Ta Muganyizi
R I P
- Oct 19, 2010
- 5,361
- 2,732
Kumbe hili deal lilianza kusukwa kitambo!
Mmemdeal mgombea wenu kuwa barabara za Kinondoni hazina viwango wakati anakuja kuomba kura kwa kutumia hizo barabara kuwa kazijenga.
Kumbe hili deal lilianza kusukwa kitambo!
Kumbe hili deal lilianza kusukwa kitambo!
Kama chama kinaongozwa na mchaga unategemea nini zaidi ya BiasharaAcha akiuze tu mana hakuna namna na mimi nasema uza tu
Dr Slaa na Prof Lipumba wameyaona haya mapema ndio maana walikataa kuuzwa.... Mbowe anakoelekea watamnunua kwa bei chee na.... Nchi za nje, Chadema huyu kiongozi apewe Ukweli maana hajui kutofautisha kati ya Siasa na Biashara....
mwandishi wenu wa gazeti gani? na mpaka mbowe aweke ngumu eti waandikishane hiyo serikali ya umoja wa kitaifa itakuwa ya chadema na ccm tu? au ccm+cuf+cdm+nccr?
Kama chama kinaongozwa na mchaga unategemea nini zaidi ya Biashara
Kumbe hili deal lilianza kusukwa kitambo!
Mbona ccm ilishauzwa kwa mashetani siku nyingi husemi? Shetani EPA, TANGOLD, MEREMETA, RADA, ESCRAW nk
Hizi story mnazopiga vijiweni nawaonea huruma sana kwa sababu laiti mngemjua Mbowe nadhani msingethubutu hata kunena juu yake. Mkiwa tayari kuukabili ukweli mseme.
Sasa nimewakubali makamanda woote walioamua kupumzika na kumwacha Mbowe aendelee na biashara yake name EL. Kumbe Jk alikuwa na taarifa? Ndo maana akina makonda. Nape etc wanapata jeuri ya kumtukana Lowassa! Mambo yalianza 2011! Naungana name makamanda wenzangu Dr. Slaa. Mnyika. Mdee. Lissu hata name Lipumba kupmzika. Sina imani tena ukawa. El na Mbowe.
Kumbe hili deal lilianza kusukwa kitambo!
mabilioni ya fedha! hata ningekuwa mimi ningeiuza chadema kwa lowasa