Mleta mada akileta mada bila source changanya na zako...
Kuna tofauti gani kati ya Polisi wa kwanza wa Tanzania na polisi wa pili wa Marekani? Wote ni polisi lakini wa Marekani anaonekana akipita kati ya wananchi huku wananchi hawana khofu ye yote wakati kuna tukio la uvunjaji wa sheria pale. Lakini Polisi wa Tanzania ni vita na wananchi, hakuna ufundi, busara na askili kwa polisi wa Tanania.
Kwa umri wake na cheo chake, huyu wa Tanzania atakuwa na elimu ndogo sana. Unategemea akili gani hapo!
Hali ya mahakama zetu ni hii.Katika hali isiyo ya kawaida mwenyekiti wa cdm taifa Mh. Mbowe leo ameachiwa bila dhamana. Ktk hali isiyo ya kawaida Mbowe alitakiwa na mahakama kuwekewa dhamana lkn alikataa na mahakama ikanywea ghafla na kumwomba aondoke bila dhamani mahakamani.
Duh!