Elections 2010 Mbowe Afanyiwa Fujo Kubwa Hai

Mbowe ni mtu hatari sana, ana hatarisha amani ya nchi hii kwa maneno yake ya kichochezi, na sasa ametuonyesha nia yake ya dhati ya kutaka kumwaga damu.

Mwakazi wa Hai mtoseni huyo hawafai, ila kura ya urais mpeni Dr.Slaa

bwa ha ha ha ha

Utahangaika sana mwaka huu. Mbowe yuko kwenye house - Hai.
 
Mbowe ni mtu hatari sana, ana hatarisha amani ya nchi hii kwa maneno yake ya kichochezi, na sasa ametuonyesha nia yake ya dhati ya kutaka kumwaga damu.

Mwakazi wa Hai mtoseni huyo hawafai, ila kura ya urais mpeni Dr.Slaa
Mimi nafikiri angemuwasha mmoja la makalioni ingefaa sana ili liwe fundisho kwa watu kama nyie mnaojifanya hamuelewi somo. Big up Mbowe next time usielekeze juu elekeze usawa wa mbuzi tuone kama Green guard watarudi, dawa ya moto ni moto.

Wao wanakuja kuchokoza kwa makusudi halafu watu humu wanatoa mapovu eti Mbowe kakosea, kwani bastora tunapewa za nini mapambo, kazi ya bastora ni pamoja na hiyo kutuliza ghasia na kujilinda na majangili kama hayo.
 
naona uchungu mwingi, wametuibia mali zetu, wametupa elimu duni, wameuza nchi yetu kwa wageni, tumegeuka watumwa ndani ya nchi yetu, wametulazimisha kuichangia ccm kwa kutukata kile kidogo tulichobaki nacho kwenye salio tunaloweka kwenye simu, kama haitoshi wanawafundisha vijana wao ili wapunguze na viungo vyetu dhaifu na damu zetu kidogo tulizobakiwa nazo, kura zetu wataiba, naona uchungu jamani.
 
Kwa sisi m kuanzisha vagi ni kitu cha kawaida. Jana wakati kuna mkutano wa Chadema mjini Bukoba ambako alikuwa katika kampeni Dr Slaa, kikosi cha mabounza wa sisi m wanaotembea na mgombea ubunge wao Hamis Kagasheki kilikuwa kikizunguka na gari kikitangaza mambo yao wakati wakijua wazi hawana ratiba ya mkutano wowote mjini kwa siku ya jana. Na wanafanya hivi wakipita karibu na mkutano wa Chadema.
Je kama chadema waki retaliate itakuwaje? Maana nondo na mapanga ni vitu vya kawaida ambavyo yeyote anaweza kuvibeba. Tabia hii ya uhuni isiruhusiwe katika kipindi hiki cha uchaguzi.
 
Sasa tunawaomba CNN, Al Jaazera, BBC, na wengine maarufu wahamie hapa Tanzania ili ulimwengu utambue hali halisi tuliyonayo. Mambo ya Palestina na Israeli au mahali pengine ndio kama haya, ila tu katika maeneo hayo vyombo vya habari vipo macho usiku na mchana, vikitujulisha kila linalotokea, hata akipigwa mtu mmoja kidogo tu, tutasikia. Tunaposikia habari hizo tunaonja ni jinsi gani watu wanakosa amani na utulivu. Basi, haya yameanza hapa hapa Tanzania. "Baba wa Taifa, tutazame wanao tunaangamia, ile nchi yako iliyosifika kama ni kisiwa cha amani, ipo mikononi mwa mafisadi, wauaji, wabinafsi na wenye uchu wa madaraka. Tunakukumbuka sana baba, tunatamani ungekuwa nasi leo hii, hali ingekuwa shwari."
 
vijana wa green guard hawana akili na Fuya ameshashindwa, walicofanya hakina maana... lakini mbowe ameonyesha upuuzi mkubwa kama mwenyekiti wa chama kushindwa kumalizia mkutano na kufuata utaratibu wa sheria (ambao yeye kwa wilaya ya hai ana priviledge hiyo kubwa tu na anaijua) kumtoa kijana wake

Kama tunalaani violence, basi tuifanye kwa vitendo... kwa kwenda kufanya mambo ya tambaza nimesikitika sana

siamini mtu mwenye staha anaweza kuvunja mkutano kwenda kuokoa kwa staili ya kibohehe, mringa au tambaza

angetuma vijana

Nimesikitishwa na green guards lakini nimesikitishwa zaidi na mbowe

ukifanya ya kipumbavu na mpumbavu, watu hawatajua tofauti yenu

Mbowe angekuwa na raha gani ya kuendelea na mkutano huku kijana wake na gari vilishatekwa na majambazi ya CCM?
 
Mimi nafikiri angemuwasha mmoja la makalioni ingefaa sana ili liwe fundisho kwa watu kama nyie mnaojifanya hamuelewi somo. Big up Mbowe next time usielekeze juu elekeze usawa wa mbuzi tuone kama Green guard watarudi, dawa ya moto ni moto.

Wao wanakuja kuchokoza kwa makusudi halafu watu humu wanatoa mapovu eti Mbowe kakosea, kwani bastora tunapewa za nini mapambo, kazi ya bastora ni pamoja na hiyo kutuliza ghasia na kujilinda na majangili kama hayo.

Mbowe action was right, that was self defence, na ndivyo matumizi ya slaa yanavyo elekeza, piga hewani mara tatu kama bado adui anakufata basi mmalize kabla hajakumaliza, Hiyo inaitwa self defence na hakuna kesi mahakamani
 
Kamende, kitendo tuu cha Kikosi cha ulinzi cha CHADEMA kilimdhibiti huyo kijana na kumhifadhi katika gari moja kwa lengo la kupisha mkutano uendelee hii abduction na illegal deteintion, hicho kikosi cha ulinzi cha Chadema kilipata wapi uwezo huo?.

Kumdhibiti mfanya fujo its a right move hatua iliyotakiwa kufuata ni kumkabidhi kwenye vyombo husika na sio kumhifadhi katika gari, suppose anything fatal ingemtokea huyo kijana, Chadema ingeweka wapi sura yake?..
Wakati anafanya fujo hivyo vyombo vilikuwa wapi...mpaka wanafiki stage ya kumhifadhi. Polisi wetu wanatu let down kabisa. Wamesababisha wezi kuchomwa moto siku hizi! na hawa GG, wamesajiliwa kama kampuni ya ulinzi au majambazi maalum wa CCM? maana kila nikisikia, wamefanya fujo..wamekata mapanga.

Halafu bado niichague sisi m?.....No way!
Bora nimchague mwanangu tu kuliko JMK
 
walikwenda musoma wakakata watu mapanga, hujasikia hilo?
Tarime hawawezi kwenda maana wanajua watapokea kipigo cha mbwa mwizi.

Hii ya Musoma imenisikitisha sana. Wanaowapikia fitna waumizane ni Watanzania tena tunaowajua. Wao wako wanawaangalia 'mafala' wanavyoumizana ilihali wao wanapiga mluzi...too sad kwa kweli
 
Hao greenguards na diwani wao wakamatwe na kuswekwa lupango. Anarchy and unleashing havoc is not acceptable
 
Well:

I said it before and I'm saying it now : Tanzania si nchi ya AMANI bali ni nchi ambayo imekuwa na UTULIVU muda mrefu!
 
chadema wanailaumu ccm na ccm nao wanawalaumu chadema kuwa ndio wanaoanzisha fujo na kutumia silaha maana sio ccm wenye walinzi peke yao hata chadema nao wana walinzi wao hivyo hatuwezi kuwa upande mmoja na kulaumu upande mwingine bila uchunguzi wa kina kufanyika na ndipo atajulikana nani anaetaka kumwaga damu za wa tz ili aingie ikulu!!!

Ama kuhusu member wa jf hatuna budi kuacha uchochezi na kuweka maslahi ya nchi kwanza kinyume chake nchi yetu itaingia ktk machafuko na watakao athirika ni watoto wetu, mama zetu, baba zetu, mabibi na mababu zetu!!!
Try to carefully understand the context. Walinzi wa ccm ndo mara zote waleta fujo chadema wanachofanya kujihami.

Hivi hao waliojeruhiwa musoma umesikia kulikuwa na chadema guard au ni green guard na viongozi na wagombea wa ccm?
 
Umeweka post makini sana.
Ni kweli Green Guards wamefanya uhalifu lakini MBOWE naye kama alifight back basi imetia doa sana demokrasia nchini.
Sasa hapo nani atamlaumu mwenzake? Ina maana kama siasa za CCM ni kuteka nyara wapinzani wao basi tuwaachie vyombo vya dola wawanyooshe na siyo jukumu letu kuchukua sheria mkononi.
Mungu ibariki Tanzania
Kura zetu kwa CHADEMA
Slaa for president

Mbowe anaelewa siasa za hai, kwenye mkutano wake naamini polisi walikuwepo, na nina amini polisi waliarifiwa kuhusu tukio lile. Unafikiri angekuwa mwanaye, mkewe, au ndugu yake angeendelea na mkutano? Kitendo alichofanya Mbowe kwenda kuokoa mwanachama, mwananchi, na mfanyakazi wake ni cha kishujaa na cha kuenziwa kwani uhai wa mtu ni muhimu sana kuliko siasa. Tumeshuhudia CCM wakiteka watu na kuwauwa huko tarime, tumeshuhudia CCM ikakaa kimya kama haiwahusu. Sasa kwa kamanda Mbowe kwenda kuokoa maisha naona ni uungwana wa hali ya juu. Hai ni jimbo lenye miundombinu mizuri sielewi kwanini polisi walishindwa kuwatuliza hao green guard.

Muhimu ni kuwaeleza CCM siasa sio ugomvi, kwa nini watumie nguvu kushinda na kumwaga damu. Kwa nini Kikwete hatoi kauli kali dhidi ya CCM wenzake wanaotuhumiwa nakukamatwa kila siku wakiuuwa watu? Chama cha siasa kinachouwa hakifai kuongoza dola.
 
Acid,
Tunamtaka kiongozi anayetetea watu wake. Mkutano haukuwa na maana tena kama wanachama wake hakuwa salama. na kila mmoja anajua kwamba Polisi hawamjali yoyote aliye kinyume na ccm. kama wewe haupo upande wa ccm ujue hauko salama tena na hata kivuli chako unatakiwa usikiamini.
 
Philosophy yangu ni kama ya Israel - retaliation is a must! Green Guard maanake nini? JWTZ wanavaa kijani na hawa ni kijani?!
 
Tulikuwa tunashangaa wakati ule wafuasi wa ZANU-PF wanafavamia MDC wakati wa kampeni ......lakini mbegu ile ile inapandwa pole pole Tanzania,....Mara, Kilimanjaro etc ....
 
Njia pekee ya kuzuia machafuko nchini ni CCM kukubali sauti ya umma.

Kama ni kupigana ni vizuri tukajua kuwa waathirika ni wananchi wote kwa ujumla, na hasa wasio na uwezo wa kukimbia nchi.

TUKIAMUA KUPIGANA HAKUNA ATAKAYEPONA, SIO CCM WALA CHADEMA WALA NCCR WALA CUF WALA YEYOTE YULE.

CCM wajue kuwa Kuna watu wako mtaani tu lakini wana ujuzi wa kijeshi walioupata kwa njia wanazojua wao kwa hobby tu,... tutakapopigana pigana ovyo tutajikuta tunazaa majeshi yasiyo rasmi mitaani ambayo yakipuliziwa bangi mbili tatu Shimbo atakuwa wa kwanza kutolewa kichwa.

TUKIWASHA MOTO WA CIVIL WAR.......BASI YATAKAYOJIRI YACHUNGULIE SOMALIA...... Rwanda na Burundi zimetulia kwa msaada mkubwa sana wa Tanzania. Tanzania ikifyatuka je ni nani ataidaka???

CCM acheni umalaya!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Hicho ndicho ccm wanachokitaka ili waendelee kuwepo madarakani lakini safari hii wakiwa na seria ya kuwashughulikia wapiganaji wa msituni. Mnaijua ccm au hamuijui. wapo radhi watu wafe ili wapate uhalali wa kuendelea kutawala.

Mbowe alitaka kumwaga damu watu? huyu jamaa ni mtu hatari sana hasa kwenye maswala ya maslahi yake anaweza mtoa uhai wa mtu...

Huyu hawezi pata ubunge hai, anakubalika kwao tu Machame pekee ndiko anakokubalika,swala la ubunge kwa kipindi hiki asahau kwa kweli ..
Wewe MPUUZI usidandie assumptions zetu ukidhani ndio msimamo. Bali unategemea nini unapoondoa kifuniko cha grenade? utalilaumu bomu kwa kulipuka au utajilaumu kwa kulipua bomu?
You know what? you are another scam and crap like the rest. I mean JK na CCM yake

Sasa wewe unataka waonewe mpaka lini? Yaani kupigwa wapigwe ila wasireact coz wakireact watatia doa. This attitude ndo imetufikisha hapa tulipo. People wanatupandia kichwani tuwaanagalie tuuuu. This is our country you know, we have the rights you know. Stop whining and act.
kama ndivyo basi tuamini kwamba polisi hawajaiva na lile jando la uchaguzi 2005. Na akina SHIMBO wanajua kinachoendela lakini wanasubiri wapinzani wareact ndipo waanze kuwashughulikia. hawajui kwamba arushaye risasi ya kwanza ndiye hugeuza historia.

Hivi mtu akimkamata Mkeo na kuanza "Kumuwowa" mbele yako. Anakuja mwanao anachukua kibano kutoka kwa rafiki zake. Wee Mwanamume mzima na msuli kama wa Sokwe Mtu na Bastola yako kiunoni, utaanza kutumia busara za kwenda kituo cha Polisi kwenda kuriport?

Sijui hadi ukija kurudi na POLISI hao, Mkeo na Binti yako watakuwa "wamewolewa" mara ngapi.

Eti hii ndiyo busara aliyotakiwa MBOWE aifuate.

Ningelijuwa wake zenu, ningelikuja niwawowe mbele yenu na nione mnavyoenda POLISI kuriport.

Waongo wakubwa nyie, mngeniweka kabali ya mbao hadi nikachafua kufuli.

Minafiki mikubwa nyie. Anakushinda hata huyu hapa chini, loooohhh...

chimpanzee-glock.jpg
hahaha haha mambo ya Mke bana we acha tu. lakini hebu njoo ujaribu kwa mke wangu uone jinsi ambavyo utakavyo zaa baada ya miezi tisa ya kulea mimba tumboni kwako. na utanizalia mtoto wa kiume hahahaah.
Ni kweli kwamba CCM wameanzisha vurugu. wanaanzisha chaos ili wapate uhalali wa kuvuruga uchaguzi hata kuhairisha. tutumie busara zetu tunapodeal na WAPUUZI kama hawa CCM. Kwa nini tusiwashtaki kwenye umoja wa mataifa kuwa wanahatarisha maisha ya WATANZANIA kwa kumiliki jeshi na kuendesha matendo ya kigaidi dhidi ya RAIA? tuwashinde kwa hoja hata kama wakileta vioja. Gharama ya demokrasia ni kuvumilia na kuamini kwamba tutafika. ila tukiingia kwenye mtego wa kuchokozwa na kureact basi mjue sisi hatutakuwa tofauti na wao.
mambo ya siasa yana tofauti kubwa na mambo ya kifamilia. njoo umuwowe mke wangu uone utakavyopata VIP treatment. siendi polisi ingawa watanibembeleza niwauzie kesi lakini nitakupachika mimba walah.

Mimi nafikiri angemuwasha mmoja la makalioni ingefaa sana ili liwe fundisho kwa watu kama nyie mnaojifanya hamuelewi somo. Big up Mbowe next time usielekeze juu elekeze usawa wa mbuzi tuone kama Green guard watarudi, dawa ya moto ni moto.

Wao wanakuja kuchokoza kwa makusudi halafu watu humu wanatoa mapovu eti Mbowe kakosea, kwani bastora tunapewa za nini mapambo, kazi ya bastora ni pamoja na hiyo kutuliza ghasia na kujilinda na majangili kama hayo.
hahahahaha hahaha. alifanya busara kupiga hewani. naamini anamiliki kihalali. Nakubaliana nanyi kwamba alifanya jambo sahihi kwa wakati ule mahala pale, lakini mimi nikiangalia mbali zaidi ni kwamba hata hao wanaccm tunawahitaji sana wawepo hai wakiona na kushiriki kuijenga nchi kwa sera na ilani za CHADEMA. Ila twende mbali zaidi kwa kuwashinikiza vyombo vya usalama vifanye kazi zao bila kujali sura wala makalio ya mtu.

Mbowe anaelewa siasa za hai, kwenye mkutano wake naamini polisi walikuwepo, na nina amini polisi waliarifiwa kuhusu tukio lile. Unafikiri angekuwa mwanaye, mkewe, au ndugu yake angeendelea na mkutano? Kitendo alichofanya Mbowe kwenda kuokoa mwanachama, mwananchi, na mfanyakazi wake ni cha kishujaa na cha kuenziwa kwani uhai wa mtu ni muhimu sana kuliko siasa. Tumeshuhudia CCM wakiteka watu na kuwauwa huko tarime, tumeshuhudia CCM ikakaa kimya kama haiwahusu. Sasa kwa kamanda Mbowe kwenda kuokoa maisha naona ni uungwana wa hali ya juu. Hai ni jimbo lenye miundombinu mizuri sielewi kwanini polisi walishindwa kuwatuliza hao green guard.

Muhimu ni kuwaeleza CCM siasa sio ugomvi, kwa nini watumie nguvu kushinda na kumwaga damu. Kwa nini Kikwete hatoi kauli kali dhidi ya CCM wenzake wanaotuhumiwa nakukamatwa kila siku wakiuuwa watu? Chama cha siasa kinachouwa hakifai kuongoza dola.
Kama polisi walikuwepo na kuwa walishindwa kudhibiti chanzo cha vurugu na wakashindwa kwenda kumtoa aliyetekwa na ccm, basi ni clear picture kwamba maafisa wa polisi ni WARATIBU wa hizi chokochoko zinazofanywa na ccm. Amini nakwambia.

UwT ndio pekee watakaotenda haki hapo maana jamaa wale wanajua kazi yao kisaikolojia na kiuwezo. Ila wanapaswa kuwa huru kisheria zaidi maana nadhani they are watching what is going on but wamepigwa stop na sheria kuingia ndani zaidi kushughulikia kivitendo matendo yanayohatarisha usalama wa nchi. CCM wajanja sana maana walipogundua kuwa TISS wanaweza kuwa ni kikwazo cha wao kutawala milele wakaamua kuwatungia marekebisho ya sheria inayowabana zaidi. Tupige kelele kuwa TISS iwe huru na isijiafiliate na sera za vyama wala vyama bali maslahi ya nchi zaidi na wapewe meno ya kuvunja mifupa.

Nadhani CCM wanataka kuiangamiza nchi na wapo tayari kwa hilo kwani wana mapandikizi yao kwenye mfumo mzima wa nchi na wapo radhi kumwaga damu kutengeneza uhalali wa propaganda zao.
 
Ilikuwa kama sinema za akina Rambo ama matukio ya Rwanda Genocide. Mgombe wa ubunge jimbo la Hai kwa tiketi ya CHADEMA Mhe. Freeman Mbowe akiwa katika mkutano wa hadhara huko Masama Kati ghafla kijana mmoja wa Green Guard alivamia mkutano kwa lengo la kuanzisha fujo. Kikosi cha ulinzi cha CHADEMA kilimdhibiti kijana huyo na kumhifadhi katika gari moja kwa lengo la kupisha mkutano uendelee.

Kumbe kijana huyo alikuwa ametangulizwa tu na kwamba pamoja naye walikuwepo vijana wa Green Guards wasiopungua 100. Vijana hawa wakiongozwa na Mgombea udiwani wa CCM katika kata hiyo walikwenda kufunga barabara ili msafara wa Freeman usipite eneo hilo. Kwa kawaida msafara wa Mbowe hutanguliwa na pick-up ambayo hubeba jukwaa na viti. Vijana hawa wa CCM waliliteka gari hilo lililokuwa linaendesha na Ndg. Lootore Lema na kumchukua kumpeleka katika nyumba ya mwanaCCM mmoja katika eneo hilo la Masama Mbweera.

Mbowe kusikia kuwa kamanda wake ametekwa alivunja mkutano na kuondoka kwenda kumwokoa. Walipofika kama 200m toka eneo la mkutano walikuta jeshi kubwa la vijana wa CCM wakiwa wameshikilia mapanga, mawe, majembe na vyuma. Hapo vita kamili ikaanza.

Katika vita hiyo magari ya msafara wa Mbowe yapatayo 6 yamevunjwa vunjwa vioo. Wanachama wa CHADEMA wameumizwa. Hata hivyo vijana wa CHADEMA walijitahidi kumlinda mwenyekiti wao wa taifa kwa kuongoza mapigano kama vita vya kawaida kabisa vya msituni. Ilimlazimu Mheshimiwa Mbowe kutoa bastola yake na kufyatua risasi kadhaa hewani ndipo Green Guards waliporudi nyuma na hivyo kuwezesha kupunguza kwa kiasi kikubwa madhara ambayo yangetokea kwa vita hiyo kuendelea uso kwa uso.

Ilikuwa patashika. Walinzi wa Mbowe walikuwa wakiwafuata Green Guards na kuwanyang'anya silaha zao na kuzitumia kuwapiga nazo. Kwa nasibu vijana kadhaa wa CCM wamekamatwa na kwa sasa wako katika kituo cha polisi cha wilaya ya Hai kwa ajili ya kuandika maelezo.

Taarifa zilizonifikia punde zinasema kuwa kijana mmoja ambaye amepigwa vizuri na CHADEMA ameomba asidhuriwe zaidi kwani atasema yote; namna walivyotumwa kuvamia na kuharibu mikutano ya Mbowe.

Waheshimiwa haya ni matunda ya mafunzo ya kijeshi ambayo CCM waliyafanya kwa vijana wao wapatao 5000 huko Iringa mwezi March mwaka huu na baadaye kule Moshi Vijijini ambako walitoa mafunzo ya kijeshi kwa vijana 350.

Chonde Chonde CCM!!
Madaraka mnayataka, Sawa; Lakini Damu yetu mnaitakia nini?
TUACHIENI AMANI YETU!!!!!!!!!

Kama kuna vita vitapiganwa nchi hii, basi vitaanzishwa na CCM.

Watanzania watapiga KURA ZA HASIRA Oktoba 2010. Bwana Mbowe wala usiwe na shaka. Lazima utinge Mjengoni.

DR. SLAA FOR LIFE!!!
 
Ilikuwa kama sinema za akina Rambo ama matukio ya Rwanda Genocide. Mgombe wa ubunge jimbo la Hai kwa tiketi ya CHADEMA Mhe. Freeman Mbowe akiwa katika mkutano wa hadhara huko Masama Kati ghafla kijana mmoja wa Green Guard alivamia mkutano kwa lengo la kuanzisha fujo. Kikosi cha ulinzi cha CHADEMA kilimdhibiti kijana huyo na kumhifadhi katika gari moja kwa lengo la kupisha mkutano uendelee.

Kumbe kijana huyo alikuwa ametangulizwa tu na kwamba pamoja naye walikuwepo vijana wa Green Guards wasiopungua 100. Vijana hawa wakiongozwa na Mgombea udiwani wa CCM katika kata hiyo walikwenda kufunga barabara ili msafara wa Freeman usipite eneo hilo. Kwa kawaida msafara wa Mbowe hutanguliwa na pick-up ambayo hubeba jukwaa na viti. Vijana hawa wa CCM waliliteka gari hilo lililokuwa linaendesha na Ndg. Lootore Lema na kumchukua kumpeleka katika nyumba ya mwanaCCM mmoja katika eneo hilo la Masama Mbweera.

Mbowe kusikia kuwa kamanda wake ametekwa alivunja mkutano na kuondoka kwenda kumwokoa. Walipofika kama 200m toka eneo la mkutano walikuta jeshi kubwa la vijana wa CCM wakiwa wameshikilia mapanga, mawe, majembe na vyuma. Hapo vita kamili ikaanza.

Katika vita hiyo magari ya msafara wa Mbowe yapatayo 6 yamevunjwa vunjwa vioo. Wanachama wa CHADEMA wameumizwa. Hata hivyo vijana wa CHADEMA walijitahidi kumlinda mwenyekiti wao wa taifa kwa kuongoza mapigano kama vita vya kawaida kabisa vya msituni. Ilimlazimu Mheshimiwa Mbowe kutoa bastola yake na kufyatua risasi kadhaa hewani ndipo Green Guards waliporudi nyuma na hivyo kuwezesha kupunguza kwa kiasi kikubwa madhara ambayo yangetokea kwa vita hiyo kuendelea uso kwa uso.

Ilikuwa patashika. Walinzi wa Mbowe walikuwa wakiwafuata Green Guards na kuwanyang'anya silaha zao na kuzitumia kuwapiga nazo. Kwa nasibu vijana kadhaa wa CCM wamekamatwa na kwa sasa wako katika kituo cha polisi cha wilaya ya Hai kwa ajili ya kuandika maelezo.

Taarifa zilizonifikia punde zinasema kuwa kijana mmoja ambaye amepigwa vizuri na CHADEMA ameomba asidhuriwe zaidi kwani atasema yote; namna walivyotumwa kuvamia na kuharibu mikutano ya Mbowe.

Waheshimiwa haya ni matunda ya mafunzo ya kijeshi ambayo CCM waliyafanya kwa vijana wao wapatao 5000 huko Iringa mwezi March mwaka huu na baadaye kule Moshi Vijijini ambako walitoa mafunzo ya kijeshi kwa vijana 350.

Chonde Chonde CCM!!
Madaraka mnayataka, Sawa; Lakini Damu yetu mnaitakia nini?
TUACHIENI AMANI YETU!!!!!!!!!

habari hii ni muhimu sana kwa mustakabari wa taifa letu,lakini wewe mwandishi ni mtu hatari kwani taarifa ni scewed against one tz community. Katika maelezo yako unaonyesha kuwa gguard wamekuwa trained lakini pia umeonyesha kuwa jeshi la chadema walishinda vita hii,tueleze wamepata mafunzo wapi. Isije ikawa huyo kijana unayedai alitumwa kama chambo ni maskini mmoja tu aliyezawadiwa fulana ya ccm na yeye bila kujua akatinga nayo ndani ya mkutano wa chadema, chadema nao wakaamua kumsurubu: tumeona wahanga wengi wa namna hii na tutaendelea kuona wengi.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom