Mwenyekiti wa CDM Taifa Kamanda wa Anga Freeman Mbowe na Mwenyekiti wa Bavicha Taifa John Heche wameanza ziara ya siku 8 katika mikoa yote ya Kanda ya kusini.
Lengo kubwa la ziara hii mbali na kuimarisha chama ni kushambulia kata zote zinazofanya uchaguzi mdogo wa udiwani wiki ijayo.Kuna kata mbalimbali zitafanya uchaguzi mdogo wa udiwani katika mikoa ya kusini.
Wakati Mbowe anajikita huko kusini,Katibu mkuu wake Dr Wilbroad Slaa amejichimbia kanda ya ziwa na kanda ya kati.Huku mjumbe wa Kamati kuu ya chama hicho Godbless Lema akiwa anapambana kanda ya Kaskazini.
Lengo kubwa la ziara hii mbali na kuimarisha chama ni kushambulia kata zote zinazofanya uchaguzi mdogo wa udiwani wiki ijayo.Kuna kata mbalimbali zitafanya uchaguzi mdogo wa udiwani katika mikoa ya kusini.
Wakati Mbowe anajikita huko kusini,Katibu mkuu wake Dr Wilbroad Slaa amejichimbia kanda ya ziwa na kanda ya kati.Huku mjumbe wa Kamati kuu ya chama hicho Godbless Lema akiwa anapambana kanda ya Kaskazini.