Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 733
Hii ndio keki aliyotoa Mbonie Masimba kwa shogaye kwenye shughuli yake ya jikoni...
Picha za masupa star mbalimbali waliokuwepo kwenye shughuli hiyoooo (SINTA nae ndani....)
masupastaa my asi mashori wa bongo mboan wana vitambi lol...????? cheki shori za kenya kudadadeki totozi sliiiiiiim zikiongea sheng mashaalaah
Hiyo keki ni style ya kumtakia kila la heri katika kumpa maviiiituuuz mumewe. Inaashiria ngono zaidi kuliko maisha ya ndoa na kulea familia. Anyway watoto walipendeza kasoro pekee ni vitambi vyao, sijui ndo wanakula sana maugali au??
Hii ndio keki aliyotoa Mbonie Masimba kwa shogaye kwenye shughuli yake ya jikoni...
Picha za masupa star mbalimbali waliokuwepo kwenye shughuli hiyoooo (SINTA nae ndani....)
Ala! hivi kweli ulihamia Nairobbery ? unakaa wapi mathare au Kibera ?masupastaa my asi mashori wa bongo mboan wana vitambi lol...????? cheki shori za kenya kudadadeki totozi sliiiiiiim zikiongea sheng mashaalaah
shori za kenya hazina miguu ni kama wanatembelea mikono ndo maana ujanja wao kuvaa suruali za jeans...watoto wa bongo usipime!sura mpaka miguu
Nakuunga mkono kaka mambo yote Bongo...shori za kenya hazina miguu ni kama wanatembelea mikono ndo maana ujanja wao kuvaa suruali za jeans...watoto wa bongo usipime!sura mpaka miguu
Hiyo keki ni style ya kumtakia kila la heri katika kumpa maviiiituuuz mumewe. Inaashiria ngono zaidi kuliko maisha ya ndoa na kulea familia. Anyway watoto walipendeza kasoro pekee ni vitambi vyao, sijui ndo wanakula sana maugali au??