake vizuri atakuwa muwazi wakati wote kuangalia yupi ambaye anamaanisha anachosema ndio anayotekeleza...

Mfano wapo watu wa-upinzani wengi akiwemo Dr. Slaa wana-mfagilia Dr. Mwakyembe.

Mpaka leo sina CHAMA ninachokichukia. naweza kutokubaliana na wagombea au sera fulani ya chama lakini sikuchukii chama chochote.

Mfano namkubali mgombea wa CHADEMA mh. Dr. Slaa, sikubaliani kabisa na mgombea mwenza wake... nakubaliana na sera za jumla za CHADEMA isipokuwa sikubaliani na sera ya elimu ya bure... kwa kuwa sijawahi ona kitu cha bure huku duniani kinachotolewa kwenye quality inayostahili.
isipokuwa elimu uliyoipata enzi za nyerere.unless wewe ni kijana wa dot com.
 
Je na safari hii Endapo Jk akichukua nchi,maana hashindi isipokuwa wizi mtupu,

Kama wajua CCM ni wizi mtupu sasa ya kupongezana yanatoka wapi kwa shughuli ambayo ni dhuluma tu............
 

Kwenye red: Hivi yule Pumba hakuhudhuria ile sherehe ya JK kuapishwa? Nakumbuka hata walipotangaza matokeo pale Diamond ,Pumba alisusa. Ilikuwa ni hasira tu kwani ni hekima mtu kukubali kushindwa. Natumai hata Slaa atafika kwenye tafrija ya kuapishwa JK iwapo atashindwa, na kwamba JK naye atafanya hivyo hivyo.

Haya matatizo ya kuwaachia vigoli wasiochezwa kuzungumza mbele ya kadamnasi. Kama huyo mwenye PhD ya Economics kutoka Stanford ni pumba, sijui huyo mwenye PhD ya Theolojia kutoka Vatican atakuwaje? :hand:
 
Mtanzania yeyote anayesema anachukua CHADEMA au CCM au CUF ana matatizo! hivi ni vyama vina-evolve na vina badilika... mtu mwenye akili zake vizuri atakuwa muwazi wakati wote kuangalia yupi ambaye anamaanisha anachosema ndio anayotekeleza...

Mfano wapo watu wa-upinzani wengi akiwemo Dr. Slaa wana-mfagilia Dr. Mwakyembe.

Mpaka leo sina CHAMA ninachokichukia. naweza kutokubaliana na wagombea au sera fulani ya chama lakini sikuchukii chama chochote.

Mfano namkubali mgombea wa CHADEMA mh. Dr. Slaa, sikubaliani kabisa na mgombea mwenza wake... nakubaliana na sera za jumla za CHADEMA isipokuwa sikubaliani na sera ya elimu ya bure... kwa kuwa sijawahi ona kitu cha bure huku duniani kinachotolewa kwenye quality inayostahili.
Good point Kasheshe. Totally agree with you!!!
 
Bwana Calipso,

Nilishapata kusema kuwa ukumbi huu wengi wao ni aidha watakuwa wanapiga kura kwa mara ya kwanza ama watakuwa wanaipigia kura upinzani kwa mara ya kwanza. Mtu ambaye hajui kilichotokea 2005, huyo utajadiliana naye kitu gani? :A S 13:

Nimekupata mkuu.. inaonekana wengi wao ndio kwanza wanajifundisha kupiga kura,yaani wamesahau kabisa au hawajui kabisa kama mbowe alihudhuria kuapishwa kwa Fisadi wa kura Kikwete... leo wanakuja na ajenda ile ile ambayo wao walimpinga Lipumba.. ni tabu sana kuwafahamisha watu kitu ambacho ni reality,watu ambao chongo wanasema kengeza... duh
 
wanachadema wanaibiwa na viongozi wao huku hawajui.. maskinii.. lafu kauli mbiu waliyo wapa ni HAMDANGANYIKI
 
Mtanzania yeyote anayesema anachukua CHADEMA au CCM au CUF ana matatizo! hivi ni vyama vina-evolve na vina badilika... mtu mwenye akili zake vizuri atakuwa muwazi wakati wote kuangalia yupi ambaye anamaanisha anachosema ndio anayotekeleza...

Mfano wapo watu wa-upinzani wengi akiwemo Dr. Slaa wana-mfagilia Dr. Mwakyembe.

Mpaka leo sina CHAMA ninachokichukia. naweza kutokubaliana na wagombea au sera fulani ya chama lakini sikuchukii chama chochote.

Mfano namkubali mgombea wa CHADEMA mh. Dr. Slaa, sikubaliani kabisa na mgombea mwenza wake... nakubaliana na sera za jumla za CHADEMA isipokuwa sikubaliani na sera ya elimu ya bure... kwa kuwa sijawahi ona kitu cha bure huku duniani kinachotolewa kwenye quality inayostahili.

Sikubaliani kabisa na sentensi yako niliyoi-mark red. Samuel Sitta, Joseph Sinde Warioba, Mabere Marando, Jaji Augustino Ramadhani .... to name just a few hawa wamesomeshwa 'bure' kwa gharama zilizokuwa zikilipwa na Serikali na wakahitimu Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na wanaelimu bora ya kuweza ku-fit in popote duniani. Je hizo shule zetu siku hizi ambazo zinalipiwa unaweza nambia kwamba zinatoa quality education inayostahili?
 
Back
Top Bottom