siyo kukurupuka kurusha vitu robo robo humu.
Ahsante
MTAWALA jitahidi kutpostia Thread zenye kicha na miguu sasa unaposema nimekuta eti:
"kurudi namkuta muheshimiwa Aikaeli Freeman Mbowe anaeleza kitu kuhusu mauajiya mkenya juzi kule Arusha" naona km vile umeona mkia unaishia sasa hujui ni paka au mbwa.
Bora usubiri upate uhakika wa jambo siyo kukurupuka kurusha vitu robo robo humu.
Ahsante
wameua wawekezaji wao ha ha ha sijui tutaenda wapi kuomba msaada..............jamani habari za mwanzo niliambiwa na makambah ameuwawa wajumbe kuna ukweli wowote?
kujua ni mkenya au mtanzania sio tija. tija ni kuwa alishiriki maandamano yaliyopigwa marufuku. Mbowe na Slaa wawajibike kwa umma kwa nini hawakutii amri ya IGP ambayo ndio amri ya serikali halali..
kujua ni mkenya au mtanzania sio tija. tija ni kuwa alishiriki maandamano yaliyopigwa marufuku. Mbowe na Slaa wawajibike kwa umma kwa nini hawakutii amri ya IGP ambayo ndio amri ya serikali halali..
F...l!:tape2:
kujua ni mkenya au mtanzania sio tija. tija ni kuwa alishiriki maandamano yaliyopigwa marufuku. Mbowe na Slaa wawajibike kwa umma kwa nini hawakutii amri ya IGP ambayo ndio amri ya serikali halali..
msaada wa binafsi mimi nahisi niaomba mnisaidie wana wema wenzangu wapi naingia ili sasa nami niweze kutuma post zangu
msaada wa binafsi mimi nahisi niaomba mnisaidie wana wema wenzangu wapi naingia ili sasa nami niweze kutuma post zangu