Mbowe aachiwa bila dhamana

Wakuu baada ya kuiona hii thread ilinibidi nimpigie swahiba wangu Mh. Hakimu mmoja Dodoma. Maelezo yake ni kuwa hakimu ana mamlaka ya kumpa dhamana ya masharti mtuhumiwa ama amtake ajidhamini la pia kisheria ana mamlaka ya kuweza kumuachia bila dhamana akijiridhisha upatikanaji wake kuwa hautakuwa wa tabu. 0
My take: Mh Huyu ameongozwa na busara na weledi wa taaluma yake. Wengine kama aliyesimamia kesi ya Mh Lema alishindwa vp kumuamini mbunge wa eneo analofanyia kazi.
Tafakari! Chukua hatua

Asante mkuu kwa kufanya homework ili utujuze, tumekuelewa sana
 
Kweli tutafika japokuwa nimbali sana. Haya madaraka mtu ukishalewa sijui unakuwa hauoni au hata haufikiri au ndio unatumia "Masaburi" kuifikiria badara ya kutumia akili. Jama hivi sijuzijuzi tu vijana wa UVCCM kina Beno Marisa waliandamana Arusha bila ya kibali na uongozi wa CCM Arusha walitaka wakamatwe kwakuwa hawakuwa na baraka zao wala vibali vyao lakini mkuu wa polisi wa wilaya alishindwa kufanya hivyo?, tena kesho yake kaimu mkuu wa polisi mkoa akasema wamepata taharifa hivyo watawaonya wasirudie tena. Sasa huyu Rema aliyeamua kutoka mahakamani kwa miguu badala ya kutumia ari kwanini akamatwe na asionywe kama kina Beno Marisa, na ninakumbuka hata yule M/kiti wa UVCCM Arusha yule Milya nae alikwenda na kundi la watu pale polisi lkn hajachukuliwa kama kafanya maandamano.
Haya mambo yanasumbua sana

Sheria za Tanzania ni ule msumeno wa mkono unaokata kumoja, upande mmoja usio na makali yaani wa juu wamekaa CCM na upande wa Chini wenye makali wamekaa CDM na wapigania uhuru wa nchi hii. Mwenye msumeno anautembeza wakati wote na walioko juu (CCM) wao wanateleza tu, sana sana wanasikia huku chini kwenye makali CDM na wapigania uhuru wakilalamika. Kikubwa ninachofurahia hapa ni kwamba Sheria hizi za Tanzania ni sawa na mtu kupewa Msumeno kama huo kufyekea chini msitu wa Hekari laki moja, panya walioko msituni watakumaliza kabla hata hujafyeka nusu ekari.
 
Kesi za kisiasa nazo kesi! si magamba wanamchecheto na waandae sana magereza mwaka huu, mbona yatajaa wanaharakati. hakuna kurudi nyuma tunasonga mbele.
 
huko tunakoelekea maamuzi mengi yatatoka bila mpangilio
 
Katika hali isiyo ya kawaida mwenyekiti wa cdm taifa mh. Mbowe leo ameachiwa bila dhamana . Ktk hali isiyo ya kawaida mbowe alitakiwa na mahakama kuwekewa dhamana lkn alikataa na mahakama ikanywea ghafla na kumwomba aondoke bila dhamani mahakamani. Duh!
Hakimu Devotha Kamuzora anayesikiliza shauri hilo alikubaliana na maombi ya utetezi na kumpa dhamana Mbowe kwa masharti ya kuwa na wadhamini wawili wenye vitambulisho na barua ya utambulisho kutoka kwa Afisa Mtendaji wa Kata ambao walitia saini hati ya dhamana ya Sh. Miliono Tano kila mmoja. Mshtakiwa aliachiwa kwa dhamana baada ya kutimiza masharti na kesi hiyo imeahirishwa hadi Novemba 22, mwaka huu itakapotajwa
 
alisema atafanya maamuzi magumu..... jamaa kid000ogo wameanza kuchemsha masaburi yao, wakamuachia!
 
Hili ni la kawaida saaaana kwa selikali tuliyo nayo, multstandand gvt. Nayo haini aibu they are just leaving vegetatively!.......
 
Kwanini asiachiwe kosa lake nini ?.mwenzako aliuwa Protea Hotel anakula kuku kwamrija nyie mkabaki NMC mnapigwa baridi bure.

Katika hali isiyo ya kawaida mwenyekiti wa cdm taifa Mh. Mbowe leo ameachiwa bila dhamana. Ktk hali isiyo ya kawaida Mbowe alitakiwa na mahakama kuwekewa dhamana lkn alikataa na mahakama ikanywea ghafla na kumwomba aondoke bila dhamani mahakamani.

Duh!
 
Katika hali isiyo ya kawaida mwenyekiti wa cdm taifa Mh. Mbowe leo ameachiwa bila dhamana. Ktk hali isiyo ya kawaida Mbowe alitakiwa na mahakama kuwekewa dhamana lkn alikataa na mahakama ikanywea ghafla na kumwomba aondoke bila dhamani mahakamani.

Duh!
Ha ha ha ha ha ha ha jamaa wanawaogopa CHADEMA ile mbaya....
 
Sheria za nchi zinatoa hyo loop hole na hakimu kwa kutumia weledi na busara kuliko masaburi basi akaona ni vyema akamwachia mh. Mbowe kwani upatikanaji wake hauna shida. Safari ndo inaanza watabana sana mwisho wa siku wanaachia watu wanapita
 
Nin ini kisichoaminika? amepelekwa mahakamani,baada ya shahuri kusikilizwa alitakiwa apewe mdhamana,hakukuwa na mtu wa kumdhamini nae akawaambia haitaji kudhaminiwa na mtu na hatajidhamini mwenyewe.
Then MAHAKAMA IKAMUACHIA BILA MDHAMANA.mMEELEWA?

Shemeji yetu, tunakuheshimu. Lakini kama utakuwa unatetea pumba zilizovunda namna hii??? itabidi tukuweke katika kundi lile la wapuuzi.
 
Back
Top Bottom