Hapo basi ndipo ninapopata wasi wasi wa siasa za Tz, mimi nina asli ya upinzani ktk damu yangu,na nishafikia kuapa kuwa siwezi kuwa ccm,kwa jinsi ninavoichukia hii ccm,lkn kuna baadhi ya vitu ktk upande wetu wa upinza vinashangaza na vinaipa mwanya ccm kutawala, kwa mfano mwaka 2005 sote tulijua jinsi gani CUf ilivokuwa na nguvu,lkn siku ya mwisho watz wote walishangaa matokeo ya kura yalivokuja,mpaka viongozi wa Cuf walivosema kuwa wana wasi wasi na karatasi za kura,wanalifatilia kwa makini na watalitolea tangazo,chadema kupitia Mbowe wakamtuma ahudhurie hafla ya kuapishwa Jk na kumpa pongezi nyingi kwa ushindi wa kishindo.. la kushangaza zaidi ni pale slaa na mbowe sasa wanakuja na issue ile ya karatasi,je pale Cuf waliposema ilkuwa ni ujinga? lazma wapinzani wawe kitu kimoja ili kuiondoa ccm,sio kugawanyika,mwenzako kaibiwa wewe unapongeza... Je na safari hii Endapo Jk akichukua nchi,maana hashindi isipokuwa wizi mtupu,Mbowe na slaa watahudhuria hafla ya kuapishwa na je watampongeza?